Sitarudia kutongoza tena kwenye harusi

Sitarudia kutongoza tena kwenye harusi

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
4,539
Reaction score
10,372
Wazee basi, Jana katika Harakati nikiwa nimeenda kwenye sherehe mshikaji alikua anaoa

Sherehe, ilifana sana basi kama kawaida nikawa napiga zangu bia meza yetu ilkua ni kreti la safari larger na kali moja

Ikafika muda wakuu kibofu kikatingwa Ikabidi niende maliwato kupunguza acid,

Nje kulikuwa kiza, mbele yangu akaja demu Anabonge la maliwato/mataqo makubwa nikaomba Namba, hakuchomoa, nayeye alikua vibe pombe huwezi amini kakubali

Sasa Leo jioni nimemuita kaja baa fulani bila make up wala msabWanda wa godoro imebidi nikimbie😂wakuu

Msimu huu wa baridi na bia zinaponza
 

Attachments

  • Screenshot_20250412_231854.jpg
    Screenshot_20250412_231854.jpg
    142.9 KB · Views: 18
Hivyo ndivyo atakavyokufanyia hata kama ungemwoa. Hii ndo kusema timu ya kataa ndoa imepata points tatu za mezani.

kataa ndoa kwa maana ni optical illusion.
 
Hivyo ndivyo atakavyokufanyia hata kama ungemwoa. Hii ndo kusema timu ya kataa ndoa imepata points tatu za mezani.

kataa ndoa kwa maana ni optical illusion.
Kaka mimi kuoa lazima miaka 5 ijayo Nitakua sio bachela tena
Hahaha i can imagine the pain ni vizuri umtongoze mwanamke day light ukiwa na akili timamu usiku sio muda mzuri kwa vitu vingi
AFU niliona kama nyonyo zake ni kubwa kubwa zimesimama 🤣Oya sio pia niliemuona ni ardhi na mbingu nyonyo futi 6
 
Wazee basi, Jana katika Harakati nikiwa nimeenda kwenye sherehe mshikaji alikua anaoa

Sherehe, ilifana sana basi kama kawaida nikawa napiga zangu bia meza yetu ilkua ni kreti la safari larger na kali moja

Ikafika muda wakuu kibofu kikatingwa Ikabidi niende maliwato kupunguza acid,

Nje kulikuwa kiza, mbele yangu akaja demu Anabonge la maliwato/mataqo makubwa nikaomba Namba, hakuchomoa, nayeye alikua vibe pombe huwezi amini kakubali

Sasa Leo jioni nimemuita kaja baa fulani bila make up wala msabWanda wa godoro imebidi nikimbie😂wakuu

Msimu huu wa baridi na bia zinaponza
Ilishanitokea ile nataka kukimbia likanitext eti "Na utaila kwa lazima", anyway niliichapa lilikua fundi balaa
 
Ilishanitokea ile nataka kukimbia likanitext eti "Na utaila kwa lazima", anyway niliichapa lilikua fundi balaa
Dah Sema wanaume tuna tamaa ya karibu sana, mimi nikipiga bia moja tu

Hapo hapo, huwa nawaza kutokulala mwenyewe
 
Kila la kheri katika ndoa yako, natumai utarudi timuni baada ya siku chache za ndoa.
Baba nakasubiri kabinti kamoja kule kijijini kwetu shinyanga mwendakulima kamalize form four kapo 17 years now, mwakani 18 nitakua 36 of age nakaoa

Binti kama huyu hawez ni lshinda kumcontrol
 
Wazee basi, Jana katika Harakati nikiwa nimeenda kwenye sherehe mshikaji alikua anaoa

Sherehe, ilifana sana basi kama kawaida nikawa napiga zangu bia meza yetu ilkua ni kreti la safari larger na kali moja

Ikafika muda wakuu kibofu kikatingwa Ikabidi niende maliwato kupunguza acid,

Nje kulikuwa kiza, mbele yangu akaja demu Anabonge la maliwato/mataqo makubwa nikaomba Namba, hakuchomoa, nayeye alikua vibe pombe huwezi amini kakubali

Sasa Leo jioni nimemuita kaja baa fulani bila make up wala msabWanda wa godoro imebidi nikimbie😂wakuu

Msimu huu wa baridi na bia zinaponza
Aisee!!👿
 
😂😂😂😂😂 Ulidhani umepata kumbe noma mwanangu!!!!
Nikajua nimepata kumbe Mwenzenu nimepatikana
Yanini malumbano Yanini maneno najiweka pembeni kuepusha msongamano Mola nijalie haya yasinirudie
Bora nitulie ningoje zangu na mie

Nenda nenda aaah nenda na ata kama zamani Nilipenda -20% song🤣🙌
 
Back
Top Bottom