Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,182
Gazeti la Mwananchi limetuhabarisha leo ya kuwa Mheshimiwa Spika Mstaafu Mzee Sitta akiaahidi ya kuwa ataendeleza moto ule ule aliokuwa nao katika kutetea haki za wanyonge...............
Vile vile, gazeti la Nipashe limeripoti ya kuwa Mheshimiwa Sitta kaahidi ya kuwa ataendelea kuwa mkweli na unafiki kwake ni mwiko...............
Nionavyo huu ni ujumbe mzito kwa JK kama alifikiri Mzee wetu Sitta sasa amemziba mdomo kwa kumkata ngwala ya Uspika lakini Bungeni Mzee wetu Sitta atachachamaa kuhakikisha haki za wanyonge zinalindwa...............Hongera Mzee Sitta kwa huo ujasiri uliouonyesha kwetu......maana huko bungeni hatuna makimbilio mengi tukizingatia Chama cha mafisadi ndicho kimekamata hilo bunge na sijui tutaponea wapi..............na hivi sasa wanakazana kuanzisha hoja za udini ambazo hazipo ili tusahahu matabaka ya kimapato ambayo ndiyo chimbuko la migawanyiko kwetu.............
Vile vile, gazeti la Nipashe limeripoti ya kuwa Mheshimiwa Sitta kaahidi ya kuwa ataendelea kuwa mkweli na unafiki kwake ni mwiko...............
Nionavyo huu ni ujumbe mzito kwa JK kama alifikiri Mzee wetu Sitta sasa amemziba mdomo kwa kumkata ngwala ya Uspika lakini Bungeni Mzee wetu Sitta atachachamaa kuhakikisha haki za wanyonge zinalindwa...............Hongera Mzee Sitta kwa huo ujasiri uliouonyesha kwetu......maana huko bungeni hatuna makimbilio mengi tukizingatia Chama cha mafisadi ndicho kimekamata hilo bunge na sijui tutaponea wapi..............na hivi sasa wanakazana kuanzisha hoja za udini ambazo hazipo ili tusahahu matabaka ya kimapato ambayo ndiyo chimbuko la migawanyiko kwetu.............