mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
Hahaaa
Nakumbuka nilimwandikia barua nikamwabia wewe ni dokta wa ugonjwa wangu, lazizi cjiwez kwako sasa barua ikaokotwa na wambea wa shule hata hawakuamini kama ni mimi na ukauzu kama Hitler.
Mpaka Leo demu ni mke wa mtu na watoto wawili




ukaishia kutenga maji hata kunawa huku nawa haaaa haaaAcha tu sema nilikuwa napima uwezo wa kuvamia msitu kama nikofit kwa wakati ujaoukaishia kutenga maji hata kunawa huku nawa haaaa haaa
Acha tu sema nilikuwa napima uwezo wa kuvamia msitu kama nikofit kwa wakati ujao





kama nakuona vile,nikiwa darasa lakwanza niliokota barua sasa kusoma vizuri sijui mpaka nitulie si nikaitunza ikaja dondoka darasani haaaàa Mwl akaiokota uwiiii tukala viboko darasa zima, Mwl Njoka nakukumbuka sana