Ngeleja, nafikiri kwa ushauri tu angeomba ahamishwe ile wizara ili tupime utendaji wake. Inawezekana ni mchapa kazi mzuri ila emawekwa sehemu ambayo ni ngumu kuweza kuonyesha uwezo wake. Ni sawa na kumpanga Kaseja kucheza number 9, kama sio mzoefu atashindwa kucheza vizuri. Ningeshauri Ngeleja aende Wizara ya Ujenzi, na Mzee Magufuli tumlete pale Nishati na Madini tuone kama uozo uko kwa Ngeleja au ni Wizara husika.