Sitanii natafuta mchumba awe kanda ya ziwa

Sitanii natafuta mchumba awe kanda ya ziwa

najitokeza leo nikitafuta mchumba, nina miaka 27. Ninaishi mwanza nimejiajili naomba awe na
vigezo hivi:

1. Awe mkristo,
2. Awe na miaka isiyo zidi 23,
3. Kabila sibagui. Naaidi kumpenda sana atakae jitokeza.

unataka kukombwa vitu vya ndani wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom