Me ndio maaana huwa napenda kuandaa chakula changu mwenyewe. I can't trust anyone with my food.kwenye mahotel umepeleleza? jikoni hapo kwako wakati dada ama mkeo anakuandalia chakula umeshapeleleza ? ndugu utajipa presha bure, as long as maisha yanakwenda we kula tu cha msingi usidhurike - maana hapo ulipo ushakula vibudu ama nyamafu wengi mno bila kujua.
Aisee, acha kabisa!kwenye mahotel umepeleleza? jikoni hapo kwako wakati dada ama mkeo anakuandalia chakula umeshapeleleza ? ndugu utajipa presha bure, as long as maisha yanakwenda we kula tu cha msingi usidhurike - maana hapo ulipo ushakula vibudu ama nyamafu wengi mno bila kujua.
Mkuu au ni rombo huko ,maana nasikia kuna watu wamekufa na wengine wapo hospital kwa kuhofia kuwa watakua wamekula nyama ya ng'ombe mwenye kimetaHabari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Ukifukia masai na wagogo usiku wanafukua na kwenda kuuza.Kwa uelewa wangu ktk nyanja ya ufugaji Mfugo yoyote akifa ni lazima afukiwe, hapo wenye kosa kwakweli ni nyinyi ambao mlipashwa kumfukia vini vyema. Kuna baadhi ya magonjwa ukifukia unamwagia na dawa au unawateketeza kwa moto kabisa, maana baadhi yanawaambukiza wanadamu na nihatatarishi kuyaacha juu maana huleta maambukizi mapya kwa mifugo wazungukao hilo eneo.
Mmasai na makabila mengi ya wafugaji huwa hawatupi mzoga wa ngombe labda awe na kineta au kafa kwa njaa...yani mimi kula kibudu ni ngumu mana nyama nakagua pia najua sana nyama,ikiwa kibudu hawezi kutundikwa bar nzi watakua kma wote mana harufu yke inavutia nziHabari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Kweli kabisa. Ulizia, iko wazi kabisaNi kweli hii mkuu?
Watu wanachinja kuku walokufa nakutupwa dampo nakuwauza kwny migahawa etc, mbuzi pia vivyo hivyo and the list goes on. Kufanya hivi vitendo ni hulka ya muuzaji tu pekee, life goes onHabari wana JF naomba tuwe makini na hili
Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi
Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa
Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone
Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini
Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano
Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa
Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote
Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Nimesoma vizuri,hata kama hukuuza,kitendo cha wao kuchukua mzoga na kukupa hela ya soda ni dhahiri ulijua kinachofuata maana walikwambia,ulipaswa utoe taarifa au ungekataa kuwapa na uchome moto huo mzoga.Umesoma vizuri lakini