Sasa rafiki umeombwa uoe? na kama ni ivo sawa, kwanini usimwambie huyohuyo single mother alokwambia umuoe? na una uhakika gani kama wewe ndio mwanaume peke yako duniani? kila siku single mother wanaolewa na mambo yao yanakwenda uzuri tu aya hao unawaoa wewe? Ebu acha ubaguzi kesho yako huijuiBinafsi, siwezi
Sababu ni moja tu.
Yaani baba wa kambo unalea mtoto , kuna wakati unaonekana mkatili na mwenye makosa pale kunakotokea kutokuelewana.
Lakini yule aliemkimbia akamuachia mzigo anaonekana kuwa sio mkatili na wakati mwingine huwa ana heshimiwa kuliko wewe uliejitoa kubeba mzigo wa misumari.
never ..
Daah,tumeendana mawazo yetu,aseme kama kashikiwa bunduki.Kwa hiyo nani kakushikia bunduki???
Si usioe tu mkuu? Kwanini unahubiri?Binafsi, siwezi
Sababu ni moja tu.
Yaani baba wa kambo unalea mtoto , kuna wakati unaonekana mkatili na mwenye makosa pale kunakotokea kutokuelewana.
Lakini yule aliemkimbia akamuachia mzigo anaonekana kuwa sio mkatili na wakati mwingine huwa ana heshimiwa kuliko wewe uliejitoa kubeba mzigo wa misumari.
never ..
Hawa madogo wa Sasa wanakaririshana.Una miaka mingapi ya umri wako?
Si kila uliskialo kwa ubaya litakuwa na ubaya kwako,wengi walio lea watoto wa kambo wamepata faraja kutoka kwa hao watoto kuliko watoto wa shahawa zao.
Usikufuru, inawezekana hata wewe umelelewa na baba wa kificho baada ya baba yako mzazi kusinzia kuwajibika, mama akajiongeza kwa kufanya biashara huku mtaji na gharama zingine zikisuruhishwa na mwanaume mwingine kama misaada.
Mama zetu wametutunzia siri za mapito ya maisha yetu,tuwaheshimu.
Kuiga ujinga mtupuHawa madogo wa Sasa wanakaririshana.
Zingatia tu huu usemi "kunguru hafugiki" kumbuka aliyezaa nae alimshindwa wewe utaweza?Binafsi, siwezi
Sababu ni moja tu.
Yaani baba wa kambo unalea mtoto , kuna wakati unaonekana mkatili na mwenye makosa pale kunakotokea kutokuelewana.
Lakini yule aliemkimbia akamuachia mzigo anaonekana kuwa sio mkatili na wakati mwingine huwa ana heshimiwa kuliko wewe uliejitoa kubeba mzigo wa misumari.
never ..
Ni machaguo tu mawaa, nyie wenyewe hamtaki wasio na pesa , hivyo tuvumilianeWamekushikia bunduki ni lazima uoe singo Maza kijana?
Mimi nitaoa ila ni marufuku kuomba pesaKuoa single mother maana yake umeoa mke wa mwanaume mwenzio period.
Ukioa single mother maana yake unakuwa na uhakika usio na shaka kuwa
ULITOMBEWA HADI AKADHALISHWA,
UNATOMBEWA
NA UTATOMBEWA NI SWALA LA MUDA TU.
Hao na mwanamke asiye bikira kapu lao ni Moja anaweza asiwe na mtoto ila katoa mimba kibaaao