Sitta kwa nini saa 9 alasiri? Luka 23:44-46

Sitta kwa nini saa 9 alasiri? Luka 23:44-46

Ufunuo

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2011
Posts
563
Reaction score
160
Wapendwa bunge limeahirishwa yapata saa 6 mchana na litarejea saa 9 alasiri

kwa wasomaji wa biblia ndo muda Yesu aliosulubiwa na kukata roho hii inatupa tafsiri gani kwa Mzee Sita na bunge la katiba?

naomba uchambuzi pls
 
pia juma 3, lilianza saa 3, walikataa serkal 3, petro alimkana yesu mara 3, yuda akamsaliti yesu kwa vipande 30…!!!!! Huenda ikawa historia kuandikwa Tz…………!!
 
upigaji kura wa ajabu - una coercion - makofi kwa wanaosema NDIYO maana yake ni nini. Bibie kakataa hajapigiwa makofi watu wamelowa
 
pia juma 3, lilianza saa 3, walikataa serkal 3, petro alimkana yesu mara 3, yuda akamsaliti yesu kwa vipande 30…!!!!! Huenda ikawa historia kuandikwa Tz…………!!
Mkuu, pia 6 toa 3 unabaki na 3.
 
pia juma 3, lilianza saa 3, walikataa serkal 3, petro alimkana yesu mara 3, yuda akamsaliti yesu kwa vipande 30…!!!!! Huenda ikawa historia kuandikwa Tz…………!!

critical thinking....
 
pia juma 3, lilianza saa 3, walikataa serkal 3, petro alimkana yesu mara 3, yuda akamsaliti yesu kwa vipande 30…!!!!! Huenda ikawa historia kuandikwa Tz…………!!
Pia rasimu zipo 3 za warioba 2 na ya sita & co 1
Pia bungeni makundi 3 ukawa, tanzania 1 na wale wasiokuwa na mlengo wowote. Pia Ukawa unaundwa na vyama 3. Serikali zilipendekezwa 3 na tume ya warioba. Sita chali
 
yametimia kwa nini SAA 9 mpaka sasa kura za hapana ni 9 toka Zanzibar.
 
Wapendwa bunge limeahirishwa yapata saa 6 mchana na litarejea saa 9 alasiri

kwa wasomaji wa biblia ndo muda Yesu aliosulubiwa na kukata roho hii inatupa tafsiri gani kwa Mzee Sita na bunge la katiba?

naomba uchambuzi pls

maandiko yanatimia,urais kwishneyyyyyyyyyyy
 
pia juma 3, lilianza saa 3, walikataa serkal 3, petro alimkana yesu mara 3, yuda akamsaliti yesu kwa vipande 30…!!!!! Huenda ikawa historia kuandikwa Tz…………!!

Nami nilishangaa sana kuona mwenyekiti akifurahia tu makofi yanapopigwa. Ushabiki wa kishamba kabisa. Hii nchi mwisho wake ni mbaya sana. Watu wamejitoa ufahamu kwa maslahi ya chama, sijui itawasaidia nini in the end. Naisubiri kwa hamu kuiona hiyo BORA KATIBA
 
Wapendwa bunge limeahirishwa yapata saa 6 mchana na litarejea saa 9 alasiri

kwa wasomaji wa biblia ndo muda Yesu aliosulubiwa na kukata roho hii inatupa tafsiri gani kwa Mzee Sita na bunge la katiba?

naomba uchambuzi pls

Kutoka 6 mpaka 9 different ni 3
 
Km ndivyo 9 hapana zanzibar cc ccm mmetumaliza yaani pesa tumewagia mbona znz mwatugomea jaman? Uwiiii mi naona mzimu wa Mzee Warioba utatumaliza mmoja mmoja!
 
Back
Top Bottom