Sitakusahau mpenzi wangu

Sitakusahau mpenzi wangu

Pole mwamba wa Lusaka. Wengine tumepitia hali ngumu kuliko hiyo. Hamna jambo nzuri kama mwanamke kumuacha mwanaume. Hapo kakuonyesha tu picha ya nje. Unamfuata fuata? Mshukuru Mungu. Tena huenda katumia sana visenti vyako upatavyo Kwa taabu, huku mama yako humtumii kitu ukilia hali ngumu. Tafuta pesa acha utoto, unalilia kifo? Mwanamke anakuacha unalia kifala? Unataka akuonee huruma? Mwanamke wa kuoa atakuvumilia kwa mengi. Acha udhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mapapuchi ya bure yalivyojaa huku mitaani,wewe unalilia papuchi moja?au hiyo papuchi unayoililia ilikuwa inakunya noti za dola mia?
 
Kwann ulie ulie piga chini jipe moyo utapata demu mkali zaid, tafuta pesa kwa nguvu najua watu mlio umizwa huwa mnapiga kaz kwa bidii sana!
 
Dogo tafuta pesa,ukiwa na hela wanajileta,wao ndio wanakulilia.
Nakumbuka interview ya Diamond,anasema anawamega sana sababu aliishi maisha magumu sana,mademu walikua wanamdis sana na ule mdomo wake. Hivyo anawaonyesha nguvu ya pesa.
 
Watu bana Eti tafuta pesa, wapo wenye pesa na bado wanaumizwa na mapenzi, kuwa na pesa na kulala na wanawake wengi, hakuwezi kumaliza ule upendo wa dhati uliokua nao kwa mtu fulani. Hamna kitu kinawaumiza hao wenye pesa wanapompenda mtu kweli na unakuta huyo mtu yupo pale kwa ajili ya pesa tu na hana mpango nae kabisa, yani anakuja kuvuna na kutumia na watu wengine anaowapenda yeye. Saa nyingine mapenzi sio pesa japokuwa pesa inanguvu kubwa.
 
Mwanaume unalialia kisa mwanamke!
Nasikitika sana brother, kumbuka wanaokutegemea ni wengi sana kuliko huyo unayemuwazia. Huyo tayari ameshachukuliwa.

Wamejaa tena ni wengi mno.
Fanya Super Substitution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maisha baada ya kuachwa songa mbele achana na mawazo potofu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom