kweli kabisa kuoa au kuolewa ni kipendeleo cha mtu lakini wabongo tunavyoshadadia utafikiri tutaishi na huyo mtu kwenye hiyo ndoa,tunachofikiria ni kupata ujiko mtaani bila kujali ugumu wa ndoa yenyewe...........muwawache wapumuwe
Good or bad ts ya thinking capacity and ur courageous. .congrats my lady. .we girls needs uelewa wa hal ya juu about ourselves. .
Lisemwalo lipo!
Sioni kama kuna tatizo kuulizwa eti unaolewa lini, kumbuka na wewe ungeweza kuwatumia kiusahihi kwa huo muda waliokuuliza hilo swali...
Ina maana huna malengo yoyote/huna mchumba mpaka dakika hii?
Its wheather boss!
But you made a good point...
Si sisi, ni jamii tu ndiyo inayoamua tuwe nini wakati mwingine.
Good or bad ts ya thinking capacity and ur courageous. .congrats my lady. .we girls needs uelewa wa hal ya juu about ourselves. .
enh nilishtuuuuka!
nkajua mke wetu unapeperusha zile ahadi za kaka!
usinishtue hivo siku nyingine wiwi!
ngoja nipumue kwanza af ntarudi kuchangia content!maana hiyo heading ilinipandisha sukari mwenzio!
hah hah shostito si twaolewa lin??? nipe mrejesho wa mume wetu mwenye wivu bas... u hali gan mamiii?????
enh nilishtuuuuka!
nkajua mke wetu unapeperusha zile ahadi za kaka!
usinishtue hivo siku nyingine wiwi!
ngoja nipumue kwanza af ntarudi kuchangia content!maana hiyo heading ilinipandisha sukari mwenzio!
enh nilishtuuuuka!
nkajua mke wetu unapeperusha zile ahadi za kaka!
usinishtue hivo siku nyingine wiwi!
ngoja nipumue kwanza af ntarudi kuchangia content!maana hiyo heading ilinipandisha sukari mwenzio!
I don't understand why should I get married and make one girl very happy, if I can stay a bachelor and make hundreds of them happy.!!
Lisemwalo lipo!
Sioni kama kuna tatizo kuulizwa eti unaolewa lini, kumbuka na wewe ungeweza kuwatumia kiusahihi kwa huo muda waliokuuliza hilo swali...
Ina maana huna malengo yoyote/huna mchumba mpaka dakika hii?
hahahahahahahahahah!!! braza we mbayaaaaaahh,, yaan we ni mbayaaaaaaaa!!