Sitaki kuitwa nabii kwa hili

Sitaki kuitwa nabii kwa hili

Ha ha ha ha ha ha ha mimi sikuiti nabii sababu umesema/umetabiri uongo
 
Mimi bwana sitaki kuitwa nabii kwa hili kwa sababu nadhani kutokana na uongozi wa kifamilia, na tunaowaita wazee wa CCM wakati wa kutuchagulia rais.

Ila wakati taifa linaingia mikataba mibovu tunasahau kuna watu wazima kwa sababu mafungu ya chai yanafika.

Sasa kutokana na hila za wazee kumkata jaji, najua fika na nasema fika Bernard Membe, baba yake mdogo na Ridhiwani na mdogo wake J.Kikwete ndie Waziri mkuu anayefuata.

Gazeti la Mtanzania mwezi wa kwanza lilisema Magufuli ndo Rais na Paul Makonda kwenye bunge la Katiba alisema Samia Hassani ndio atakuwa Makamu wa Rais, na mimi nasema Benard Membe Waziri Mkuu iwapo serikali ya familia ya Kikwete Tanzania itapita.

Asante.

Team Jamiiforums

Hahaaa.., punguza stress mkuu...., Oktoba si mbali watakumbwa na mshangao mkubwa sana!!
Mungu atujalie uzima tuifikie.
 
Dr Asharose hawezi kuwa sababu hawezi shinda jimbo lolote na PM lazima atoke miongoni mwa wabunge wa kuchaguliwa, pia kumbukeni Membe alishaaga jimboni kwake kuwa hatagombea ubunge hivyo mimi nampa nafasi kubwa Mwakyembe au Muhongo au Lukuvi mmoja wapo endapo atashinda ubunge anaweza fikiriwa but kumbukeni Magufuli hana kundi lolote nyuma yake kulingana na hali halisi ya mchakato hivyo atakuwa na nafasi ya uhuru zaidi wa kufanya maamuzi pasipo shinikizo

Bora ampe Mwakyembe ajipigie dili lingine la mabehewa...
 
Kwa Haleakala km Magufuli Ana namwona Wiliam Lukuvi atakuwa PM, namwona km diplomatic person atakayeweza kuneutralize autocratic personality ya Magufuli...
 
Back
Top Bottom