upio
Member
- Apr 1, 2012
- 42
- 19
Hii ni kauli iliyotolewa na mwizi baada ya kuiba wallet ya polisi na kukuta yafuatayo:-
1.Majina ya vibaka
2.majina ya mafail aliyonayo. 3.majina ya watoto waliobakwa 4.majina ya watu/mama rishe wanaomdai,
5.kadi ya sherehe
6.Ratiba ya lindo
7.saraly slip yenye mikopo 4
8.Risiti ya atm inayoonesha salio 0.000/= ,
9.Kadi ya bima ya afya.
Mwizi akaapa na kusema"sitapoteza muda wangu kumuibia Polisi".
Sent from my fingertips using JamiiForums
1.Majina ya vibaka
2.majina ya mafail aliyonayo. 3.majina ya watoto waliobakwa 4.majina ya watu/mama rishe wanaomdai,
5.kadi ya sherehe
6.Ratiba ya lindo
7.saraly slip yenye mikopo 4
8.Risiti ya atm inayoonesha salio 0.000/= ,
9.Kadi ya bima ya afya.
Mwizi akaapa na kusema"sitapoteza muda wangu kumuibia Polisi".
Sent from my fingertips using JamiiForums