Chama Cha mapinduzi,
Hakina kosa lolote kilikuwepo toka tunaita TANU,Ni chama kinachojulikana sehemu kubwa Sana Tanzania nzima.
Kimemulika kata huko vijijini ndani ndani ambako wakazi wa huko hawajui hata maana ya Chadema,CUF n.k,ukweli unaouma Ni kuwa Diamond platinum anaonewa Sana ,Tena Sana.
Pasi na Shaka Mimi najua wasanii wengi hata siasa hawajui vizuri,wanachoangalia wao Ni wapi wakijiunga watajipatia mkate wao wa kila siku,
Sanaa Ni ofisi yao,Ni kazi yao,Ni sehemu ya vipato vyao,hata ingekuwa mimi aina ya serikali ya awamu iliyopita Ni msanii gani angeonesha kutokusapoti?nisieleweke vibaya ila adui akikushinda nguvu ungana nae,
Sisi tupo huku nyuma ya keyboard tunakosoa tutakavyo kwakuwa si rahisi sisi kuonekana, Diamond platinum Ni brand tayari inayoonekana,
Myself nitampigia kura Diamond platinum,kwakuwa Ni mtanzania mwenzangu,na ni sehemu ya kuendelea kumuunga mkono
Burna boy Ni mega artist kwa Sasa ana vigezo vingi japokuwa Mimi simpigii kura
NB: kila mmoja ana Uhuru wa kumchagua amtakaye awe,Chadema, CCM,Simba,Yanga,awe timu kiba,n.k