Sitti Mtemvu yuko Live Nirvana EATV

Sitti Mtemvu yuko Live Nirvana EATV

Katika jambo la kushangaza pamoja na kukubali kuhojiwa miss tanzania mstaafu kagoma kutaja miaka yake

hata alipoonyeshwa id yake na cheti chakuzaliwa miaka tofauti alisisitiza sitaki kujadili hayo

nahapo ndipo matusi kwenye msg zilianza kupita mbeleya tv

achaneni nae huyo bibi

nk

ameomba asiulizwe tena akitakiwakuja eatv

chapter clsd
 
Wamemuonea sana, kufoji umri tu imekuwa shida wakati watu wamefoji vyeti
vya masomo na kupata nafasi nyeti serikalini.
 
Mimi nimecheka alivyosema kua mdogo wake alikua anataniwa shule kua Sitti ni mama yake.Halafu ni bibi bomba...lol
In short huyu dada hajui kujieleza, mtangazaji kamuuliza kabla walikubaliana kua wakifanya kipindi ataeleza kila kitu kwa uwazi lakini kwenye kipindi hataki kujibu maswali.
Madai yake umri wake ni siri yake.
 
Mimi nimecheka alivyosema kua mdogo wake alikua anataniwa shule kua Sitti ni mama yake.Halafu ni bibi bomba...lol
In short huyu dada hajui kujieleza, mtangazaji kamuuliza kabla walikubaliana kua wakifanya kipindi ataeleza kila kitu kwa uwazi lakini kwenye kipindi hataki kujibu maswali.
Madai yake umri wake ni siri yake.

Kwakweli huyu binti hajui kujieleza na swala la umri ni kweli alidanganya kabisa...
 
Mwacheni mtoto wa watu apumzike, ivi tanzania hii ni nani msafi au mkweli!
Mboba hata baba mwenye nyumba ni msanii
 
Kwakweli huyu binti hajui kujieleza na swala la umri ni kweli alidanganya kabisa...

Ndio maana alikua anaona aibu maana kama angesema ni hiyo 89 sijui angewaweka matatani Rita.
Na kama angesema 91 angeulizwa zile passport ilikuwaje?
 
Hata sikuwa na muda wakumuangalia huyo binti mzuri wa Mtemvu😀😱😱
 
Analazimisha fame.
Kaanza na.kitabu ss ananionyesha kwenye luninga.

Nafikiri kitakachofuata ni reality show.

Hii inadhihirisha sheria zetu zimeshindwa kwa watoto wa vizito.
 
Katika jambo la kushangaza pamoja na kukubali kuhojiwa miss tanzania mstaafu kagoma kutaja miaka yake

hata alipoonyeshwa id yake na cheti chakuzaliwa miaka tofauti alisisitiza sitaki kujadili hayo

nahapo ndipo matusi kwenye msg zilianza kupita mbeleya tv

achaneni nae huyo bibi

nk

ameomba asiulizwe tena akitakiwakuja eatv

chapter clsd

nAhiSi kuNa mTu aMeHijack iD yA pDiDy. hIvI kWeLi kWa uAnDiShI uLiOnYoOkA hIvI mNaTaKa nIaMiNi kUwA nI yEyE AlIeAnDiKa?
 
Kuna mabadiliko yanaendelea moja wapo ni pamoja na pdiddy kuandika kwa ufasaha.
 

Attachments

  • IMG-20150526-WA0132.jpg
    IMG-20150526-WA0132.jpg
    34 KB · Views: 269
Sasa si atoe ucho kitabi kama keshafunga kulasa.
Haoni mafanikio ya shigongo kwa kufunga kulasa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom