"Sitamuibia Polisi tena"!!!

"Sitamuibia Polisi tena"!!!

upio

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
42
Reaction score
19
Hii ni kauli iliyotolewa na mwizi baada ya kuiba wallet ya polisi na kukuta yafuatayo:-
1.Majina ya vibaka
2.majina ya mafail aliyonayo. 3.majina ya watoto waliobakwa 4.majina ya watu/mama rishe wanaomdai,
5.kadi ya sherehe
6.Ratiba ya lindo
7.saraly slip yenye mikopo 4
8.Risiti ya atm inayoonesha salio 0.000/= ,
9.Kadi ya bima ya afya.

Mwizi akaapa na kusema"sitapoteza muda wangu kumuibia Polisi".

Sent from my fingertips using JamiiForums
 
Aroo una utani na serikari ya jamuhuri ya muungano wa Tanganyika na Zimbabwe?
 
Back
Top Bottom