Sitaki tena kupaa angani

Sitaki tena kupaa angani

Hebu tufundishe kupaa kwanza kabla ya kuacha....ila inawezekana nikaenda kufunga mzigo China na kurudi nao kwa njia hii?
 
Wadau salaam,

Nataka kushirikisha uzoefu wangu kidogo kuhusu haya masuala ya kupaa angani usiku na hata mchana. Faida na hata hasara zake!

Nilibahatika kuishi na mjapani mmoja jina lake Yokho Zim nchini Canada. Huyu mtu alikuwa mpole na mstaarabu sana. Alipendwa na kila mtu miaka hiyo ya '90 wakati tunasoma chuo kimoja jijini Ontario. Kwa kuwa nilikuwa mtu ninayejiweza kimasomo alishawishika kuambatana nami kila mahali na hapo ndipo nilipoanza kuichunguza mienendo yake.

Kama angeamua kukaa kimya hata iweje asemi na mtu. Aidha kama ingetokea nikamwacha mji mwingine kama Saskatchewan au Fort hills nilikuwa nashangaa kukuta ashanitangulia kufika chuoni. Angelala kumuamsha haikuwa rahisi labda aamke mwenyewe. Ungemwazia vibaya angekuuliza "kwa nini unaniwazia hivyo?" au "kwani nimekukosea nini hadi utake kuni...." tabia hiyo ilishangaza wengi.

Hayo na mengine mengi yalinipelekea kumchunguza ndipo nilipomgundua hakuwa mtu wa kawaida!

Alipogundua kuwa nishamgundua aliniambia mambo mengi sana ya ajabu na ya kutisha kwa angalizo nisimwambie mtu yoyote, la sivyo ningekutwa ya kunikuta!

Niliamua kukaa kimya, hatimaye nikamsihi anifundishe 'manjonjo' yake, akakubali kwa sharti lilelile la kumsetiri. Tulianza kufanya mazoezi kila siku za j.4 na alhamis mida ya saa 2 - 5 na kuanzia saa 5 - 9 usiku tulikuwa tunaenda 'field'!

Tulipomaliza chuo kila mmoja akashika njia yake, akarudi kwao Japan nikaenda kufanya kazi Colombia. Hata hivyo tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara, mara mie nimfuate Japan au yeye anifuate Colombia. Tulikuwa tunapaa zetu kila tulipotaka kutembeleana.

Niliporudi Tanzania mwaka 2010 niliishi maisha hayo hayo ya kupaa, kupotea ghafla (disappear), kusense mind za watu, kujihudhurisha katikati ya watu bila wao kunitambua, kulala na wanawake ofsn bila wao kujua iwe ucku au mchana, kusema mawazo ya mke wangu nk.

Maisha haya yamenikosesha raha sana kwa sababu nakosa kampani ya watu, ndg na jamaa wananiogopa, nikifika mahali watu wanakaa kimya au wanatawanyika, mke wangu wa kwanza amenikimbia, Wateja kwenye biashara zangu wanapungua kila mara, sipati kabisa ucngz kwa sababu nikipanda tu kitandani nasafiri angani kwenda nchi mbalimbali na wakati mwingine napambana na nguvu pinzani au wachawi, sina hamu ya mambo ya Mungu. Na kadhalika!

Sasa nimeamua kuacha rasmi mambo haya ili nami niishi kama binadamu wa kawaida, nimjue Mungu na niendelee na ishu zangu. Pia kwa wenzangu na mie hususani mliosomea far east haya mambo si ishu kabisa, yanakosesha raha, twawezayaacha.
Nasisitiza,

SITAKI TENA KUPAA!!!!!!

ningekua na uwezo hata usingizi nisingeutaka sipendi kulala yaani kuwa out of my mind napenda kuwa na akili zangu timamu wakati wote

sipendi mauza uza napenda kujielewa kila mara
nakushangaa mtoa mada mpaka ukajifunza kupaa UMEPATA FAIDA GANI ZAIDI YA KUJITIA UCHIZI

na mpwa wangu mshana jr ukishaweza kupotea alafu?
kama ni njia ya kuongeza kipato bila kumdhuru mtu sawa,ila kujitia uchizi na kujitoa ufahamu ni tatizo

EMBU FATILIA MWISHO WAKE UKOJE je ni mzuri au mbaya

Hebu tufundishe kupaa kwanza kabla ya kuacha....ila inawezekana nikaenda kufunga mzigo China na kurudi nao kwa njia hii?

Nimecheka sana aisee.
 
Katikati ya hii sredi naona kuna wanga wanapeana hamasa na kufurahia kujua wanayoyafanya yana wafuasi pia...

Mshindwe kabisa walozi nyie....

hahahaa ndugu unaogopa African Science????
 
Last edited by a moderator:
Nawapenda sana jus can't afford to loose you wonderful friends, sitajifunza tena kupaa labda itokee tuu tena kisirisiri everlenk na Honey Faith

Kweli???? Promise us......!! Loh!! Nimekuogopa ujue hasa ulivyosema kuna siku mlikaa ubungo,duh! Kuna siku nilikuwa pale nilikuwa hata sijelewi kabisaaa, inawezekana mlinipitia nini??? Lol
 
Last edited by a moderator:
Kweli???? Promise us......!! Loh!! Nimekuogopa ujue hasa ulivyosema kuna siku mlikaa ubungo,duh! Kuna siku nilikuwa pale nilikuwa hata sijelewi kabisaaa, inawezekana mlinipitia nini??? Lol

Hahahahaaaa sio mimi kabisa n I promise hata kama nikijifunza hamtajua
 
af kuna muda nikimkumbuka tu mtu nakuwa kama ninamwita ama anipigie simu ama aje anitembelee dk chache mbelen
hali hii imenifanya kila nikitaka kumuona mtu basi nasema akilin mwangu funan anipigie kweli atapiga

nimewaza hii ni aina gani ya supernatural power nikaamua kwenda kuisoma ndipo nilipogundua ni aina mojawapo ambayo ina deal zaid na utoaji wa amri zisizo na mashaka ndani yake na kinachofanya yatekelezeke ni ile imani kwamba nisemapo hivyo huwa sina kubadilika ama kuwaza zaid ya kuona litatendeka tuuu.

kuna nguvu kubwa sana katika kuamini jambo bila kuwepo na hata chembe ya shaka na huu ndio ufungua mkubwa sana kwenye kupata mengine unayotaka kupata.

majuzi nilijisemea nimechoka kufanya kazi ninapofanya nataka nibadili taasisi. i just sat down and say it inside me bila wasiwasi kabisa. next day i was called kwenye meeting nikakutana na watu tofauti tukaongea nikasema nataka nibadili kazi huwez amini niliambiwa njoo kwetu mtu wa aina yako ameondoka so kuna vacant position. nilienda bila hata interview nikapewa nafasi.

hivi toka mwez huu wa 3 niko kwenye kazi taasisi tofauti. kisa hiki kinanifanya nione kwamba imani ndio ufunguo w ahaya yote. na ukiwa na imani tayari unafungua hata usivyoweza kudhani. mie kila nilitakalo huwa naliona kwa positive mind tu since nigundue hayo na ile positivity ina ni drive kwenye good ends always
Kuna mtu angekuwa nayo hii ningekoma.
 
Back
Top Bottom