Sitakula tena nyama za baa

Habari wana JF naomba tuwe makini na hili

Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi

Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa

Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone

Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini

Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano

Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa

Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote

Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma

Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi

Na nyie mlichukua 250,000
 
Ng'ombe kafa na ninyi ndio mliowaelekeza wamaasai wapi pa kuupata mzoga wake...

Lakini lawama wanabeba wamaasai
 
Habari wana JF naomba tuwe makini na hili

Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi

Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa

Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone

Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini

Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano

Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa

Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote

Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma

Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Aliyetakiwa kuwa na huruma ni wewe kabla ya wafanyabiashara unaowasingizia, mlijua nyama haitakiwi kuliwa sasa ikawaje mkampeleka mmasai mpaka mlipotupa ng'ombe mkijua ataenda kulisha watu?, na bado hela ya soda elfu 50 mkachukua
 
Makosa yako kumtupa tu ilibidi azikwe
Kama mganga angejulishwa naona angesimamia zoezi lote
 
MBNA hio Ni kawaida Sana Kuna RAIA flan Kama mwaka 2010 hivi alizikwa mchana usiku wakaenda kumfukua n'gombe wakachuna nyama wakaenda kuuza
 
Mi naona wewe ndio mwenye tatizo ,ng'ombe amefariki na bado unamuuza?Kwani hukujua kwamba ukimuuza nini kinafuata?
 
Wewe ndio huna utu ungetakiwa huyo ng'ombe mumwagie mafuta ya taa na kuchoma kuliko kuuza vibudu kwa watu wengine
 
Habari wana JF naomba tuwe makini na hili

Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi

Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa

Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone

Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini

Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano

Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa

Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote

Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma

Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Kosa liko kwenu mulitakiwa mumfukie siyo kumtupa tu porini.
 
Habari wana JF naomba tuwe makini na hili

Hapa home kuna ng'ombe kama 25 hivi sasa siku moja ng'ombe mmoja akaumwa kwa siku kama mbili hivi

Tunajitahidi kumpa dawa kwa kadri ya uwezo wetu lakini kwa bahati mbaya akafa

Lakini wakati anaumwa tukawaita kabila jamii ya wafugaji (wamasai) waje kutusaidia baadhi ya dawa ili apone

Baada ya yule ng'ombe kufa zIkamjulisha yule mmasai kwamba yule ng'ombe amekufa na tukaenda kumtupa porini

Kutokana na maelezo ya dawa ng'ombe yule nyama yake iliwe siku 14 baada ya kudungwa sindano

Kisanga kikaanza yule mmasai bwana akapiga simu anauliza mara kumi kumi kama yule ng'ombe ni kweli hatumtaki na tushamtupa

Baada ya kumjibu akatuma vijana wawili wakatuambia tuwapeleke wakamchune kwan kuna mtu anataka ile nyama kwa laki 2 ng'ombe wote

Tukawapeleka wakachuna wakauza na hela ya soda elfu 50 wakaileta home wenyewe wameenda kuiuza kwenye baa moja maarufu sana ambayo watu wengi huenda kunywa supu hapo na nyama choma

Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi
Achaa uwongo kurongosheaaa masaai....kwani msimzikee mkamtupeee.si kabila letu Kuna baadhi ya baba zangu wanakula mizogaaaa
 
Enyi wafanyabiashara wenzangu tuwe na huruma na maisha ya watu pesa zinaisha ila uhai wa mtu ukienda haurudi

Enyi wafugaji Pindi mifugo yenu ikifa Kwa Ugonjwa muwe mnaifukia chini ya ardhi ili kupunguza maambukizi ya hayo maradhi Kwa mifugo wengine hata Kwa wanadamu pia.. Msiwe mnatupa tu mizoga
 
Enyi wafugaji Pindi mifugo yenu ikifa Kwa Ugonjwa muwe mnaifukia chini ya ardhi ili kupunguza maambukizi ya hayo maradhi Kwa mifugo wengine hata Kwa wanadamu pia.. Msiwe mnatupa tu mizoga
Watu wanafukua
 
Wangemfukua tu

kumfukua ni process ambayo inaweza kuwaletea shida katikakati ya zoezi kuliko kutupa ambapo wataokota tu na wanaweza hata kufika na kuchinja ukawakuta wanachuna tu..

Lakini pia tufuate taratibu za kuangamiza vitu kama hivi mwisho wa siku...
 
Kwa hiyo unachojaribu kutueleza ni namna gani ulivyo bogus kula njama na huyo masai na muuza supu kuuzia watu nyama ambayo si salama kwa walaji, au nimekuelewa tofauti?
 
Ila kwanini utupe. Ungechuna ngozi ikauzwe. Halafu hiyo nyama ungeuza kwa wafuga mbwa mbali mbali.... Mwangewapikia mbwa wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom