Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

Wabongo wanafiki sana, maana asilimia 70% ya wanamuziki na waigizaji wanaiunga mkono serikali iliyoko madarakana.
Lkn pia viongozi wa dini karibu zote wanaiunga mkono serikali na hakuna aliyewahi kusimama na kukemea unyanyasaji ufanyikao zaidi ya viongozi wacheche( tena wa kuhesabika), lkn bado tunawaona viongozi hao wanabusara na tunawaunga mkono tu.
Tuache Ujinga
 
Pia kama sababu ndio hiyo, basi naona future ya wasanii wa Tanzania kuchukua tuzo mwaka huu nje ya nchi ni ndogo sana kwa maana wengi wa wasinii walisima kwenye majukwaa ya chama tawala.
 
Msanii, kiongozi yoyote wa kidini na public figure yeyote ambaye jamii yote inakutazama bila kujali dini, kabila na rangi yako, ni marufuku kujihusisha na masuala ya siasa na kuonyesha itikadi zako moja kwa moja kwa jamii inayokuangalia bila kujali support wanayokupa watu hao.
 
Umetoa wapi hii marufuku?
 
Unapofanya kazi yoyote ile ogopa sana kuonyesha mahaba kwenye chama, dini, mchezo fulani, kabila n.k
Kumbuka washabiki wako kwenye makundi hayo. Ukiwa upande mmoja unawagawa mashabiki wako na matokeo yake ndiyo hayo.
Kundi ninalolikubali ni weusi. Hawa watu wa wanastahili heshima
 
Huo ndiyo ukweli. Linapokuja kwenye suala la kuhitaji support ndiyo matokeo yake hayo.
Ni sawa na timu ya taifa kuvaa jezi zilizoandikwa CCM au CHADEMA. Utakuja kushangaa siku ya mechi watanzania wanaishabikia timu ngeni.
Umetoa wapi hii marufuku?
 
Ameajiri watz au waccm? Hujui tz kuwa CCM unakuwa raia wa daraja la juu kuliko mtu asiyefungamana na upande wowote?
 
Tatizo sio kupigia kampeni CCM..90% ya Wasanii walifanya hivyo..Ila kujifanya Bashite mlezi wao walikosea Sana...kumpa sumu Dimpoz mkigoma (Mrundi mwenzake)nalo kosa...niishie hapo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…