mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 224
Hahaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaishia kutenga maji hata kunawa huku nawa haaaa haaaNakumbuka nilimwandikia barua nikamwabia wewe ni dokta wa ugonjwa wangu, lazizi cjiwez kwako sasa barua ikaokotwa na wambea wa shule hata hawakuamini kama ni mimi na ukauzu kama Hitler.
Mpaka Leo demu ni mke wa mtu na watoto wawili
Acha tu sema nilikuwa napima uwezo wa kuvamia msitu kama nikofit kwa wakati ujao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaishia kutenga maji hata kunawa huku nawa haaaa haaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama nakuona vile,nikiwa darasa lakwanza niliokota barua sasa kusoma vizuri sijui mpaka nitulie si nikaitunza ikaja dondoka darasani haaaàa Mwl akaiokota uwiiii tukala viboko darasa zima, Mwl Njoka nakukumbuka sanaAcha tu sema nilikuwa napima uwezo wa kuvamia msitu kama nikofit kwa wakati ujao