Siwauzii woga, ila ni tahadhali

Siwauzii woga, ila ni tahadhali

Haki Haipatikani kwa Uwoga. Muhimu ni kuwe na strategies(mikakati) from one point to another na sio emotions tusiwe kama nyumbu wanaovuka mto ilihali wakiona wenzao wakiliwa na mamba because nobody cares so kujilinda sisi iwe first priority and the rest will follow
 
Wakipewa amri ya SHOOT TO KILL kama last time, what is the way forward?
Hapo ndiyo patam ,kila mtu na mtu wake then game over.

Kilichotokea tarehe 29 serikali kwa kutumia askari wake wale mavi ya kuku walifanikiwa kwasababu hakuna aliyetarajia kama serikali ingeliweza kufanya yale waliyoyafanya.

Wakithibuti kufanya kama vile hapo Tar 09 December nisawa na kutoa tangazo rasmi la vita.

kwasababu family nyingi za askari zipo mitaani maana yake askari hawatakubali family zao ziukiwe so kitakachotokea ni askari kukabiliana na askari wenzao ,wanajeshi kukabiliana na wanajeshi wenzao na raia kukabiliana na raia wenzao na wanasiasa kukabiliana na wanasiasa wenzao.

Nikwambie tu kitu mkuu , askari wanaoungamkonp huu upuuzi niwachache sana tena hasa wale wakuu .

Wanajeshi wanaoungamkonp huu upuuzi niwachache sana tena Tanzania nzima wanaweza wasifike hata 100 .

Lanyongeza nikwamba kila mtu hadi sasa yupo tayari kwa lolote .

Hapa ndipo tulipo.

Wajitekenye waone , watu wanawatamani haijawahi kutokea.
 
Mimi naendelea kuamini.... Kama tusingepewa uhuru kwa kalamu, tungekuwa wa mwisho kupata uhuru wetu.

Wakati wa lockdown, nikatoka kuchukua mahitaji... Mara gari la polidi likawa linakuja, watu wakataka kuanza kukimbia, unauliza shida nini? Eti askari wanakuja, ni saa 8 mchana, zuio linaanza saa 12... Tunakuwaje waoga kiasi hiki? Of course polisi walipita zao bila kuuliza kitu.
 
fanyeni maandamano mpaka mshibe, cha muhimu msituvunjie biashara na kuiba mali zetu. Kama mtaamua kuuana na polisi basi hiyo ni juu yenu, kila mtu ana haki ya kufa kama akipenda. Fungueni na thead moja humu muweke majina yenu ili tuje tufanye maomboleze siku za mbele
 
Mimi naendelea kuamini.... Kama tusingepewa uhuru kwa kalamu, tungekuwa wa mwisho kupata uhuru wetu.

Wakati wa lockdown, nikatoka kuchukua mahitaji... Mara gari la polidi likawa linakuja, watu wakataka kuanza kukimbia, unauliza shida nini? Eti askari wanakuja, ni saa 8 mchana, zuio linaanza saa 12... Tunakuwaje waoga kiasi hiki? Of course polisi walipita zao bila kuuliza kitu.
polisi walikua hawana shida na watu walio kuwa wanaendelea na maisha yao, wao walikua wanatafuta wahaini na vibaka.
 
Back
Top Bottom