Sitta: Nchi imebaki mifupa

Na nyie mnasumbuliwa na unafiki tu, kama amewashinda au mmemstukia kwa nini msimteme??? Tatizo maamuzi yenu yanachukua muda maana yanatoka kwenye makalio.
<br />
<br />
tumia tafsida "masabur"
 
Sita ni mnafiki wa kutupwa na huyu jamaa ameimaliza reputation ambayo angekufa nayo na watu wakamkumbuka nayo ya kuwa spika mzuri. sasa hivi anaharibu tu.

Please enlighten me, nimeona maneno mengi sana juu ya sitta mnafiki, unaweza spare your time ukanifafanulia unafiki wa sitta unaosemwa ni ui haswa?
 
Please enlighten me, nimeona maneno mengi sana juu ya sitta mnafiki, unaweza spare your time ukanifafanulia unafiki wa sitta unaosemwa ni ui haswa?

Unafiki wa kujifanya anajali kusema nchi imebaki mifipa bila kuelewa na kukiri na yeye amekuwa na ameshiriki kipindi fulani kula nyama.

wadau wametoa mfano. Chini ya uspika wake SIX

  • amerdihia gharama kubwa zitumike kujenga ofisi kule tabora..........
  • Pamoja na rasilimali za mbao za mkoa tabora hata viti vywa kukalia wageni kwenye ofisi yake vimeagizwa china. Sawa yeye akalie kiti cha kuzunguka kutoka majuu lakini hata visofa vya wageni . Kwa nini hakupendekeza tender ya mafundi wa tabora watengeze viti vya wagenu. Watasema quality hata mafundi wa keko. Sasa huyu mtu ndio atajifanya ana umizwa na ukosefu wa ajira za vijana.........
Kifupi sita ni mwanasiasa na mzungumaji mzuri lakini hana Idea ya nini kifanyike kutuvusha hapa tulipo.

Unafiki wa sitta kama mtu ambaye yuko kwenye baraza la mawaziri unaonyesha ni mtu hatari . Machoni mwa wananchi anapenda kujionyesha yeye ni mtu safi na wenzake ni wachafu . Hana colllective responsbility.


Wewe mchambuzi unamunaje huyu mzee six
 

Unafiki wa kujifanya anajali kusema nchi imebaki mifipa bila kuelewa na kukiri na yeye amekuwa na ameshiriki kipindi fulani kula nyama.

wadau wametoa mfano. Chini ya uspika wake SIX

  • amerdihia gharama kubwa zitumike kujenga ofisi kule tabora..........
  • Pamoja na rasilimali za mbao za mkoa tabora hata viti vywa kukalia wageni kwenye ofisi yake vimeagizwa china. Sawa yeye akalie kiti cha kuzunguka kutoka majuu lakini hata visofa vya wageni . Kwa nini hakupendekeza tender ya mafundi wa tabora watengeze viti vya wagenu. Watasema quality hata mafundi wa keko. Sasa huyu mtu ndio atajifanya ana umizwa na ukosefu wa ajira za vijana.........
Kifupi sita ni mwanasiasa na mzungumaji mzuri lakini hana Idea ya nini kifanyike kutuvusha hapa tulipo.

Unafiki wa sitta kama mtu ambaye yuko kwenye baraza la mawaziri unaonyesha ni mtu hatari . Machoni mwa wananchi anapenda kujionyesha yeye ni mtu safi na wenzake ni wachafu . Hana colllective responsbility.


Wewe mchambuzi unamunaje huyu mzee six

Nimeelewa hoja yako Zing, ni kweli Sitta ana mapungufu yake, kama ilivyo kwa viongozi wengi tu. Kwa kifupi hakuna kiongozi msafi Tanzania, whether ndani ya CCM au vyama vya upinzani, especially akishajikita katika madaraka, kuna njia moja au nyingine atatumia tu madaraka yake vibaya. Aliyeweza kutotumia madaraka yake vibaya alikuwa ni Mwalimu Nyerere tu, na hilo ni just within the context ya ufisadi, otherwise kimaamuzi, pamoja na mazuri yake mengi kwa nchi yetu tanzania, kuna baadhi ya maamuzi yalikuwa mabaya kabisa. Nikirudi kwa Sitta, ninachompendea ni kwamba ni kiongozi anaethubutu na mjasiri, sifa hiyo amekuwa nayo tangia akiwa mwanafunzi wa sekondari hadi chuo kikuu. Na ni moja wa viongozi ambao mwalimu aliwapenda na kuwazungumizia sana (mfano rejea kitabu cha mwalimu - Viongozi Wetu na Hatima ya Tanzania). Kitu kingine ambacho kitanifanya nione kwamba mapungufu yake sio mabaya kiasi hicho ni kwamba, kwanini asisulubiwe na chama chake na serikali yake na kumalizwa kabisa kisiasa? Wangetafuta kila loop-hole kumpoteza mtu huyu katika ulimwengu wa kisiasa. Mapungufu anayo lakini ni dhahiri kabisa sio kama ya wengine wanaotapa tapa sasahivi kisiasa. Inawezekana anapenda madaraka, lakini je nani hapendi? Kujijengea ofisi ya Uspila Tabora sio jambo la ajabu kwani ilitegemewa angekuwa spika kwa miaka kumi, ni mchezo tu ulichezwa, na kama Spika, hawezi kwenda jimboni kwake na akatumia ofisi ile ya bunge, hivi umeziona ofisi za bunge zilivyo? ni chumba tu, hata ofisi nyingine za walimu wakuu shule za msingi zina ubora zaidi in terms of nafasi. Spika akienda jimboni kwake anabeba mikoba yake na wasaidizi wake rasmi kama spika.
 
Nimeelewa hoja yako Zing, ni kweli Sitta ana mapungufu yake, kama ilivyo kwa viongozi wengi tu. Kwa kifupi hakuna kiongozi msafi Tanzania, whether ndani ya CCM au vyama vya upinzani, especially akishajikita katika madaraka, kuna njia moja au nyingine atatumia tu madaraka yake vibaya. Aliyeweza kutotumia madaraka yake vibaya alikuwa ni Mwalimu Nyerere tu, na hilo ni just within the context ya ufisadi, otherwise kimaamuzi, pamoja na mazuri yake mengi kwa nchi yetu tanzania, kuna baadhi ya maamuzi yalikuwa mabaya kabisa. Nikirudi kwa Sitta, ninachompendea ni kwamba ni kiongozi anaethubutu na mjasiri, sifa hiyo amekuwa nayo tangia akiwa mwanafunzi wa sekondari hadi chuo kikuu. Na ni moja wa viongozi ambao mwalimu aliwapenda na kuwazungumizia sana (mfano rejea kitabu cha mwalimu - Viongozi Wetu na Hatima ya Tanzania). Kitu kingine ambacho kitanifanya nione kwamba mapungufu yake sio mabaya kiasi hicho ni kwamba, kwanini asisulubiwe na chama chake na serikali yake na kumalizwa kabisa kisiasa? Wangetafuta kila loop-hole kumpoteza mtu huyu katika ulimwengu wa kisiasa. Mapungufu anayo lakini ni dhahiri kabisa sio kama ya wengine wanaotapa tapa sasahivi kisiasa. Inawezekana anapenda madaraka, lakini je nani hapendi? Kujijengea ofisi ya Uspila Tabora sio jambo la ajabu kwani ilitegemewa angekuwa spika kwa miaka kumi, ni mchezo tu ulichezwa, na kama Spika, hawezi kwenda jimboni kwake na akatumia ofisi ile ya bunge, hivi umeziona ofisi za bunge zilivyo? ni chumba tu, hata ofisi nyingine za walimu wakuu shule za msingi zina ubora zaidi in terms of nafasi. Spika akienda jimboni kwake anabeba mikoba yake na wasaidizi wake rasmi kama spika.

Nakubaliana na wewe kiasi fulani lakini Tanzania tuliyonayo sasa haina uhaba wa wanasiasa aina ya kina sita. Sita na pinda hawana tofauti. Tofauti Pinda is just not talkative. behind the scene ukiondoa na sanaa ya kuonekana na kusikika. Pinda m be ven better

Tanzania ya sasa inataka viongzi honest ambao kwanza wawe tayaari kusema wazi wazi wapi katika majukumu yao ya awali walifaya makosa. Sita kwangu atakuwa shujaa siku nikisia anajikosooa na kusema kuna maamuzi a, b, c angefanya tofauti. Kama kiongozi hawezi kujikosoa kwa makosa ya wazi aliyofanya miaka miwili iliyopita huyo hafai.

Lakini yeye an assume kuwa he is and was mr perfect. Na wanasiasa wetu wengi ndio tatizo sugu na cancer waliyonayo. They are never wrong na neno soory is not an option kwao.

Kama ulivyoseama sita kama wanasiasa wengi wa upinzani na CCM wana sifa sawa lakini wa CCM wamejisahau. Jimboni kwangu nina mbunge yeye huwa haulizi maoni wananchii ila anawaambia nini kinawafaa. Sio style ya wabunge wanatakiwa karne hii.

Miisho wa siku mbunge anapoteza fedha za CDF kuezeka shule na kujenga madarasa kwa matofali wakai nyumba wanazoishi hata hao wanafunzi hazina bati. Kumbe bora zile hela angewasikiliza wananchi akanuaa vitabu kwa wanafunzi. Matatizo na mahitaji na vipaumbele vya wa wanafuzi wa ilalal sio sawa sawa na wale wa kasulu. Mimi niienda kijijini nikiwauliza wale wanafunzi wanakaa chini nini wanahitaji wanasma wanza vitabu. Lakini mtu wa mjini akija anona tatizo darsa lisilo na paa na madaftari..........

Nacho maanisha Six aelewe wananchi wanajua waataka nini na wanamuelewa. Aaanze kwa kujitzama kwenye kioo katika past leadership yake ajisafishe alafu aendelee kuponda. Sio aaanzie present na kuelekea future.

Kuhusu hiyo Ofisi naijua mtu anayeteta ajira za vijana na kwa mkoa wa tabora wenye mbao na kwa ofisi amabyo anajua kwa mwaka hatatumia zaidi ya siku 60 kama decison maker angesema japo 50% ya gharama ya ofisi yangu zinufaishe business za na vijana wa Tabora moja kwa moja .

Hivi kuna kosa gani Meza ya ofisi ya mbunge ikitengenezwa na best carpenter wa mkoani au wilayani?Ikulu inaagiza sofa za china, Wizara sofa a china, Mikoa , wilaya na ofisi za bunge sofa a china.. Nini kinabaki we interanal small industry ???....?????? Hapo utasema tuna viongzi wanafikiiria njia za kutengeza ajira za vijana. au ni siasa tu

Kuna jaji kulikuwa na pesa za kuakrabati nyumba anayoishi yeye akaaamua ziende kwenye mahakama. Tunataka Viongozi wa hivi.....

Sio mwanasiasa anawahubiria watanzania wanunue bidhaa a Tanzania wakati mwenywe hata suti zake zote ziatoka italy.... mpaka vinyago vya kupamba nyumba au ofisi anakwambia vinyago vya wamakonde havina quality......

 
Nimeelewa hoja yako Zing, ni kweli Sitta ana mapungufu yake, kama ilivyo kwa viongozi wengi tu. Kwa kifupi hakuna kiongozi msafi Tanzania, whether ndani ya CCM au vyama vya upinzani, especially akishajikita katika madaraka, kuna njia moja au nyingine atatumia tu madaraka yake vibaya. Aliyeweza kutotumia madaraka yake vibaya alikuwa ni Mwalimu Nyerere tu, na hilo ni just within the context ya ufisadi, otherwise kimaamuzi, pamoja na mazuri yake mengi kwa nchi yetu tanzania, kuna baadhi ya maamuzi yalikuwa mabaya kabisa. Nikirudi kwa Sitta, ninachompendea ni kwamba ni kiongozi anaethubutu na mjasiri, sifa hiyo amekuwa nayo tangia akiwa mwanafunzi wa sekondari hadi chuo kikuu. Na ni moja wa viongozi ambao mwalimu aliwapenda na kuwazungumizia sana (mfano rejea kitabu cha mwalimu - Viongozi Wetu na Hatima ya Tanzania). Kitu kingine ambacho kitanifanya nione kwamba mapungufu yake sio mabaya kiasi hicho ni kwamba, kwanini asisulubiwe na chama chake na serikali yake na kumalizwa kabisa kisiasa? Wangetafuta kila loop-hole kumpoteza mtu huyu katika ulimwengu wa kisiasa. Mapungufu anayo lakini ni dhahiri kabisa sio kama ya wengine wanaotapa tapa sasahivi kisiasa. Inawezekana anapenda madaraka, lakini je nani hapendi? Kujijengea ofisi ya Uspila Tabora sio jambo la ajabu kwani ilitegemewa angekuwa spika kwa miaka kumi, ni mchezo tu ulichezwa, na kama Spika, hawezi kwenda jimboni kwake na akatumia ofisi ile ya bunge, hivi umeziona ofisi za bunge zilivyo? ni chumba tu, hata ofisi nyingine za walimu wakuu shule za msingi zina ubora zaidi in terms of nafasi. Spika akienda jimboni kwake anabeba mikoba yake na wasaidizi wake rasmi kama spika.

Mkuu Mchambuzi,

Sitta is like a freight train na hawana jinsi ya kulicontrol. Usione watu wanamshupalia hivi kila siku na kumwita mnafiki wakati huohuo, watu haohao hawajawahi hata siku moja kumwita kiongozi aliyejiuzulu kwa kashfa mnafiki, ingawa inajulikana kuwa UFISADI ndio tatizo kuu linalotumaliza sasa hivi, na huyo aliyejiuzulu kwa kashfa hajawahi hata siku moja kukemea ufisadi. HALAFU wanadiriki kusema fulani aliyejiuzulu kwa kashfa ni kiongozi mwenye maamuzi magumu, wakati mdomo unageuka zege akiambiwa aongelee UFISADI... How Sick!

Wengi wanaomshambulia Sitta si ajabu ni wahanga wa enzi za paradiso za uongozi wa 10%, na wana uchungu bado wanaugulia. kujenga ofisi ya vyumba vitatu ambayo bado itamilikiwa na bunge kwa miaka hata 100 ijayo Urambo, wameona ndio sehemu pekee ya kushikilia kama KIELELEZO chao. How pathetic!!!

Kwa CCM kwa sasa Sitta na Magufuli are their only hope for 2015... Watu wenye misimamo, na kaudictator kidogo ndio wanaotakiwa. Sio watu wenye price tag iliyobandikwa kwenye mapaji ya uso wao. Hata ma"investors" wakishuka wanajua mpaka price tag ya head of state. Hope you
know namuongelea nani?
 
Mkuu Mchambuzi,

Sitta is like a freight train na hawana jinsi ya kulicontrol. Usione watu wanamshupalia hivi kila siku na kumwita mnafiki wakati huohuo, watu haohao hawajawahi hata siku moja kumwita kiongozi aliyejiuzulu kwa kashfa mnafiki, ingawa inajulikana kuwa UFISADI ndio tatizo kuu linalotumaliza sasa hivi, na huyo aliyejiuzulu kwa kashfa hajawahi hata siku moja kukemea ufisadi. HALAFU wanadiriki kusema fulani aliyejiuzulu kwa kashfa ni kiongozi mwenye maamuzi magumu, wakati mdomo unageuka zege akiambiwa aongelee UFISADI... How Sick!

Wengi wanaomshambulia Sitta si ajabu ni wahanga wa enzi za paradiso za uongozi wa 10%, na wana uchungu bado wanaugulia. kujenga ofisi ya vyumba vitatu ambayo bado itamilikiwa na bunge kwa miaka hata 100 ijayo Urambo, wameona ndio sehemu pekee ya kushikilia kama KIELELEZO chao. How pathetic!!!

Kwa CCM kwa sasa Sitta na Magufuli are their only hope for 2015... Watu wenye misimamo, na kaudictator kidogo ndio wanaotakiwa. Sio watu wenye price tag iliyobandikwa kwenye mapaji ya uso wao. Hata ma"investors" wakishuka wanajua mpaka price tag ya head of state. Hope you
know namuongelea nani?

Mkuu sitta atasifiwa na ndani ya CCM labda ana sifa lakini sifa alizonazo ni za kuonekana anaogea tofauti na wenzake Lakini matendo yake na maamuzi yake hayaonyeshi hata yale anayotaofautina na wenzake anayaongea kutoka moyoni.

Kama tunampina kiongozi kwa kuongea tu Six is the best. Lakini angali Six huyu kapata kuwa katika nafasi ya kuonyesha nakufanya maamuzi fulani fulani.

  • Wakati wa Uspika wake ulizia zimenunuliwa Marcedes benz ngapi za V8 nyingine dodoma nyingine dar. Huyu ni kiongozi anayejua nchi yetu ni maskini lakini bado ana photocpy resouces kama vile Tanzania ni bharain? Si bora hata pInda aliwai kugomea gari jipya
  • Tafiti makao makuu ya ofisi ya spika yako wapi na kiasi gani Six akiwa spika kimetumika kufufua ofisi ya Dar chini ya neno ukarabati.
  • Busara tu ya kuondoka kwenye nyumba ya spika imekuwa ngumu
Sasa wwewe kama unashabikia mtu anayekemea UFISADI tu wakati yeye mwenyewe anafanya maamuzi ya kifisadi sijui una maana gani.

Mpaka nimuelewe sita ni siku nitakaposikia anasema kwa kweli kuna mambo niliyoyafanya nyumbaambayo kwa sasa naona hayakuwa sahihi. tunataka viongozi wanajua na wao walikosea wapi. SIo viongozi wanakuwa wepesi wa kujua wwenzao wamekosea wapi.

Lowasa alikuwa shujaa wa kuwambuwa ma DC na Ma RC mbele ya wananchi . Watu wakajua yes tuna kuiongozi kumbe ni sanaaa za mbele ya camera. PM huna haja ya kumuumbua DC au RCmbele ya wananchi unaweza kuchukua maamuzi magumu kimya kimya bila wananchi kujua. Lakini ni sbabu ya publicity na kucheza kisiasa zaidi .

So Sitta hana tofauti na Lowasa. Tofauti ni urefu wa kamba walizo kuwa nazo tu. Politically he is a great leader na anajua kucheza karata zake na kucheza na emotion za wananchi lakini kuitoa Tanzania hapa ilipo hawezi.
 
Huyu mzee ni maiti inayotembea, hata CCM wenyewe tumemshtukia!

Wewe unayejipambanua kama ni mmoja wa wenye CCM ni kijana au mzee??? kama mzee sawa ila kama kijana, nakushauri utoke huko maana unakuwa perceived kama mchumia tumbo. Hivi kweli huko umevutiwa na sera, utendaji, ilani au njaa tu??au umeajiriwa kama Chipukizi ndo mana huwezi kutoka huko????kama wewe ni kijana mwenzetu basi jua uzee wako utakuwa ni wamahangaiko kama hao unaowasema.........
 
Mkuu Mchambuzi,

Sitta is like a freight train na hawana jinsi ya kulicontrol. Usione watu wanamshupalia hivi kila siku na kumwita mnafiki wakati huohuo, watu haohao hawajawahi hata siku moja kumwita kiongozi aliyejiuzulu kwa kashfa mnafiki, ingawa inajulikana kuwa UFISADI ndio tatizo kuu linalotumaliza sasa hivi, na huyo aliyejiuzulu kwa kashfa hajawahi hata siku moja kukemea ufisadi. HALAFU wanadiriki kusema fulani aliyejiuzulu kwa kashfa ni kiongozi mwenye maamuzi magumu, wakati mdomo unageuka zege akiambiwa aongelee UFISADI... How Sick!

Wengi wanaomshambulia Sitta si ajabu ni wahanga wa enzi za paradiso za uongozi wa 10%, na wana uchungu bado wanaugulia. kujenga ofisi ya vyumba vitatu ambayo bado itamilikiwa na bunge kwa miaka hata 100 ijayo Urambo, wameona ndio sehemu pekee ya kushikilia kama KIELELEZO chao. How pathetic!!!

Kwa CCM kwa sasa Sitta na Magufuli are their only hope for 2015... Watu wenye misimamo, na kaudictator kidogo ndio wanaotakiwa. Sio watu wenye price tag iliyobandikwa kwenye mapaji ya uso wao. Hata ma"investors" wakishuka wanajua mpaka price tag ya head of state. Hope you
know namuongelea nani?

Nakubaliana na wewe. Tatizo ni kwamba viongozi wetu hawachaguliwi kwa mtazamo wa "nchi yetu kwanza", badala yake ni huyu si mwenzetu, yule ni mwenzetu; mtu kama sitta amekuwa against the system tangia enzi za ujana wake, kwa wale wanaomuona sasa wanadhani amekurupuka tu; Sitta ana historia ndefu sana ya maamuzi magumu na misimamo mikali tangia enzi za mwalimu; mfano alifukuzwa chuo kikuu na Mwalimu kwa msimamo wa kupinga ulazima wa wanafunzi kwenda JKT, only to be forgiven later na kurudi chuo after a year or so. Ni mtu mwenye msimamo sana; Hata 1995 mwalimu alimpenda sana, alimsaidia sana Mwalimu akiwa waziri wa sheria na katiba kuvunja wazo la kudai serikali ya Tanganyika, kitu ambacho mpaka sasa ana msimamo ule ule; Marehemu Kolimba, Malecela, Mzee Mwinyi, wote walishindwa kuzima hoja hiyo; nimekaa na kuchambua vizuri wazo la Tanganyika na kubaini ni jambo la hatari sana; mwanzoni nilikuwa naona wanaopinga wana matakwa yao tu ya kisiasa lakini suala hili ni hatari sana; Kilichompoteza Sitta kisiasa 1995-2005 ni pale alipopingana na Mwalimu juu ya mgombea urais 1995 - Sitta aliweka msimamo kwamba ni zamu ya vijana, wazee basi na alipingana na Mwalimu juu ya Lowassa mpaka dakika ya mwisho, wenzake wengine wote walishaikimbia hoja hiyo; suala la msingi hapa ni kiongozi kuwa na maamuzi na msimamo kwa kitu unachokiamini; Sitta akiwa Rais, nchi itaenda sana, na alikuwa na nafasi hiyo lakini haitakuwa raisi kuipata kwa sababu mwisho wa siku itabidi apatikane mgombea ambae pande zote zitamkubali ili chama kisivunjike; vinginevyo tujiandae kwa CCM kumeguka, kitu ambacho mimi nadhani ni kizuri sana kwani CCM ya sasa imejichanganya sana, haijui inataka kuwafanyia nini watanzania. Magufuli akigombea ataingia katika top 5 bila matatizo, suala litakuja pale kama busara itatumika kumsukuma aingine top 3; vinginevyo hoja za kabila lake ni kubwa sana sijui nini zipo miongozi mwa wana ccm kadhaa. Kazi ipo; ila pia bado nadhani Lowassa anaweza kuwa rais mzuri especially sasa kwani atajaribu t prove people wrong, and that will make him perfrom;
 
Back
Top Bottom