Sitaki dawa

Deception
Nimegundua majority wanakupuuza so you may change course of your facts, they are either not believed, encouraged or pipo don't want to duscuss them

It's better to be feared than ignored- 48 laws of power

be blessed.....
Ukiishi kwa kuangalia watu wanakufikiriaje utakuwa mtumwa katika maisha yako yote,hali hiyo inaweza ku dictate hata maamuzi muhimu utakayoweza kufanya katika maisha yako au ya wengine.Kamwe usiruhusu hali hiyo ikutawale.Kumbuka kila mtu ana uhuru wa kufanya jambo analolipenda,mada kama hizi si za kulazimishana hata kama ni muhimu katika maisha ya watu.
Kumbuka pia kuna watu wengi wanasoma uzi huu hata kama hawachangii humu.Hivyo sikulenga hadhira ya humu peke yake,kuna hadhira ya nje ya hapa pia wanasoma uzi huu.Kati ya watu 100 ukiokoa hata mmoja nayo ni step kubwa,yule mmoja ataokoa wengine na chain itaendelea.Mabadiliko yoyote yale huwa hayatokei ghafla,huja taratibu na kuna changamoto zake pia.

Ninapokuwa najadili mada kama hizi huwa siangalii watu kama wanapuuza au la,hata kama atatokea mmoja tu anayehitaji msaada nitakwenda na huyo mmoja hadi mwisho.
 
Jibu zuri lakini vipi kuhusu watoto wa familia moja unakuta mmoja yuko HIV+ na mwingine yuko HIV- ila huyu mwenye + anapoteza afya kudhoofu na kufa kwa magonjwa yanashambulia mwili usio na kinga ya kutosha. Haya yanatokea wakati ambapo watoto wote hawa wawili wanalelewa katika mazingira yaleyale ikimaanisha kuwa lishe na mazingira yanafanana kwa 99.9%. Huoni kuwa kuna uwezekano HIV inaongeza uwezekano wa kupunguza nguvu ya kinga kwa haraka katika mazingira kama haya?
 

Kama huo mfano ulioutoa ni hai/upo yaani umeushuhudia wewe mwenyewe,basi naomba unijibu maswali yafuatayo:
1.Je hao watoto wamezaliwa na mama aliyepimwa HIV+ au HIV-?Hapa sina maana ya kwamba nakubaliana kwamba kuna HIV,la hasha bali kuna jambo nataka kujua.Jambo hili lina tricks nyingi sana,unahitaji utulivu kidogo ili uelewe.Nataka ufahamu kwamba vipimo ndio tatizo kubwa sana.

2.Ni sababu zipi zilizofanya hao watoto wakapimwe huyo HIV?

3.Wakati wanapimwa walikuwa katika hali gani kiafya?Walikuwa wanaumwa au walikuwa na afya njema?Kama walikuwa wanaumwa,basi taja walikuwa wanaumwa nini?

4.Je,huyo ambaye alipimwa HIV+ alianza kutumia ARVs?Kama alianza,alitumia ARVs kwa muda gani?Nitajie jina la ARVs aliyokuwa anaitumia kama alianza.

5.Huyo ambaye alikuwa ni HIV+ unasema alikuwa amedhoofu na alikuwa na magonjwa.Tafadhali,naomba unitajie magonjwa yote yaliyokuwa yanamsumbua.Kuna jambo nataka kujua hapo.

Sasa ili tuwe realistic zaidi,naomba usifoji majibu,kama hujui/umesahau niambie.Nijibu kitu ambacho una uhakika nacho,usitunge au kudhania kwa maana tutaharibu uhalisia wa jibu nitakalokupa.Ndio maana mwanzo nilisema kwamba kama ningewaona hao watoto ningejua sababu halisi kwani mimi mwenyewe ndio ningefanya uchunguzi kwa kuuliza maswali papo hapo na vitu vingine ningeviona kwa macho.Sasa nijibu kwa ufasaha kabisa ili jibu nitakalokupa liwe na uhalisia.Jibu kwa mtiririko wa namba kama nilivyokuuliza.
 
Kwa wale ambao sio wenyeji wa hili jukwaa na wafatiliaji wa story za mentor ..they might fall in his trap!
 
Mkuu me nimekusomà nimekuelewa. Watu wanaokubishia wengi wanauelewa kidogo kuhusu huu ugonjwaa ndo maana ukiwapa majibu yaliyojitosheleza wanashindwa kujitetea. Ningependa kujua zaidi. Naomba nielekeze uzi mwingiñe uliotoa darasa nijifunze
 
Okay, uwezo wa kujibu maswali yako yote kwa ufasaha sina. Ngoja nikatafute case mojawapo niifuatilie kwa karibu halafu tutarudi kujadili panapo majaaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…