Sitaki kupenda tena..

i find this story very childish and funny at the same time..
ama kwa hakika kweli kuna wanaume na watoto wa kiume..
 
Pole sana best usijihukumu penda panapopendeka kumpenda mwanamke asiyekupenda ni sawa kupoteza muda umevumilia hata kiss hujaambulia umejitesa bure huyo alikuwa tapel angekufilisi taken care na hawa vijidudu wanawake
 
Huku kwetu watoto wa kiume wamefunga shule,
they have more time to interact on social forums
ahh Bi. Mwali bac huko Ushongo Mabaoni mnatisha..kila mwanakijiji anamiliki smartfone/ laptop..Urbanization inakua kwa kasi ajabu.
 
Last edited by a moderator:
Huku kwetu watoto wa kiume wamefunga shule,
they have more time to interact on social forums

mbona bado hajakutana na mademu pasua kichwa..hapo yuko kwenye trela tu,movie haijaanza
 
dah pole sana,2yrs hata kuchumu hataki,kwel na wewe ulishikwa masikio na huyo demu
 
Pole sana Ringopet. Naelewa umeumia kiasi gani hisia zako haijalishi umri wako cos kama
Umeshafanya kazi maana yakr umeshakomaa.

Haupo peke yako wengi wetu tumepitia huko huko na bado maisha yanaendelea.

Ila safari hii jitahido umsahau na maisha yataendelea menhine utayapata tu. Jifanye umetoa sadaka na sadaka ni jambo jema utapata thawabu hapa
Na mbinguni. Kazi ni kwake

Kuwa makini manake soon utapata kazi uwe na vijihela utamwona huyo anajirudisha na samahani nyingi.

Hapo ndo itabidi uact kiume usikubali akuumize tena. Utampata mwingine anayekupenda kwa dhati
 
Last edited by a moderator:
aiseee hivi wanaume wa design yako wapo eeee??? miaka miwili no sex no kisssss! chezeiya visarata wa mtaa weye, cku ya kwanza mkono kwenye chuchu! puuuuuuuuuuuu!
 
pole sana kaka ila kiukweli kabisa huyu hakuwa wako na ulikuwa darasani sasa umehitimu hivyo apply kwnlg yako vyema.
Khasante sana na nimejifuza ukimpenda mtu usijiegemeze kwake akiondoka unadondoka na kuamka inategemea umedondokaje,ukimpenda mtu simama na miguu yako hata akiondoka hautetereki gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Thubutuuu!!!!...nani kakuambia hutopenda tena labda uwe umeondolewa kakikojoleo...
Mapadri wanawezaje?..,mimi nafikilia jambo la kuduu nikujiendekeza kama huamini ninda jeshini ukajionee miez 6 husikii hatahamu ya kuduu@Maswalala.
 
Tupa uko uta date vp na mwanamke choka mbaya anakugeuza kama mzaz wake tafuta mwanamke anaejiweza au anatoka familia bora si unakwenda kuowa sehemu hadi baba mkwe akikuona anataka kukusalimia au utasikia anasema karibu mzee wakat wew ni kama mtoto wake<refer manji na wazee wa yanga > madem wa uswaz pasua sana
 

udomo zege umekuponza si kitu kingine. kwa mwanaume aliyemwoga wa kutongoza, anakubalina na kila aambiwalo na mtu anayehisi anampenda. By the way, katika dunia, hakuna UPENDO katika mapenzi, ni suala la hisia tu bro
 
Khasante sana kwa ushauri wako mzuri@Anne Maria.
 
nakumbuka machungu, na mm ilsha wai ntokea, toka daraxa 4 mpaka 4m6 ni wapnz nikaja achwa kiajabu ckuwai ambulia hata kiss..izo ni tabia za watt wa kchaga
 
aiseee hivi wanaume wa design yako wapo eeee??? miaka miwili no sex no kisssss! chezeiya visarata wa mtaa weye, cku ya kwanza mkono kwenye chuchu! puuuuuuuuuuuu!

hahahahaha cacico shemeji yangu nikupendaye sikuwezi kabisa! LOL
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha cacico shemeji yangu nikupendaye sikuwezi kabisa! LOL
jichekee mwaya shemeji! wana balaa nakwambia, wakikukuta mpole, cku ya kwanza anataka cku hiyo hiyo ajue veins zako nyingi zinaanzia wapi, na zinaishia wapi! lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…