Sitanii natafuta mchumba awe kanda ya ziwa

Sitanii natafuta mchumba awe kanda ya ziwa

kigogo1ivi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
539
Reaction score
343
Najitokeza leo nikitafuta mchumba, nina miaka 27. ninaishi mwanza nimejiajili naomba awe na
Vigezo hivi:

1. Awe mkristo,
2. Awe na miaka isiyo zidi 23,
3. kabila sibagui. Naaidi kumpenda sana atakae jitokeza.
 
Wew mwenyew unafnya kaz gan,umri muonekano wako ulshawh kuowa ukacha au vip-ila kama huna pesa bora upige kimya
 
Wew mwenyew unafnya kaz gan,umri muonekano wako ulshawh kuowa ukacha au vip-ila kama huna pesa bora upige kimya

Ninafanya kazi nzuri tu inayo nilipa ndio kwanza nataka niowe kuhusu umli nina miaka 27. uliza swali lingine
 
Sina mzaha na hili kama yupo ani PM tafadhari
 
Mwanza kubwa hvo!!mie npo magu je nimekidh hitaji lako au unawataka wa buhongwa,airpot na wa igoma??
 
Inamaana humu wanawake wote wameolewa? mbona sioni PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom