Chimbekeha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2018
- 1,193
- 2,176
Habarini wadau wa JF pole na majukum ya kila cku,,
straight to the point.
wakati niko mdogo takriban miak 10 hv cku moja nko ktk harakat zangu za mawindo nilijikuta nipo katikat ya pori kama kawaida ya mawindo ya bush, ile cjatulia vzur mara chui kaingia! Daah niliishiwa nguvu na ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona chui wakati huo niko juu ya mti chui yuko chini, hata cjui niliponaje kama c ukuu wa mungu tu..
straight to the point.
wakati niko mdogo takriban miak 10 hv cku moja nko ktk harakat zangu za mawindo nilijikuta nipo katikat ya pori kama kawaida ya mawindo ya bush, ile cjatulia vzur mara chui kaingia! Daah niliishiwa nguvu na ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona chui wakati huo niko juu ya mti chui yuko chini, hata cjui niliponaje kama c ukuu wa mungu tu..
