Sitaki tena kujihusisha na mambo ya siasa

Msukuma Original

JF-Expert Member
Oct 2, 2018
928
3,330
Sitaki tena siasa. Watanzania hatuaminiki hata kidogo. Hata tukiwapa wapinzani nchi mambo yatakuwa yaleyale. Wengi wao walikuwa ccm kabla ya kuhamia upinzani. Ukiwachunguza kwa kina utagundua walichuma mali nyingi zinazozidi kipato chao kipindi wapo ccm. Kwa hiyo hata kama tutawapa nchi watakuwa majanga matupu. So, bora nijikalie zangu tu au nimtumikie Mungu tu, mambo ya kushabikia siasa sitaki tena. Acha walio kwenye madaraka waendelee kula maana sina cha kuwafanya, na hata hawa wapinzani wakishika dola hakuna chochote kitakachobadilika maana walikuwa kulekule.
 
Sitaki tena siasa. Watanzania hatuaminiki hata kidogo. Hata tukiwapa wapinzani nchi mambo yatakuwa yaleyale. Wengi wao walikuwa ccm kabla ya kuhamia upinzani. Ukiwachunguza kwa kina utagundua walichuma mali nyingi zinazozidi kipato chao kipindi wapo ccm. Kwa hiyo hata kama tutawapa nchi watakuwa majanga matupu. So, bora nijikalie zangu tu au nimtumikie Mungu tu, mambo ya kushabikia siasa sitaki tena. Acha walio kwenye madaraka waendelee kula maana sina cha kuwafanya, na hata hawa wapinzani wakishika dola hakuna chochote kitakachobadilika maana walikuwa kulekule.
Jikalie tu ndugu.
 
Amtumainie Mwanadamu amelaaniwa!...kama uliwatumainia wanasiasa katika ustawi wako binafsi na jamii yako, ushalaaniwa!
 
Huna impact kwenye jamii watanzania milioni 50 tukikutoa ww is equal to zero

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mpinzani original lakini nimeona kushabikia siasa za hawa watanzania wenzangu ni kupoteza muda tu. Wapinzani karibia wote ni hao hao waliochuma mali wakiwa ccm. So, tunapotezeana muda tu. Ccm ndio majizi balaa ila hata tukifanikiwa kuyatoa maccm madarakani tukawapa nchi wapinzani mambo yatakuwa yaleyale maana walikuwa majizi walipokuwa ccm. So, labda mimi ndio mnipe nchi maana najiamini siwezi kuiba, tofauti na hapo acha walioko madarakani waendelee kuiba maana hata tukiwapa wapinzani mambo yatakuwa yaleyale.
 
Mkuu umeamua ukujikita kwenye ramli Ni bei gani kupiga ramli mkuu?
 
Mkuu umeamua ukujikita kwenye ramli Ni bei gani kupiga ramli mkuu?
Watanzania hawaaminiki. Kuanzia viongozi hadi wanaanchi. Kumpigania mtanzania ni kazi bure. Mtanzania ni wa kumuacha apigike mpaka akili imkae sawa. Likewise viongozi wa upinzani sio wa kuwaamini, unaweza ukawapigania mpaka kuhatarisha maisha yako lakini siku wakiingia madarakani wanakuwa majizi kama maccm maana wengi wao walikuwa hukohuko ccm. So, bora kumtumikia Mungu tu ambaye ahadi zake hazina shaka.
 
Watanzania hawaaminiki. Kuanzia viongozi hadi wanaanchi. Kumpigania mtanzania ni kazi bure. Mtanzania ni wa kumuacha apigike mpaka akili imkae sawa. Likewise viongozi wa upinzani sio wa kuwaamini, unaweza ukawapigania mpaka kuhatarisha maisha yako lakini siku wakiingia madarakani wanakuwa majizi kama maccm maana wengi wao walikuwa hukohuko ccm. So, bora kumtumikia Mungu tu ambaye ahadi zake hazina shaka.
Nimekuelewa mkuu ndiomaana nikakuunga mkono njia uliyotumia ni sahihi ya kupiga Ramli kujua Wapinzania kua ni wezi kama ccm hata kabla ya kuwachagua, Ninakazi zangu nyingi za Ramli vipi bei gani kupiga Ramli moja nikupe tenda?
 
Nimekuelewa mkuu ndiomaana nikakuunga mkono njia uliyotumia ni sahihi ya kupiga Ramli kujua Wapinzania kua ni wezi kama ccm hata kabla ya kuwachagua, Ninakazi zangu nyingi za Ramli vipi bei gani kupiga Ramli moja nikupe tenda?
Asante mkuu kwa kunielewa.
 
Sitaki tena siasa. Watanzania hatuaminiki hata kidogo. Hata tukiwapa wapinzani nchi mambo yatakuwa yaleyale. Wengi wao walikuwa ccm kabla ya kuhamia upinzani. Ukiwachunguza kwa kina utagundua walichuma mali nyingi zinazozidi kipato chao kipindi wapo ccm. Kwa hiyo hata kama tutawapa nchi watakuwa majanga matupu. So, bora nijikalie zangu tu au nimtumikie Mungu tu, mambo ya kushabikia siasa sitaki tena. Acha walio kwenye madaraka waendelee kula maana sina cha kuwafanya, na hata hawa wapinzani wakishika dola hakuna chochote kitakachobadilika maana walikuwa kulekule.
Nyie uvccm mu wajinga sana maana mkibanwa mbavu hukana uanachama wenu wa ccm na kunifanya hamtaki siasa

Huwezi kuendelea kushabikia utawala wa ccm kama kweli una akili sawa sawa

Yanayoendelea nchi hii yanatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki tena siasa. Watanzania hatuaminiki hata kidogo. Hata tukiwapa wapinzani nchi mambo yatakuwa yaleyale. Wengi wao walikuwa ccm kabla ya kuhamia upinzani. Ukiwachunguza kwa kina utagundua walichuma mali nyingi zinazozidi kipato chao kipindi wapo ccm. Kwa hiyo hata kama tutawapa nchi watakuwa majanga matupu. So, bora nijikalie zangu tu au nimtumikie Mungu tu, mambo ya kushabikia siasa sitaki tena. Acha walio kwenye madaraka waendelee kula maana sina cha kuwafanya, na hata hawa wapinzani wakishika dola hakuna chochote kitakachobadilika maana walikuwa kulekule.

Boss Msukuma Original Mbona umekata tamaa mapema hivyo ??? !!! Bado tupo kipindi cha kwanza,
Kipindi cha Manunuzi kimeshapita, sasa tunakuja Serikali za mitaa ... Mwakani ni Half time .... Den tuanze Kipindi cha pili.

Namuunga mkono Mdau mmoja, Si Asa ni kama Maji vile, Hauwezi kuyakimbia, Maji usipoyaoga, Utayanywa tu, ndio Si Asa,
Nikumbushe tu, WanaSiasa ndio wapitisha Sheria, Si Asa ndizo zinaongoza Dunia. So hauna namna,
Pole sana Mdau.
 
Blaza kwani wewe huna mali zinazozidi kipato chako? Ni way of life kua na vitu vinavyozidi kipato chako..
 
Back
Top Bottom