Sitti Mtemvu kuburuzwa Mahakamani

Sitti Mtemvu kuburuzwa Mahakamani

Kwani mpaka sasa hivi hajakamatwa?changa la macho tuuu apo.
 
Taasisi za serikali kama RITA na NIDA zinatakiwa ziendeshwe na watu wazalendo, werevu, wenye weledi na waadilifu katika majukumu yake.
Hawatakiwi watu wanaofanya mambo kwa mtindo wa bora liende (business as usual) kutokana na umuhimu wake kwa taifa.
Ukifanya utafiti kidogo tu utaona uwepo wa watu ambao wana vyeti, vitambulisho kutoka taasisi hizo vyenye taarifa ambazo siyo sahihi na hata wengine siyo raia wa Tanzania!
Hali hii haikubaliki na haitakiwi iendelee.


Ni Taasisi zipi ambazo hazitakiwi kuendeshwa na wazalendo?
 
RITA na NIDA hawana mwanasheria. Hata BASATA nao hawana mwanasheria. Vinginevyo ni usanii kama yalivyo majukumu yake.
Hali hii ndio iliyopelekea tupendekeza waendesha mashtaka huru katika rasimu ya katiba iliyochakachuliwa na Six.
Aliyeshawishi yote haya na kushauri kugushi aunganishwe kwenye mashtaka hayo. Nahisi Lundenga anajiganga Bagamoyo ili kuukwepa mkono wa sheria.
 
Unazeeka vibaya,,, sababu ya kufoji Ni kupata cheti chenye umri unaoendana na sifa za kushiriki miss Tanzania, hivyo ikabidi wa-adjust miaka miwili. Sasa inakula kwake, mtoto WA kiislam na kuacha mapaja nje wapi na wapi? Au na wewe uliacha Sana vyombo nje enzi zako!

Umemjibu vizuri FaizaFoxy ila haujamtendea haki kwenye hayo maneno niliyowekea rangi nyekundu
 
Last edited by a moderator:
Ni Taasisi zipi ambazo hazitakiwi kuendeshwa na wazalendo?

Morinyo,

Hakuna ambazo hazitakiwi, hizo mbili ni mfano tu, zingatia neno ''kama''
Hata hivyo, kwa kuwa watumishi wengi wa serikali ni magoigoi, ni muhimu kuweka jicho karibu zaidi kwenye zile taasisi nyeti!
 
Na hiyo passport na leseni ya udereva ni batili au inatiwa shaka?? Naona akirudi Marekani hatakubalika kwani si mwaminifu na anadanganya mbele ya kiapo.

Nadhani hati ya kuzaliwa hutolewa upya pale mtu anapoapa. Huyu amedanganya mamlaka mbalimbali
 
Na hiyo passport na leseni ya udereva ni batili au inatiwa shaka?? Naona akirudi Marekani hatakubalika kwani si mwaminifu na anadanganya mbele ya kiapo. <br>
<br>
Nadhani hati ya kuzaliwa hutolewa upya pale mtu anapoapa. Huyu amedanganya mamlaka mbalimbali<br>
<br><br type="_moz">
 
Huyu bibi ni mtani wangu kitambo humu ashanpigisha ban kama nane hivi,,, hata anaporudi bongo akihitaji ile kitoweo yetu ile huwa ananitafuta FaizaFoxy

Tatizo sio kila mtu anajua huo utani wenu ( kama ni kweli) kwa hiyo wewe ndio unaishia kuonekana sio muungwana ndugu!
 
Astaghafirullah, akutukanae hakuchagulii tusi.

Mama'ko angekuwa hajaacha nje vyombo vyake ungezaliwa wewe?
Sasa hata kama aliacha vyombo nje si ni kwa huyo tu aliyekuwa akila tunda na ilikuwa ndani chumbani na si hadharani... ebo!
 
Back
Top Bottom