Sitaki kuitwa nabii kwa hili

Sitaki kuitwa nabii kwa hili

membe katangaza kutogombea ubunge wala hataki ubunge wa kuteuliwa endapo atakosa nafasi ya urais, sasa uwaziri mkuu huo anaupataje?



Na juzi ccm wametangaza waziri mkuu sio kiongozi wa wabunge wa ccm,kwa sababu anaweza teuliwa bila ubunge,katiba ya ccm mzee..
 
Mimi bwana sitaki kuitwa nabii kwa hili kwa sababu nadhani kutokana na uongozi wa kifamilia, na tunaowaita wazee wa CCM wakati wa kutuchagulia rais.

Ila wakati taifa linaingia mikataba mibovu tunasahau kuna watu wazima kwa sababu mafungu ya chai yanafika.

Sasa kutokana na hila za wazee kumkata jaji, na jua fika na nasema fika Bernard Membe, baba yake mdogo na Ridhiwani na mdogo wake J.Kikwete ndie Waziri mkuu anayefata.

Gazeti la Mtanzania mwezi wa kwanza lili sema magufuli ndo raisi, na Paul ,Makonda kwenye bunge la Katiba alisema Samia Hassani ndo atakuwa Makamu rais, na mimi na sema Benard Membe Waziri Mkuu iwapo serikali ya familia ya Kikwete Tanzania itapita.

Asante.

Team Jamiiforum

Mh BM alishawaaga wana Mtama Lindi na Mjengon kuwa hataki tena hiyo nafac ya MP kw kuwa alioteshwa kuupata Urais kupitia CCM. Sasa cjui km hiyo nafasi ndogo kwake ya PM atakuwa ameoteshwa au laaa??
Sheria hutaka PM awe const MP..
2015 mwaka wa Maigizo ya kisanii wa WanaCCM.
 
Mh BM alishawaaga wana Mtama Lindi na Mjengon kuwa hataki tena hiyo nafac ya MP kw kuwa alioteshwa kuupata Urais kupitia CCM. Sasa cjui km hiyo nafasi ndogo kwake ya PM atakuwa ameoteshwa au laaa??
Sheria hutaka PM awe const MP..
2015 mwaka wa Maigizo ya kisanii wa WanaCCM.



Na juzi ccm wametangaza waziri mkuu sio kiongozi wa wabunge wa ccm,kwa sababu anaweza teuliwa bila ubunge,katiba ya ccm mzee..
 
Mkuu swala lako laweza kuwa la kweli . Mzee John Pombe Magufuri lazima Aibebe familia ya Mafisadi pamoja na familia ya Kikwete

Magufuli hakuwa chaguo la Kikwete na familia yake. Kupita kwake ni kambi ya Lowasa kumuunga mkono. Kwa hiyo hawezi kulipa fadhila zozote kwa watu waliotaka kuleta ufalme ktk siasa za Tanzania.

JK alipotaarifiwa kuwa membe kapigwa chini, machozi yalimjengalenga - soma gazeti la Jamhuri la leo.
 
Mbona Membe alishatangaza kuwa hagombei ubunge tena? Sasa huo uwaziri mkuu ataupataje?[/QUOT


Ataupata kwa sababu ccm wamebadilisha mbinu,kwamba wazuri mkuu sio tena kiongozi wa wabunge,kwa hiyo atateuliwa hata kama hana madaraka yoyote..

Mkuu suala la uteuzi wa PM lipo ktk Katiba.. C suala la kihuni km wanaCCM wanavyofikiria. Ofcoz ni jambo linalotegemea wingi wa MPs. WanaCCM wamesoma alama za nyakati wac wac ni this Election watafanikiwa kupata MPs idadi kubwa km last election.
Ni kiwewe tuu kilichowapata.
 
Tanzania inao MANABII wengi wa UONGO waliosemwa na Bwana Yesu Kristo.

Wapo manabii wengi wa uongo waliotabiri kwamba LAZIMA Lowassa atakuwa Rais wa JMT.

Tena wengine wakaenda mbali kwa kujiapiza kwamba kama Lowassa asipokuwa Rais wa JMT basi tuwatafute popote pale walipo tuwauwe.

Mimi nikajiuliza kama wanaamini UNABII wao, kwanini watupe taabu yote ya kuwatafuta ili tuwauwe, kwanini WASIJIUE wenyewe kuturahisishia kazi?

Halafu pia wanatuweka kwenye mtego wa kutenda jinai, kwani kwa mjibu wa sheria za JMT KUUA MTU kwasababu yeyote ile ni kosa la JINAI.

Sawa tumekusoma mkuu
 
Mmmmh hawezi kufanya kosa Hilo hiki ni kipindi cha wachapa kazi PM atakuwa Mwakyembe ili amusaidie katika kutafsili ya sheria wakati Anaamua mambo mazito.

Jipeni moyo kama mateja,yakishabugia ng'ada yanajiona yapo marekani
 
Mbona Membe alishatangaza kuwa hagombei ubunge tena? Sasa huo uwaziri mkuu ataupataje?[/QUOT


Ataupata kwa sababu ccm wamebadilisha mbinu,kwamba wazuri mkuu sio tena kiongozi wa wabunge,kwa hiyo atateuliwa hata kama hana madaraka yoyote..

Watanzania hamsomi ingawa mnapenda kuandika chochote. Katiba inasema. Mtu anayeteuliwa kuwa Waziri Mkuu lazima awe ni mbunge wa kuchaguliwa.Sasa wewew unakuja na mabo ya kujitungia heti CCM wamebadiri mbinu, huu ni ukanjanja mmojawapo
 
Kilipa fadhila ndiyo mfumo wa CCM, hilo halina shaka. Mungu epusha mbali
 
Watanzania hamsomi ingawa mnapenda kuandika chochote. Katiba inasema. Mtu anayeteuliwa kuwa Waziri Mkuu lazima awe ni mbunge wa kuchaguliwa.Sasa wewew unakuja na mabo ya kujitungia heti CCM wamebadiri mbinu, huu ni ukanjanja mmojawapo


kama utaki baki hivyo,siwezi kuku lazimisha,,october sio mbali..
 
Back
Top Bottom