Wiki iliyopita nilikutana na kitabu kimeandikwa Sitasahau Mv.Bukoba hapa katika maktaba ya chuo(UDSM) mwanzoni nilifikiri ni kama vitabu vya shigongo.nikapata mstuko kidogo,shigongo na maktaba ya chuo kikuu wapi na wapi.anyway nikadhani labda wanakifanyia utafiti.
Anyway nikakichukua nakuanza kukisoma.mungu wangu!niliyoyakuta mle ndani ni tofauti ni mtizamo wangu wa awali,kumbei madongo kwa utwala wa mkapa kwa namna walivyo chemka katika kushughulikia ajali ya mv.bukoba na ufisadi uiombatana na ile ajali,kimsingi kitabu hiki kinasikitisha na kuamsha madonda hasa kwetu sie tunaotokea kagera.kinaliza,kinachekesha na kutekenya bongo zetu,nakugundua pia miongoni ya watu wallondika utangulizi ni Prof.Haroub Othman,mwalimu wangu makini.
sina hakika kama mwandishi wa kitabu hiki alikitoa kipindi mkapa yupo madarakani,kama alikitoa wakati huo basi sasahivi atakua ni mkimbizi ama hatunae tena duniani.
Kumbe ufisadi haukuanza leo,kama ofisi ya waziri mkuu inaweza ikamlipa mtu kama vile amefariki na kumbe yupo hai,inasikitisha,kuna double payment nyingi sana kumbe zilifanyika,shemeji yangu wa kanyigo alilipwa kama alienusurika,lakini jina lake likaonekana limelipwa tena kama marehemu!mh,hiki kitabu kimeniamsha
Anyway nikakichukua nakuanza kukisoma.mungu wangu!niliyoyakuta mle ndani ni tofauti ni mtizamo wangu wa awali,kumbei madongo kwa utwala wa mkapa kwa namna walivyo chemka katika kushughulikia ajali ya mv.bukoba na ufisadi uiombatana na ile ajali,kimsingi kitabu hiki kinasikitisha na kuamsha madonda hasa kwetu sie tunaotokea kagera.kinaliza,kinachekesha na kutekenya bongo zetu,nakugundua pia miongoni ya watu wallondika utangulizi ni Prof.Haroub Othman,mwalimu wangu makini.
sina hakika kama mwandishi wa kitabu hiki alikitoa kipindi mkapa yupo madarakani,kama alikitoa wakati huo basi sasahivi atakua ni mkimbizi ama hatunae tena duniani.
Kumbe ufisadi haukuanza leo,kama ofisi ya waziri mkuu inaweza ikamlipa mtu kama vile amefariki na kumbe yupo hai,inasikitisha,kuna double payment nyingi sana kumbe zilifanyika,shemeji yangu wa kanyigo alilipwa kama alienusurika,lakini jina lake likaonekana limelipwa tena kama marehemu!mh,hiki kitabu kimeniamsha