Duh JF bana full burudani
Umependwa unakuja kuuliza ufanye nini
We si ni mtu mzima mwenye maamuzi na unayejua unatakiwa kufanya nini
Chukua maamuzi na jipange na kama humpendi pia chukua maamuzi haraka
Na wewe unampenda sema hujajijua na kujitambua unampenda kwa kiwango gani??
Mfano itokee mwanaume mwenzako anakutongoza na kukutaka kimapenz anataka akugeuze wew kama mwanamke je kama wewe ni mwanaume rijal utakuja kuomba ushauri jamvin kwamba ukubali au ukatae??
Kweli vijana wa leo mnavibweka kweli kweli kwa hiyo wadau wakikushauri negative na huku wewe mawazo yako ni positive utakubaliana nao??
Wewe inaelekea unampenda kwasababu wadau wamekuomba namba yake ya simu ili wakusaidie kukuondolea usumbufu umekataa kuitoa, nasema hivyo kwasababu sijaiona. Kama humtaki muambie ukweli kwa busara sio kishari kwasababu kupendwa na kutamkiwa wazi kwa wanaume ni nadra sana ndugu yangu, hongera kwa hilo. Wanaume mara nyingi hatutamkiwi na mwanamke kwa mara ya kwanza ila ni baada ya mwanaume kuonyesha mapenzi kwa vitendo au kwa maneno, inawezekana kabisa ulimuonyesha mapenzi aidha kwa utani wa maneno au vitendo sio bure. Nachokushauri kama ulimtania mwenzio muombe msamaha na umuambie ukweli kwamba ulikuwa unatania hukumaanisha. Vinginevyo unajitafutia laana ya kucheza na mioyo ya watu na kuwapa msongo mbaya wa mawazo.
duuuuh unataka hapa uambiwaje????we si mtoto wa kiume kua na msimamo wako binafsi..khaa mi wanaume wa hivi akhaaaa why haujiamini kama HAUTAKI maanisha kama UNATAKA nenda sasa unataka kuhakikishiwa au?think think think its ya life man..
Dah bahati za mtende kama hizo mbona hazitutokei sisi.... wagiriki.. we cha msingi mkubalie mguu mmoja nje mwingine ndani halafu pima kina cha maji kwa mti siyo mguu... au na wewe ukigongana na dm kwa mara ya kwanza inashikwa na kigugumizi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.