UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,018
Sio kubambika ndo ilivo nature ya Waafrica Ku mix watoto na baba tofauti pia wamama na wazee wali survive tangu enzi wakiwa na sababu ila kuiga uzungu ndo janga hyo sio culture yetu wametuletea tu nasi tunaiga na Ku abandon practices zetu na customs wanaosababisha street children ni wanaume sana kuna kabila kuwa na mtoto wa nje ni kawaida ni kama mila
ni sisi ndo lazima mama mke baba azae nje ya ndoa