Sitaki kufa nifanyeje?

Wewe huzitaki zile bikra kadhaa huko peponi?
 
Kuna mambo ukikaa na kuanza kuyawaza ni kujiumiza tu, kikubwa ni kukubali kuwa yapo.

Ni ujinga kuogopa jambo ambalo unajua wazi kabisa litakutokea ni sawa na kuogopa kula eti utenda kunya.

Tenda wema kwa manufaa ya roho yako na sio mwili wako.
 
Hakuna kufa tena, makaburi yatawaachia wafu watapewa miili mipya na sisi tulio hai kufumba na kufumbua tutabadirishwa na kuvaa miili ya kutokufa tayari kwa hukumu.
Soma ufunuo vizuri, hata Yesu akija tutakufa halafu dunia itasambaratishwa, shetani ataletwa duniani na kupata mateso yake i think ni kwa miaka 40 halafu atatupwa kwenye ziwa la moto then ufufuo ndio utafuata na wateule wa Mungu wataelekea mbinguni na wale wa shetani watamfuata kule alipo
 
Duh
 
Lakini sikulaumu hilo jina lako tu linaonesha unaipenda sana hii dunia!
 
Una nongwa wewe...

 
Itakuwa ndo unakaribia karibia kufa maana aliwazalo mjinga ndilo litalomtokea soon
 
Tafuta farasi na gari lake, lichomoe speed 120 , uenda yatakukuta yaliyomkuta nabii Elia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…