Sitosahau niliponusurika 'kufumuliwa marinda'

Sitosahau niliponusurika 'kufumuliwa marinda'

I second yuuu
Kwanza mwanaume unajiitaje baby??jamaa gasho huyu
Huna marinda wewe na Ray bayb ni sawa tu. Alafu unatangaza biashara wewe. Haiwezekani mwanaume ambae kweli alipata uchungu kwa kushikwa kinguvu uje uongee kwa confidence namna hii.

Lazima mchezo ulikunogea huo na hapa unatafuta wapumulia kisogo wewe.



Ngastuka machale kundesaaa
 
Kuna mtu na mume mkuu. Hata mimi nina mtu/watu lakini wakijuana hawataweza fanyiana mbaya kama kula mke wa mtu
Aaahgh " mzigua acha masihara " inategemea hao watu/? mtu uliye nae amewekeza nguvu zake kwa kiasi gani kwako .... kuna watu tumeshawahuhudia wakipatwa na mabalaa kwakutoka na mademu wa watu tu ..achilia mbali wake za watu
 
Nimenote vitu fulani kwenye uandishi wako nimejiridhisha pasipo shaka kuwa wewe ni MMATENGO. Nyinyi watu huwa ni wazinzi mno na hamuwagi na mke mmoja hata mkiwa wakristo, halafu tabia hii mmesingizia jirani zenu wangoni wastaarabu kabisa.
Wote ni wale wale
 
Hapa ndo pakuambiana ukwel, kama huamin mchukue mke wa mtu halafu jianike nae ndio utaelewa
Huna marinda wewe na Ray bayb ni sawa tu. Alafu unatangaza biashara wewe. Haiwezekani mwanaume ambae kweli alipata uchungu kwa kushikwa kinguvu uje uongee kwa confidence namna hii.

Lazima mchezo ulikunogea huo na hapa unatafuta wapumulia kisogo wewe.



Ngastuka machale kundesaaa
 
So hapo huna marinda
Anayo miwili tu ndo yaliyobakia, hujaona hapo jamaa kasema wanajeshi waliwahi kumuokoa na mfiraji hakukojoa, so jamaa atakuwa alikata baadhi yakabakia matunda mawili au moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom