Sitta kwa sasa ni kama "Black Mamba" aliyejeruhiwa anajuwa kuwa ama kupona ama kufa na kama ni kifo basi kiwe cha wengi.
Kumbuka, wadhifa wa Uspika wa Bunge ni mkubwa sana katika Tanzania, hata Waziri Mkuu haufiki, ni mhimili mmoja wa Dola kati ya mitatu. Inauma sana kutolewa uspika ukapewa uwaziri. Lazima ajitutumuwe, nna kuhakikishia yumo katika system lakini kwa sasa ni nani zaidi? hakuna.