Sitakusahau mpenzi wangu

Sitakusahau mpenzi wangu

chamaclotus

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,146
Reaction score
2,338
Uliniacha baada ya mambo yangu kuyumba na kukosa ajira. ukapata jamaa mwingine mwenye kazi nzuri na handsome.

Nakumbuka nilitoa machozi kwa ajili yako ukasema umeona wengi wakilia. nakumbuka nilitembea kwa mguu mikoa kadhaa kuja kukuona ukasema niachane na wewe.

Huwa nikikumbuka nakosa nguvu najua by the way sina siku nyingi za kuishi maana duniani tunapita. i wish you good life.
 
Naelewa situation hio! Ngoja nikae kimya tutaongea ukiwa mkubwa. Tafuta wimbo wa Lucky Dube unaitwa it's NOT easy. Ukufariji
 
Mpaka Corona iishe watoto mrudi shule tutakuwa tumesoma mengi sana Jf
 
Naelewa situation hio! Ngoja nikae kimya tutaongea ukiwa mkubwa. Tafuta wimbo wa Lucky Dube unaitwa it's NOT easy. Ukufariji
[/QUOTE dogo tafuta hela samaki wako wengi sana mtoni unalilia mwanamke?inaonekana unapenda slope ulitaka ukulee?
 
Unaleta mapenzi ya picha za kihindi huku una mpenzi wa bongo movie utakufa na kihoro!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom