Sitting allowance ya Wabunge ifutwe au isifutwe?

Sitting allowance ya Wabunge ifutwe au isifutwe?

Status
Not open for further replies.
Sitting allowance zifutwe.Mishahara pia (including wa rais) ipunguzwe
 
ZIFUTWE. Mbona wanalipwa mshahara? Basi na walimu wapate teaching allowes. Huu ni ufisadi wa mchana. ZIFUTWE.
 
Zipunguzwe, zinazokatwa zipelekwe jimbon na wabunge wawe wasimamizi ya hiyo miradi
 
Hii ndo post ya kwanza nakuona Salary Slip umebalehe kisiasa...umekuwa neutral na hufanyi mambo kishabiki...#KwaMaslaiYaTaifa
 
Last edited by a moderator:
ZIFUTWE. Mbona wanalipwa mshahara? Basi na walimu wapate teaching allowes. Huu ni ufisadi wa mchana. ZIFUTWE.

ukweli kabsa.. kwan wana kazi gani kubwa kushinda walimu na madaktari!?
bora hata hizo pesa wapewe wanafunzi wa vyuo vikuu
 
zifutwe:
wamegeuka tabaka la wanyonyaji wakubwa wa jamii.
 
pilau pia za bunge zipigwe chini, watu wanalilia pilau namna hiyo kama kwao hawali?
 
Kingu agoma kuchukua posho
 

Attachments

  • 1448214024291.jpg
    1448214024291.jpg
    54.9 KB · Views: 140
Hongera slip ukiwa unafanya haya itapendeza sana kuwa neutral. Futa poshoooo
 
Kama wanalipwa kwa vile wako nje ya majimbo yao, mbunge wa dodoma mjini na wabunge viti maalumu toka hapo dodoma mjini wanalipwa per diem kwa sababu ipi?
 
Sababu ya kufuta nini?
Kama zipo kisheria na mabunge yote duniani yanafanya hivyo hakuna sababu ya kufuta.Ukiona wanafaidi na wewe acha kazi yako kagombee ubunge.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom