Habari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Ni kweli hii mkuu?Kilimanjaro. Ng'ombe kafa kwa kimeta. Kachinjwa, kachunwa. Mganga wa mifugo feki na mihuri yake katwanga mihuri kibao! Nyama buchani.
Baadaye: Watu wafa na wengine kibao hoiii!! Imetokea juzi.
Aliyetakiwa kuwa na huruma ni wewe kabla ya wafanyabiashara unaowasingizia, mlijua nyama haitakiwi kuliwa sasa ikawaje mkampeleka mmasai mpaka mlipotupa ng'ombe mkijua ataenda kulisha watu?, na bado hela ya soda elfu 50 mkachukuaHabari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Kosa liko kwenu mulitakiwa mumfukie siyo kumtupa tu porini.Habari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Achaa uwongo kurongosheaaa masaai....kwani msimzikee mkamtupeee.si kabila letu Kuna baadhi ya baba zangu wanakula mizogaaaaHabari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Play your Part.Watu wanafukua
Wangemfukua tu