Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

SEHEMU YA 9

"Soka unaenda wapi mbona unaniacha mwenyewe?!" Sitti aliniita nikiwa ndio kwanza naelekea nyumbani kwangu kujipumzisha baada ya kumfikisha pale alipokuwa akiishi. "Naenda zangu nyumbani, kwani we' si nimesha kufikisha kwenu? lala upumzike." "Tafadhali nisubiri!" alisema. Hapo mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, sikuwa na mazowea ya kihivyo na huyu binti nilimheshimu kama mwalimu mwenzangu tu na si vinginevyo.

Alinifuata akanikumbatia na kunibusu. Nami sikuwa mnyonge nilimpokea na ndani ya muda mfupi tukawa tukibadilishana mate alining'ang'ania, nikaona isiwe kesi nikamtoa kwanguvu kifuani kwangu. "Sikiliza Sitti, nenda kalale tutaongea kesho tusije kuyazusha mengine kwa sasa." Nilimuaga na kumbusu kwenye paji la uso wake kisha nika muangalia jinsi alivyogeuka mpaka alipoingia ndani ndipo nikatoka kwa kasi kuelekea nyumbani kwangu.

Nakumbuka siku zile nilikuwa nikiwindwa sana haswa nikiwa kazini ama nyumbani, ilikuwa ni ngumu kulala nyumbani kwangu mara kwa mara nilikuwa nikilala kiwizi wizi, hata wanafunzi wengine walikuwa wakitumwa makusudi kunijaribu wakinitafutia sababu ili waende kuwaeleza wazazi wao. Nilijitahidi kuwa makini juu ya hilo nilifanya yale yanayo nihusu tu. Mapenzi yangu kwa Sitti yalizidi kushamiri ingawa nilikuwa bado nikiwindwa sana.

Mzimu wa mzee Kingalu nao haukuacha kunisumbua, lakini kuna kitu kimoja ambacho kilinishangaza kwani ilikuwa kila nikilala nyumbani kwangu nilipata amani ambayo sikuitarajia kabisa yale mauzauza niliyokuwa nikiyaona mwanzoni yaliisha kabisa, baadaye nilikuja kugundua kwamba kuichimbia ile hirizi pale ndani ndio ilikuwa sababu ya yote, wachawi walishindwa kusogelea pale ama kufanya lolote nikiwa ndani ya ile nyumba.

Wachawi wanautaratibu wao pindi wamchukuapo mtu kichawi, husubiri kwanza kwa muda wa siku 40 kuona kama kuna vita yoyote ama ufuatiliaji wowote na hapo ndipo wangeweza kufanya maamuzi ya au kumla nyama ama kumgeuza msukule moja kwa moja. Sababu nyingine iliyo wachelewesha ni kutokana na ukweli kuwa mzee Kingalu alikuwa ni mchawi mwenzao tena mwenye daraja ya juu sana, kuna tetesi walisema kuwa alikuwa akifuga majini akiyafungia kwenye chumba maalum katika moja ya nyumba zake.

Kuna siku uongozi wa kijiji akiwemo mwenyekiti, afisa mtendaji pamoja na mwalimu mkuu walifika shuleni wakatuonya sana walimu juu ya kujihusisha na mambo yaliyo kinyume na taaluma zetu, mlengwa mkubwa alikuwa ni mimi na nilipewa barua ya onyo, ingawa nilijaribu kujitetea kwamba wanakijiji hawana urafiki na walimu na wala hawatupi ushirikiano zaidi ya kutuibulia vikwazo kila uchao. Viongozi hao hawakunielewa na walinitishia kunifukuzisha kazi, ilibidi niwe mpole na kuwakubalia yote waliyo yasema.

Siku moja usiku yule mganga alinijia akaniamsha na kuniambia nimfuate, ilinibidi nivae kama yeye nilivua kila nguo na kisha kuvaa kaniki nyeusi kwa mtindo wa lubega, aliniletea vazi hilo, alitaka kunitembeza na kunionyesha maajabu ya usiku. "Vaa bangili yako," alisema, nami nikaivaa kwenye mkono wa kulia, niile bangili yenye uwezo wa kuona vitu visivyoweza kuonekana kwa macho ya kawaida. Tulitembea mpaka eneo la makaburi kisha tukakaa kimya kwa pembeni mbali kidogo ili kuweza kushuhudia yatakayo tokea.

Baada ya muda wachawi walianza kuingia hapo kila mmoja kwa usafiri wake wapo waliotua kwa ungo na wapo waliotua kwa kutumia fisi na wengine kuja mithili ya kimbunga. Niliweza kushuhudia live bila chenga, basi baada ya muda nikaona yule kiongozi wao (Mzee Samasimba) amesimama kwenye kaburi lililokuwa jipya upande wa kichwani akiwa ameshika zana zake za kazi na baadaye akatokea bibi mmoja na fimbo ndefu akapiga juu ya lile kaburi na hapo maajabu yakatokea.

Mwili wa binadamu ulipanda kutoka chini ardhini mpaka juu ya lile kaburi, waliuchukua na kisha kuugawanya na hapo kulikuwa na moto mkubwa sana waliweza kuichoma ile nyama ya binadamu na nilishuhudia yule bibi akiwalisha wachawi wenzake kwa mtindo wa kuwarushia kipande kwa kipande nao hudaka kwa kutumia mdomo wao, ni kosa kubwa unaporushiwa kipande cha nyama nawe ukashindwa kukidaka, hii ilitafsiriwa kama ni dharau kwa chama chao wanacho kiabudu. Asilimia kubwa ya wachawi ni watu wa kawaida lakini matukio wanayo yafanya ni ya aibu mno.

Tuliondoka na mganga tukatembea mpaka alipokuwa nyumba ya mzee Samasimba, tulitaka tufanye tukio la hatari, tulifika na kuukosa ulinzi kabisa kwani yule mzee alikuwa yupo kwenye sherehe za kichawi, lakini kumbe nyumbayake alisha izingira na nguvu za giza na kulikuwa na mitego aliyoitega kwamba endapo kuna mtu atakaye kuja nyumbani kwake basi yeye ni lazima angejua. Tulipita kwenye banda la uwani ni banda lililozungushwa kwa majani ya mnazi baadaye mimi nilibaki pale nje mganga alizama ndani kichawi. nilimsubiri kwa muda mrefu kidogo.

Alitoka na kabla hatujapotea ki miujiza alimwaga dawa za kuondosha ushahidi. "Nimesha muweka humu kwenye hii tunguli," akimaanisha ameuweka mzimu wa mzee Kingalu kwenye kile kibuyu, tulitoka kwa tahadhari kubwa na mara tulisikia vishindo vikubwa na kelele ya kuunguruma, ilikuwa ni kelele ya mzee Samasimba baada ya kurudi kwenye sherehe zao za kichawi, kwani huyu mzee akikasirika hutoa muungurumo kama wa mnyama Simba na hii ndio sababu walimpa jina la Samasimba. tulipotea na kukimbia kila mtu kwa njia yake.

USISITE KUANDIKA MAONI...
(NB: Kutokana na ubusy wa kazi, hadithi hii itaishia hapa ila kwa atakayetaka muendelezo wake namkaribisha PM, kwa vitabu mbalimbali vya hadithi na mikasa ya kweli na story za audiobooks.)

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi-10
 
SEHEMU YA 9

"Soka unaenda wapi mbona unaniacha mwenyewe?!" Sitti aliniita nikiwa ndio kwanza naelekea nyumbani kwangu kujipumzisha baada ya kumfikisha pale alipokuwa akiishi. "Naenda zangu nyumbani, kwani we' si nimesha kufikisha kwenu? lala upumzike." "Tafadhali nisubiri!" alisema. Hapo mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, sikuwa na mazowea ya kihivyo na huyu binti nilimheshimu kama mwalimu mwenzangu tu na si vinginevyo.

Alinifuata akanikumbatia na kunibusu. Nami sikuwa mnyonge nilimpokea na ndani ya muda mfupi tukawa tukibadilishana mate alining'ang'ania, nikaona isiwe kesi nikamtoa kwanguvu kifuani kwangu. "Sikiliza Sitti, nenda kalale tutaongea kesho tusije kuyazusha mengine kwa sasa." Nilimuaga na kumbusu kwenye paji la uso wake kisha nika muangalia jinsi alivyogeuka mpaka alipoingia ndani ndipo nikatoka kwa kasi kuelekea nyumbani kwangu.

Nakumbuka siku zile nilikuwa nikiwindwa sana haswa nikiwa kazini ama nyumbani, ilikuwa ni ngumu kulala nyumbani kwangu mara kwa mara nilikuwa nikilala kiwizi wizi, hata wanafunzi wengine walikuwa wakitumwa makusudi kunijaribu wakinitafutia sababu ili waende kuwaeleza wazazi wao. Nilijitahidi kuwa makini juu ya hilo nilifanya yale yanayo nihusu tu. Mapenzi yangu kwa Sitti yalizidi kushamiri ingawa nilikuwa bado nikiwindwa sana.

Mzimu wa mzee Kingalu nao haukuacha kunisumbua, lakini kuna kitu kimoja ambacho kilinishangaza kwani ilikuwa kila nikilala nyumbani kwangu nilipata amani ambayo sikuitarajia kabisa yale mauzauza niliyokuwa nikiyaona mwanzoni yaliisha kabisa, baadaye nilikuja kugundua kwamba kuichimbia ile hirizi pale ndani ndio ilikuwa sababu ya yote, wachawi walishindwa kusogelea pale ama kufanya lolote nikiwa ndani ya ile nyumba.

Wachawi wanautaratibu wao pindi wamchukuapo mtu kichawi, husubiri kwanza kwa muda wa siku 40 kuona kama kuna vita yoyote ama ufuatiliaji wowote na hapo ndipo wangeweza kufanya maamuzi ya au kumla nyama ama kumgeuza msukule moja kwa moja. Sababu nyingine iliyo wachelewesha ni kutokana na ukweli kuwa mzee Kingalu alikuwa ni mchawi mwenzao tena mwenye daraja ya juu sana, kuna tetesi walisema kuwa alikuwa akifuga majini akiyafungia kwenye chumba maalum katika moja ya nyumba zake.

Kuna siku uongozi wa kijiji akiwemo mwenyekiti, afisa mtendaji pamoja na mwalimu mkuu walifika shuleni wakatuonya sana walimu juu ya kujihusisha na mambo yaliyo kinyume na taaluma zetu, mlengwa mkubwa alikuwa ni mimi na nilipewa barua ya onyo, ingawa nilijaribu kujitetea kwamba wanakijiji hawana urafiki na walimu na wala hawatupi ushirikiano zaidi ya kutuibulia vikwazo kila uchao. Viongozi hao hawakunielewa na walinitishia kunifukuzisha kazi, ilibidi niwe mpole na kuwakubalia yote waliyo yasema.

Siku moja usiku yule mganga alinijia akaniamsha na kuniambia nimfuate, ilinibidi nivae kama yeye nilivua kila nguo na kisha kuvaa kaniki nyeusi kwa mtindo wa lubega, aliniletea vazi hilo, alitaka kunitembeza na kunionyesha maajabu ya usiku. "Vaa bangili yako," alisema, nami nikaivaa kwenye mkono wa kulia, niile bangili yenye uwezo wa kuona vitu visivyoweza kuonekana kwa macho ya kawaida. Tulitembea mpaka eneo la makaburi kisha tukakaa kimya kwa pembeni mbali kidogo ili kuweza kushuhudia yatakayo tokea.

Baada ya muda wachawi walianza kuingia hapo kila mmoja kwa usafiri wake wapo waliotua kwa ungo na wapo waliotua kwa kutumia fisi na wengine kuja mithili ya kimbunga. Niliweza kushuhudia live bila chenga, basi baada ya muda nikaona yule kiongozi wao (Mzee Samasimba) amesimama kwenye kaburi lililokuwa jipya upande wa kichwani akiwa ameshika zana zake za kazi na baadaye akatokea bibi mmoja na fimbo ndefu akapiga juu ya lile kaburi na hapo maajabu yakatokea.

Mwili wa binadamu ulipanda kutoka chini ardhini mpaka juu ya lile kaburi, waliuchukua na kisha kuugawanya na hapo kulikuwa na moto mkubwa sana waliweza kuichoma ile nyama ya binadamu na nilishuhudia yule bibi akiwalisha wachawi wenzake kwa mtindo wa kuwarushia kipande kwa kipande nao hudaka kwa kutumia mdomo wao, ni kosa kubwa unaporushiwa kipande cha nyama nawe ukashindwa kukidaka, hii ilitafsiriwa kama ni dharau kwa chama chao wanacho kiabudu. Asilimia kubwa ya wachawi ni watu wa kawaida lakini matukio wanayo yafanya ni ya aibu mno.

Tuliondoka na mganga tukatembea mpaka alipokuwa nyumba ya mzee Samasimba, tulitaka tufanye tukio la hatari, tulifika na kuukosa ulinzi kabisa kwani yule mzee alikuwa yupo kwenye sherehe za kichawi, lakini kumbe nyumbayake alisha izingira na nguvu za giza na kulikuwa na mitego aliyoitega kwamba endapo kuna mtu atakaye kuja nyumbani kwake basi yeye ni lazima angejua. Tulipita kwenye banda la uwani ni banda lililozungushwa kwa majani ya mnazi baadaye mimi nilibaki pale nje mganga alizama ndani kichawi. nilimsubiri kwa muda mrefu kidogo.

Alitoka na kabla hatujapotea ki miujiza alimwaga dawa za kuondosha ushahidi. "Nimesha muweka humu kwenye hii tunguli," akimaanisha ameuweka mzimu wa mzee Kingalu kwenye kile kibuyu, tulitoka kwa tahadhari kubwa na mara tulisikia vishindo vikubwa na kelele ya kuunguruma, ilikuwa ni kelele ya mzee Samasimba baada ya kurudi kwenye sherehe zao za kichawi, kwani huyu mzee akikasirika hutoa muungurumo kama wa mnyama Simba na hii ndio sababu walimpa jina la Samasimba. tulipotea na kukimbia kila mtu kwa njia yake.

USISITE KUANDIKA MAONI...
(NB: Kutokana na ubusy wa kazi, hadithi hii itaishia hapa ila kwa atakayetaka muendelezo wake namkaribisha PM, kwa vitabu mbalimbali vya hadithi na mikasa ya kweli na story za audiobooks.)
Kaah ..
 
SEHEMU YA 9

"Soka unaenda wapi mbona unaniacha mwenyewe?!" Sitti aliniita nikiwa ndio kwanza naelekea nyumbani kwangu kujipumzisha baada ya kumfikisha pale alipokuwa akiishi. "Naenda zangu nyumbani, kwani we' si nimesha kufikisha kwenu? lala upumzike." "Tafadhali nisubiri!" alisema. Hapo mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, sikuwa na mazowea ya kihivyo na huyu binti nilimheshimu kama mwalimu mwenzangu tu na si vinginevyo.

Alinifuata akanikumbatia na kunibusu. Nami sikuwa mnyonge nilimpokea na ndani ya muda mfupi tukawa tukibadilishana mate alining'ang'ania, nikaona isiwe kesi nikamtoa kwanguvu kifuani kwangu. "Sikiliza Sitti, nenda kalale tutaongea kesho tusije kuyazusha mengine kwa sasa." Nilimuaga na kumbusu kwenye paji la uso wake kisha nika muangalia jinsi alivyogeuka mpaka alipoingia ndani ndipo nikatoka kwa kasi kuelekea nyumbani kwangu.

Nakumbuka siku zile nilikuwa nikiwindwa sana haswa nikiwa kazini ama nyumbani, ilikuwa ni ngumu kulala nyumbani kwangu mara kwa mara nilikuwa nikilala kiwizi wizi, hata wanafunzi wengine walikuwa wakitumwa makusudi kunijaribu wakinitafutia sababu ili waende kuwaeleza wazazi wao. Nilijitahidi kuwa makini juu ya hilo nilifanya yale yanayo nihusu tu. Mapenzi yangu kwa Sitti yalizidi kushamiri ingawa nilikuwa bado nikiwindwa sana.

Mzimu wa mzee Kingalu nao haukuacha kunisumbua, lakini kuna kitu kimoja ambacho kilinishangaza kwani ilikuwa kila nikilala nyumbani kwangu nilipata amani ambayo sikuitarajia kabisa yale mauzauza niliyokuwa nikiyaona mwanzoni yaliisha kabisa, baadaye nilikuja kugundua kwamba kuichimbia ile hirizi pale ndani ndio ilikuwa sababu ya yote, wachawi walishindwa kusogelea pale ama kufanya lolote nikiwa ndani ya ile nyumba.

Wachawi wanautaratibu wao pindi wamchukuapo mtu kichawi, husubiri kwanza kwa muda wa siku 40 kuona kama kuna vita yoyote ama ufuatiliaji wowote na hapo ndipo wangeweza kufanya maamuzi ya au kumla nyama ama kumgeuza msukule moja kwa moja. Sababu nyingine iliyo wachelewesha ni kutokana na ukweli kuwa mzee Kingalu alikuwa ni mchawi mwenzao tena mwenye daraja ya juu sana, kuna tetesi walisema kuwa alikuwa akifuga majini akiyafungia kwenye chumba maalum katika moja ya nyumba zake.

Kuna siku uongozi wa kijiji akiwemo mwenyekiti, afisa mtendaji pamoja na mwalimu mkuu walifika shuleni wakatuonya sana walimu juu ya kujihusisha na mambo yaliyo kinyume na taaluma zetu, mlengwa mkubwa alikuwa ni mimi na nilipewa barua ya onyo, ingawa nilijaribu kujitetea kwamba wanakijiji hawana urafiki na walimu na wala hawatupi ushirikiano zaidi ya kutuibulia vikwazo kila uchao. Viongozi hao hawakunielewa na walinitishia kunifukuzisha kazi, ilibidi niwe mpole na kuwakubalia yote waliyo yasema.

Siku moja usiku yule mganga alinijia akaniamsha na kuniambia nimfuate, ilinibidi nivae kama yeye nilivua kila nguo na kisha kuvaa kaniki nyeusi kwa mtindo wa lubega, aliniletea vazi hilo, alitaka kunitembeza na kunionyesha maajabu ya usiku. "Vaa bangili yako," alisema, nami nikaivaa kwenye mkono wa kulia, niile bangili yenye uwezo wa kuona vitu visivyoweza kuonekana kwa macho ya kawaida. Tulitembea mpaka eneo la makaburi kisha tukakaa kimya kwa pembeni mbali kidogo ili kuweza kushuhudia yatakayo tokea.

Baada ya muda wachawi walianza kuingia hapo kila mmoja kwa usafiri wake wapo waliotua kwa ungo na wapo waliotua kwa kutumia fisi na wengine kuja mithili ya kimbunga. Niliweza kushuhudia live bila chenga, basi baada ya muda nikaona yule kiongozi wao (Mzee Samasimba) amesimama kwenye kaburi lililokuwa jipya upande wa kichwani akiwa ameshika zana zake za kazi na baadaye akatokea bibi mmoja na fimbo ndefu akapiga juu ya lile kaburi na hapo maajabu yakatokea.

Mwili wa binadamu ulipanda kutoka chini ardhini mpaka juu ya lile kaburi, waliuchukua na kisha kuugawanya na hapo kulikuwa na moto mkubwa sana waliweza kuichoma ile nyama ya binadamu na nilishuhudia yule bibi akiwalisha wachawi wenzake kwa mtindo wa kuwarushia kipande kwa kipande nao hudaka kwa kutumia mdomo wao, ni kosa kubwa unaporushiwa kipande cha nyama nawe ukashindwa kukidaka, hii ilitafsiriwa kama ni dharau kwa chama chao wanacho kiabudu. Asilimia kubwa ya wachawi ni watu wa kawaida lakini matukio wanayo yafanya ni ya aibu mno.

Tuliondoka na mganga tukatembea mpaka alipokuwa nyumba ya mzee Samasimba, tulitaka tufanye tukio la hatari, tulifika na kuukosa ulinzi kabisa kwani yule mzee alikuwa yupo kwenye sherehe za kichawi, lakini kumbe nyumbayake alisha izingira na nguvu za giza na kulikuwa na mitego aliyoitega kwamba endapo kuna mtu atakaye kuja nyumbani kwake basi yeye ni lazima angejua. Tulipita kwenye banda la uwani ni banda lililozungushwa kwa majani ya mnazi baadaye mimi nilibaki pale nje mganga alizama ndani kichawi. nilimsubiri kwa muda mrefu kidogo.

Alitoka na kabla hatujapotea ki miujiza alimwaga dawa za kuondosha ushahidi. "Nimesha muweka humu kwenye hii tunguli," akimaanisha ameuweka mzimu wa mzee Kingalu kwenye kile kibuyu, tulitoka kwa tahadhari kubwa na mara tulisikia vishindo vikubwa na kelele ya kuunguruma, ilikuwa ni kelele ya mzee Samasimba baada ya kurudi kwenye sherehe zao za kichawi, kwani huyu mzee akikasirika hutoa muungurumo kama wa mnyama Simba na hii ndio sababu walimpa jina la Samasimba. tulipotea na kukimbia kila mtu kwa njia yake.

USISITE KUANDIKA MAONI...
(NB: Kutokana na ubusy wa kazi, hadithi hii itaishia hapa ila kwa atakayetaka muendelezo wake namkaribisha PM, kwa vitabu mbalimbali vya hadithi na mikasa ya kweli na story za audiobooks.)
mzimu ww
 
Toa maelezo ya kina huko PM bure au tujipange kipesa?
SEHEMU YA 9

"Soka unaenda wapi mbona unaniacha mwenyewe?!" Sitti aliniita nikiwa ndio kwanza naelekea nyumbani kwangu kujipumzisha baada ya kumfikisha pale alipokuwa akiishi. "Naenda zangu nyumbani, kwani we' si nimesha kufikisha kwenu? lala upumzike." "Tafadhali nisubiri!" alisema. Hapo mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, sikuwa na mazowea ya kihivyo na huyu binti nilimheshimu kama mwalimu mwenzangu tu na si vinginevyo.

Alinifuata akanikumbatia na kunibusu. Nami sikuwa mnyonge nilimpokea na ndani ya muda mfupi tukawa tukibadilishana mate alining'ang'ania, nikaona isiwe kesi nikamtoa kwanguvu kifuani kwangu. "Sikiliza Sitti, nenda kalale tutaongea kesho tusije kuyazusha mengine kwa sasa." Nilimuaga na kumbusu kwenye paji la uso wake kisha nika muangalia jinsi alivyogeuka mpaka alipoingia ndani ndipo nikatoka kwa kasi kuelekea nyumbani kwangu.

Nakumbuka siku zile nilikuwa nikiwindwa sana haswa nikiwa kazini ama nyumbani, ilikuwa ni ngumu kulala nyumbani kwangu mara kwa mara nilikuwa nikilala kiwizi wizi, hata wanafunzi wengine walikuwa wakitumwa makusudi kunijaribu wakinitafutia sababu ili waende kuwaeleza wazazi wao. Nilijitahidi kuwa makini juu ya hilo nilifanya yale yanayo nihusu tu. Mapenzi yangu kwa Sitti yalizidi kushamiri ingawa nilikuwa bado nikiwindwa sana.

Mzimu wa mzee Kingalu nao haukuacha kunisumbua, lakini kuna kitu kimoja ambacho kilinishangaza kwani ilikuwa kila nikilala nyumbani kwangu nilipata amani ambayo sikuitarajia kabisa yale mauzauza niliyokuwa nikiyaona mwanzoni yaliisha kabisa, baadaye nilikuja kugundua kwamba kuichimbia ile hirizi pale ndani ndio ilikuwa sababu ya yote, wachawi walishindwa kusogelea pale ama kufanya lolote nikiwa ndani ya ile nyumba.

Wachawi wanautaratibu wao pindi wamchukuapo mtu kichawi, husubiri kwanza kwa muda wa siku 40 kuona kama kuna vita yoyote ama ufuatiliaji wowote na hapo ndipo wangeweza kufanya maamuzi ya au kumla nyama ama kumgeuza msukule moja kwa moja. Sababu nyingine iliyo wachelewesha ni kutokana na ukweli kuwa mzee Kingalu alikuwa ni mchawi mwenzao tena mwenye daraja ya juu sana, kuna tetesi walisema kuwa alikuwa akifuga majini akiyafungia kwenye chumba maalum katika moja ya nyumba zake.

Kuna siku uongozi wa kijiji akiwemo mwenyekiti, afisa mtendaji pamoja na mwalimu mkuu walifika shuleni wakatuonya sana walimu juu ya kujihusisha na mambo yaliyo kinyume na taaluma zetu, mlengwa mkubwa alikuwa ni mimi na nilipewa barua ya onyo, ingawa nilijaribu kujitetea kwamba wanakijiji hawana urafiki na walimu na wala hawatupi ushirikiano zaidi ya kutuibulia vikwazo kila uchao. Viongozi hao hawakunielewa na walinitishia kunifukuzisha kazi, ilibidi niwe mpole na kuwakubalia yote waliyo yasema.

Siku moja usiku yule mganga alinijia akaniamsha na kuniambia nimfuate, ilinibidi nivae kama yeye nilivua kila nguo na kisha kuvaa kaniki nyeusi kwa mtindo wa lubega, aliniletea vazi hilo, alitaka kunitembeza na kunionyesha maajabu ya usiku. "Vaa bangili yako," alisema, nami nikaivaa kwenye mkono wa kulia, niile bangili yenye uwezo wa kuona vitu visivyoweza kuonekana kwa macho ya kawaida. Tulitembea mpaka eneo la makaburi kisha tukakaa kimya kwa pembeni mbali kidogo ili kuweza kushuhudia yatakayo tokea.

Baada ya muda wachawi walianza kuingia hapo kila mmoja kwa usafiri wake wapo waliotua kwa ungo na wapo waliotua kwa kutumia fisi na wengine kuja mithili ya kimbunga. Niliweza kushuhudia live bila chenga, basi baada ya muda nikaona yule kiongozi wao (Mzee Samasimba) amesimama kwenye kaburi lililokuwa jipya upande wa kichwani akiwa ameshika zana zake za kazi na baadaye akatokea bibi mmoja na fimbo ndefu akapiga juu ya lile kaburi na hapo maajabu yakatokea.

Mwili wa binadamu ulipanda kutoka chini ardhini mpaka juu ya lile kaburi, waliuchukua na kisha kuugawanya na hapo kulikuwa na moto mkubwa sana waliweza kuichoma ile nyama ya binadamu na nilishuhudia yule bibi akiwalisha wachawi wenzake kwa mtindo wa kuwarushia kipande kwa kipande nao hudaka kwa kutumia mdomo wao, ni kosa kubwa unaporushiwa kipande cha nyama nawe ukashindwa kukidaka, hii ilitafsiriwa kama ni dharau kwa chama chao wanacho kiabudu. Asilimia kubwa ya wachawi ni watu wa kawaida lakini matukio wanayo yafanya ni ya aibu mno.

Tuliondoka na mganga tukatembea mpaka alipokuwa nyumba ya mzee Samasimba, tulitaka tufanye tukio la hatari, tulifika na kuukosa ulinzi kabisa kwani yule mzee alikuwa yupo kwenye sherehe za kichawi, lakini kumbe nyumbayake alisha izingira na nguvu za giza na kulikuwa na mitego aliyoitega kwamba endapo kuna mtu atakaye kuja nyumbani kwake basi yeye ni lazima angejua. Tulipita kwenye banda la uwani ni banda lililozungushwa kwa majani ya mnazi baadaye mimi nilibaki pale nje mganga alizama ndani kichawi. nilimsubiri kwa muda mrefu kidogo.

Alitoka na kabla hatujapotea ki miujiza alimwaga dawa za kuondosha ushahidi. "Nimesha muweka humu kwenye hii tunguli," akimaanisha ameuweka mzimu wa mzee Kingalu kwenye kile kibuyu, tulitoka kwa tahadhari kubwa na mara tulisikia vishindo vikubwa na kelele ya kuunguruma, ilikuwa ni kelele ya mzee Samasimba baada ya kurudi kwenye sherehe zao za kichawi, kwani huyu mzee akikasirika hutoa muungurumo kama wa mnyama Simba na hii ndio sababu walimpa jina la Samasimba. tulipotea na kukimbia kila mtu kwa njia yake.

USISITE KUANDIKA MAONI...
(NB: Kutokana na ubusy wa kazi, hadithi hii itaishia hapa ila kwa atakayetaka muendelezo wake namkaribisha PM, kwa vitabu mbalimbali vya hadithi na mikasa ya kweli na story za audiobooks.)
 
SEHEMU YA 9

"Soka unaenda wapi mbona unaniacha mwenyewe?!" Sitti aliniita nikiwa ndio kwanza naelekea nyumbani kwangu kujipumzisha baada ya kumfikisha pale alipokuwa akiishi. "Naenda zangu nyumbani, kwani we' si nimesha kufikisha kwenu? lala upumzike." "Tafadhali nisubiri!" alisema. Hapo mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, sikuwa na mazowea ya kihivyo na huyu binti nilimheshimu kama mwalimu mwenzangu tu na si vinginevyo.

Alinifuata akanikumbatia na kunibusu. Nami sikuwa mnyonge nilimpokea na ndani ya muda mfupi tukawa tukibadilishana mate alining'ang'ania, nikaona isiwe kesi nikamtoa kwanguvu kifuani kwangu. "Sikiliza Sitti, nenda kalale tutaongea kesho tusije kuyazusha mengine kwa sasa." Nilimuaga na kumbusu kwenye paji la uso wake kisha nika muangalia jinsi alivyogeuka mpaka alipoingia ndani ndipo nikatoka kwa kasi kuelekea nyumbani kwangu.

Nakumbuka siku zile nilikuwa nikiwindwa sana haswa nikiwa kazini ama nyumbani, ilikuwa ni ngumu kulala nyumbani kwangu mara kwa mara nilikuwa nikilala kiwizi wizi, hata wanafunzi wengine walikuwa wakitumwa makusudi kunijaribu wakinitafutia sababu ili waende kuwaeleza wazazi wao. Nilijitahidi kuwa makini juu ya hilo nilifanya yale yanayo nihusu tu. Mapenzi yangu kwa Sitti yalizidi kushamiri ingawa nilikuwa bado nikiwindwa sana.

Mzimu wa mzee Kingalu nao haukuacha kunisumbua, lakini kuna kitu kimoja ambacho kilinishangaza kwani ilikuwa kila nikilala nyumbani kwangu nilipata amani ambayo sikuitarajia kabisa yale mauzauza niliyokuwa nikiyaona mwanzoni yaliisha kabisa, baadaye nilikuja kugundua kwamba kuichimbia ile hirizi pale ndani ndio ilikuwa sababu ya yote, wachawi walishindwa kusogelea pale ama kufanya lolote nikiwa ndani ya ile nyumba.

Wachawi wanautaratibu wao pindi wamchukuapo mtu kichawi, husubiri kwanza kwa muda wa siku 40 kuona kama kuna vita yoyote ama ufuatiliaji wowote na hapo ndipo wangeweza kufanya maamuzi ya au kumla nyama ama kumgeuza msukule moja kwa moja. Sababu nyingine iliyo wachelewesha ni kutokana na ukweli kuwa mzee Kingalu alikuwa ni mchawi mwenzao tena mwenye daraja ya juu sana, kuna tetesi walisema kuwa alikuwa akifuga majini akiyafungia kwenye chumba maalum katika moja ya nyumba zake.

Kuna siku uongozi wa kijiji akiwemo mwenyekiti, afisa mtendaji pamoja na mwalimu mkuu walifika shuleni wakatuonya sana walimu juu ya kujihusisha na mambo yaliyo kinyume na taaluma zetu, mlengwa mkubwa alikuwa ni mimi na nilipewa barua ya onyo, ingawa nilijaribu kujitetea kwamba wanakijiji hawana urafiki na walimu na wala hawatupi ushirikiano zaidi ya kutuibulia vikwazo kila uchao. Viongozi hao hawakunielewa na walinitishia kunifukuzisha kazi, ilibidi niwe mpole na kuwakubalia yote waliyo yasema.

Siku moja usiku yule mganga alinijia akaniamsha na kuniambia nimfuate, ilinibidi nivae kama yeye nilivua kila nguo na kisha kuvaa kaniki nyeusi kwa mtindo wa lubega, aliniletea vazi hilo, alitaka kunitembeza na kunionyesha maajabu ya usiku. "Vaa bangili yako," alisema, nami nikaivaa kwenye mkono wa kulia, niile bangili yenye uwezo wa kuona vitu visivyoweza kuonekana kwa macho ya kawaida. Tulitembea mpaka eneo la makaburi kisha tukakaa kimya kwa pembeni mbali kidogo ili kuweza kushuhudia yatakayo tokea.

Baada ya muda wachawi walianza kuingia hapo kila mmoja kwa usafiri wake wapo waliotua kwa ungo na wapo waliotua kwa kutumia fisi na wengine kuja mithili ya kimbunga. Niliweza kushuhudia live bila chenga, basi baada ya muda nikaona yule kiongozi wao (Mzee Samasimba) amesimama kwenye kaburi lililokuwa jipya upande wa kichwani akiwa ameshika zana zake za kazi na baadaye akatokea bibi mmoja na fimbo ndefu akapiga juu ya lile kaburi na hapo maajabu yakatokea.

Mwili wa binadamu ulipanda kutoka chini ardhini mpaka juu ya lile kaburi, waliuchukua na kisha kuugawanya na hapo kulikuwa na moto mkubwa sana waliweza kuichoma ile nyama ya binadamu na nilishuhudia yule bibi akiwalisha wachawi wenzake kwa mtindo wa kuwarushia kipande kwa kipande nao hudaka kwa kutumia mdomo wao, ni kosa kubwa unaporushiwa kipande cha nyama nawe ukashindwa kukidaka, hii ilitafsiriwa kama ni dharau kwa chama chao wanacho kiabudu. Asilimia kubwa ya wachawi ni watu wa kawaida lakini matukio wanayo yafanya ni ya aibu mno.

Tuliondoka na mganga tukatembea mpaka alipokuwa nyumba ya mzee Samasimba, tulitaka tufanye tukio la hatari, tulifika na kuukosa ulinzi kabisa kwani yule mzee alikuwa yupo kwenye sherehe za kichawi, lakini kumbe nyumbayake alisha izingira na nguvu za giza na kulikuwa na mitego aliyoitega kwamba endapo kuna mtu atakaye kuja nyumbani kwake basi yeye ni lazima angejua. Tulipita kwenye banda la uwani ni banda lililozungushwa kwa majani ya mnazi baadaye mimi nilibaki pale nje mganga alizama ndani kichawi. nilimsubiri kwa muda mrefu kidogo.

Alitoka na kabla hatujapotea ki miujiza alimwaga dawa za kuondosha ushahidi. "Nimesha muweka humu kwenye hii tunguli," akimaanisha ameuweka mzimu wa mzee Kingalu kwenye kile kibuyu, tulitoka kwa tahadhari kubwa na mara tulisikia vishindo vikubwa na kelele ya kuunguruma, ilikuwa ni kelele ya mzee Samasimba baada ya kurudi kwenye sherehe zao za kichawi, kwani huyu mzee akikasirika hutoa muungurumo kama wa mnyama Simba na hii ndio sababu walimpa jina la Samasimba. tulipotea na kukimbia kila mtu kwa njia yake.

USISITE KUANDIKA MAONI...
(NB: Kutokana na ubusy wa kazi, hadithi hii itaishia hapa ila kwa atakayetaka muendelezo wake namkaribisha PM, kwa vitabu mbalimbali vya hadithi na mikasa ya kweli na story za audiobooks.)


Mkuu shusha muendelezo .
 
Vipo vitabu vya hadithi za kutisha kwa yeyote atakaye hitaji hadithi ni za ukweli na nyingine za kubuni, kwa stori hii nitaishia hapa hopefully mnaenjoy na kujifunza pia, napokea maoni kupitia private messages (PM).
 
Back
Top Bottom