Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,230
- 10,094
Kuna mtu aliukataa awam ya tanoNani anaweza kukataa UDC wewe? Kazi yenyewe hakuomba kapewa we thubutu.
Kuna mtu aliukataa awam ya tanoNani anaweza kukataa UDC wewe? Kazi yenyewe hakuomba kapewa we thubutu.
Kwa jokate kisalaweAmepelekwa wilaya ipi?
Jokate kapelekwa wapi?Kwa jokate kisalawe
TemekeJokate kapelekwa wapi?
Wameamua kumleta TOWN, wacha weee.Temeke
Mama kaona kule anakuwa mweusi bora aje mujiniWameamua kumleta TOWN, wacha weee.
1 kati ya mamia. Yule aliogopa asije tumbuliwa akapata aibu siku za mbele.Kuna mtu aliukataa awam ya tano
Na saizi mziki wake umebumaNani anaweza kukataa UDC wewe? Kazi yenyewe hakuomba kapewa we thubutu.
Wewe tu ndiye unaonakena kuelewa/kuwa na akili kwenye huu uziStaki kazi ni ngoma ya kuhamasisha vijana kutongoja tu ajira na kupoteza mda badala yake kujiajiri kwa sababu inawezekana
ndani ya hiyo video utaona kuna watu wanatafuta sana ajira bila mafanikio it means Kuna plan b ya kujiajiri
Nikki aliplay Kama roll model kwa kuhamasisha vijana kujiajiri
sanaa ni ajira amejiajiri kupitia sanaa lakini mbali na ukuu wa wilaya aliopewa hata kama angekuwa ameajiriwa na kampuni au serikali bado hana hatia kutokana na ngoma yake aliyoitoa yuko sahihi
Watu wanahoji sana kuhusu hili na lazima waandishi watamuhoji hili na Nikki ni smart naamini atawajibu vizuri
Nikki aliwahi kusema anataka kuwa rais
Sasa ameingia kwenye system
Hawezi kuikataa system na ana ndoto za kuwa rais
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wangemleta kinondoni, huko temeke kwa wahuni tyuuh wala hata.Mama kaona kule anakuwa mweusi bora aje mujini
Wangemleta kinondoni, huko temeke kwa wahuni tyuuh wala hata.
[/QUOTE
Kino mashoga wengi mixer wauza powder watampa stress. Uhun mwingi upo manzese na keko