Sitarudia kutongoza tena kwenye harusi

Sitarudia kutongoza tena kwenye harusi

Hi ilishanitokea....kipindi hiyo niko uganda,mitaa kabalagalaa(Nje ya Capital club)nika.mtongoza mmaza kigandaa,tumemalizia mazungumzo tuka.zangamuoneee kumbeeee kilemaaaaa dah!!wakati na mtongoza alikuwa amekaa na mimi nilikua vyomboo kimtindo,nika muonea hurumaa ikabidi nikapigeee tu.....siku nyingine mitaa ya sibico hostel kasangaaa,nika omba number nikaandikiwa kumbe demu bubuuuu
 
Hi ilishanitokea....kipindi hiyo niko uganda,mitaa kabalagalaa(Nje ya Capital club)nika.mtongoza mmaza kigandaa,tumemalizia mazungumzo tuka.zangamuoneee kumbeeee kilemaaaaa dah!!wakati na mtongoza alikuwa amekaa na mimi nilikua vyomboo kimtindo,nika muonea hurumaa ikabidi nikapigeee tu.....siku nyingine mitaa ya sibico hostel kasangaaa,nika omba number nikaandikiwa kumbe demu bubuuuu
half london kabalagala
 
Hii ilinikuta LA VIDA Tanga tukiwa Mimi na rafiki yangu baada ya kumaliza kidato cha sita tukaenda kuliaga jiji, tumezama club sasa ile Niko tungi hata sioni mbele nikaona pisi Moja Kali sana halafu Kila nikiitazama inatabasamu...

Kumbuka Niko boarding miaka miwili nateswa na mahesabu na fizikia basi nikaona hapa silazi damu nikiimbia direct "nakata Nika...kut...ombe..." Ikacheka ikasema sawa basi hao tukaenda lodge Moja Iko nyuma ya uwanja wa mkwakwani opposite na reli..

Dah nimepiga show nashukuru Mungu nilivaa zana Ile nimemaliza nampitia mchizi wangu tusepe maana yeye alibaki nje akasema na yeye na genye kama vipi akapige nikamwambia kazi ni kwako jomba akaenda kupunguzu upwiru

Sasa Ile tunaondoka ndo jamaa ananisanua yule ni bibi kabisa sema ilibidi tu apige maana alikua mwisho...
Sitasahau
 
Back
Top Bottom