Sitanii natafuta mchumba awe kanda ya ziwa

Sitanii natafuta mchumba awe kanda ya ziwa

kumbe nikweli wakina dada wa humu ni pesa mkononi hawapendi kumilikiwa ili watuchune kisawasawa
 
Wakina dada ebu onyesheni huruma,jitokezeni basi.
 
Mkuu mbona umeweka boundary ya kanda ya ziwa tu kulikoni? Au mtonyo wa nauli kwa watu wa ruvuma au katavi watakaokupenda ni shida.? Hahahahaa
 
Najitokeza leo nikitafuta mchumba, nina miaka 27. ninaishi mwanza nimejiajili naomba awe na
Vigezo hivi:

1. Awe mkristo,
2. Awe na miaka isiyo zidi 23,
3. kabila sibagui. Naaidi kumpenda sana atakae jitokeza.

Kwa hali ya sasa taja na jinsia ya unayetaka kumuwowa au kuwolewa naye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom