mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
Katika vitu nisivyovipenda ni matumizi ya kifaa hiki DNA.
Sababu za kutotaka matumizi hayani
1. Sitaki kuaribu family kwa watoto wangu wapendwa waliozaliwa ndani ya ndoa. Mwanamke kama kiumbe hatari zaidi anaweza kukuzalia watoto wanje na ikatokea ukawapenda sana ukizania ni damu yako. Hivyo kupima dna nikutenganisha family
2. Ikitokea family inamagonjwa ya kurithi mama kwa mchezo wa kukumixia anaweza kuwaepusha na janga hili.
3. Kunafamilia zina vizazi vya laana kama vile vifo vya ghafla, wizi uzinzi mama kwa janja yake anaweza kuokoa familia inayoangamia kwa kukumixia watoto.
4. Mama anaweza kubadilisha family kutoka familia ya kimasikini ikiwa atacheza kwa karibu na familia zilijaliwa bahati ya utajiri.
Kwa kutotaka kuvuruga family hizi ndizo sababu za kutotaka DNA kwani sio mkobozi kwa Africa. Kiafrika zaidi mama ndiye anayekaa na siri ya mtoto ni wanani, hata hivyo makabila kama ya wamasai , wamakonde chombo hiki kinawapitia mbali sana ndio maana wengi wao hufanana kwa kila kitu.
Sababu za kutotaka matumizi hayani
1. Sitaki kuaribu family kwa watoto wangu wapendwa waliozaliwa ndani ya ndoa. Mwanamke kama kiumbe hatari zaidi anaweza kukuzalia watoto wanje na ikatokea ukawapenda sana ukizania ni damu yako. Hivyo kupima dna nikutenganisha family
2. Ikitokea family inamagonjwa ya kurithi mama kwa mchezo wa kukumixia anaweza kuwaepusha na janga hili.
3. Kunafamilia zina vizazi vya laana kama vile vifo vya ghafla, wizi uzinzi mama kwa janja yake anaweza kuokoa familia inayoangamia kwa kukumixia watoto.
4. Mama anaweza kubadilisha family kutoka familia ya kimasikini ikiwa atacheza kwa karibu na familia zilijaliwa bahati ya utajiri.
Kwa kutotaka kuvuruga family hizi ndizo sababu za kutotaka DNA kwani sio mkobozi kwa Africa. Kiafrika zaidi mama ndiye anayekaa na siri ya mtoto ni wanani, hata hivyo makabila kama ya wamasai , wamakonde chombo hiki kinawapitia mbali sana ndio maana wengi wao hufanana kwa kila kitu.