Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Samwel Sitta huyu alikuwa Spika wa Bunge alikuwa na nguvu kubwa ya kupambana na Richmond na Dowans/Syimbyon zisingezaliwa.Nimesema na ninarudia tena na nitarudia nitakapokuwa naomba kura 2015 jimboni huyu ni mmoja wa Watanzania waliolifikisha Taifa hapa lilipo kwa Unafiki wao. Sitta ni Mnafiki sana.