Pole sana ila kama wewe ni mtu wa kuanzisha mahusiano kwa kupretend baadhi ya vitu,ambavyo mwisho wa siku unavisahau ni lazima utendwe tuu..wanaume wengi wanashindwa kuishi kwenye uhalisia wanafanya maigizo..kwa hali hii ni lazima nao waigiziwe!
...BTW hata nafsi yako yenyewe sio ya kuiamini sana.