ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,221
- 6,439
Nikimalza la Kwanza anadai amechoka na anaogopa la pili anasema nachelewa Sana kumwaga. Nishamfatilia Sana hana michepuko wala nini na ni church girl.
Nawaza kuwa na plan b Ila ana wivu balaa muda wote anakagua simu yangu.
Haya nayapitia mwenyewe nyie watu mliooa?
Nawaza kuwa na plan b Ila ana wivu balaa muda wote anakagua simu yangu.
Haya nayapitia mwenyewe nyie watu mliooa?