Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
Wewe huzitaki zile bikra kadhaa huko peponi?Remmy aliimba "kifo hakina huruma". Hichi kifo ni nini?
Dini na imani mbalimbali zina mambo mengi kuhusu kifo. Zingine zinasema kufa ni kupumzika tu kipindi unasubiri ufufuo, ukishakufa umemaliza kila kitu duniani na ndo milele hiyo haitakuja kutokea umefufuka, ukifa roho yaenda mbinguni!
Hivi baada ya kifo kuna maisha kweli! Nahitaji mtu aliyekufa akaendelea na maisha mengine huko asimulie hapa ili nijue ng'ambo ya kaburi kuna nini! Mawasiliano ya roho ni magumu sana kuelewa kwamba mtu akifa mwili ndo unaoza ila roho/nafsi inaendelea kuishi sasa sijui inaishi wapi..
Wakristo wanaamini kuwa wapo watu watakuwa hai kipindi cha ujio wa yesu wa mara ya pili. Waislam kwa upande wao wanasema kila nafsi itaonja umauti kwamba kila mwanadamu atakufa, sasa hapa haizingatii watoto wanavyozaliwa kila siku au hawaamini katika ujio wa pili wa mwana wa Adam.
Swali la msingi nifanyeje ili nisife kwa sababu sitaki kuona naiacha dunia ni tamu kweli kweli japo ina raha na maudhi ya kila aina.. Nahitaji immortal body. Naona kifo hakichagui wafanya mema, mabaya na hata ufanye chochote unakufa tu.. Dawa ya kutibu kifo ni nini? Ukifikiria kifo mwili unapata ubaridi na kujiuliza ng'ambo ya kaburi kuna maisha mengine!!
Sintofahamu hii!!! [emoji58] [emoji58] [emoji42] [emoji42]
Mara ya mwisho we uliishi wapi? Au hatukumbuki kule tulipokuwepo kabla?Ukifa unazaliwa tena ila ni sayari nyingine, unakuwa kiumbe mwingine ila Roho yako hyohyo.
Soma ufunuo vizuri, hata Yesu akija tutakufa halafu dunia itasambaratishwa, shetani ataletwa duniani na kupata mateso yake i think ni kwa miaka 40 halafu atatupwa kwenye ziwa la moto then ufufuo ndio utafuata na wateule wa Mungu wataelekea mbinguni na wale wa shetani watamfuata kule alipoHakuna kufa tena, makaburi yatawaachia wafu watapewa miili mipya na sisi tulio hai kufumba na kufumbua tutabadirishwa na kuvaa miili ya kutokufa tayari kwa hukumu.
DuhKwani kifo ni nini?Yani ni kitendo gani hufanyika ambacho ndiyo huitwa kufa?
Kwani ni nini ambacho unafanya sasa ili uishi,uwezo uliyonao sasa ambao unautumia ili kuishi na hadi sasa hujafa basi ndiyo huohuo unatazui kufa.
Kwahiyo njia ya kufanya ili usife ni kuendelea kufanya hichohicho unachofanya sasa chenye kukufanya uwe hai.
KWAHIYO KUZUI KIFO NI JAMBO RAHISI SANA.
Sahihi kabisaKuna mambo ukikaa na kuanza kuyawaza ni kujiumiza tu, kikubwa ni kukubali kuwa yapo.
Ni ujinga kuogopa jambo ambalo unajua wazi kabisa litakutokea ni sawa na kuogopa kula eti utenda kunya.
Tenda wema kwa manufaa ya roho yako na sio mwili wako.
Swali la msingi nifanyeje ili nisife kwa sababu sitaki kuona naiacha dunia ni tamu kweli kweli japo ina raha na maudhi ya kila aina.. Nahitaji immortal body. Naona kifo hakichagui wafanya mema, mabaya na hata ufanye chochote unakufa tu.. Dawa ya kutibu kifo ni nini?
Mbona umeshangaa Mkuu?
Mwisho atakuwa shahawa atarudi kiunoni kwa baba yake na baadae atageuka kuwa karanga atarudi shambaniMuombe mamako akurudishe tumboni mwake