Wasalaam wana Jf
Basi bwana nakumbuka siku moja ilikuwa jumatatu asubuhi mwaka 2014.niliamka vyema nikajiandaa kwenda kazini.
By saa 1 asubuhi nikasikia honi getini kwenda namkuta mpenzi wangu yuko kwenye gari yake akaniuliza weeeh vip leo huendi kazini nikamjibu naenda.
Ila sikumchangamkia kama siku zote kwani siku tatu nyuma nilipewa story zake na mashost nikafura kweli Ilipofika usiku nikampigia simu huku nikilia nikamwuliza yani G we ni wa kunipanga mie msululu hapa kazini?na kunifukuzia kote kumbe ulikuwa unact eeh?kilio usiseme kumbe bwana alikuwa na mkewe na aliyasikia mazungumzo yote yale akanijibu tu,tutaongea kesho.
Kesho kweli akanipigia simu akaniita sehemu tuongee nilivofika pale akafoka sana,akanambia baby kama kuna jambo si usubiri tuonane tuongee?kwanini unipigie simu usiku ule, nakumbuka ilikuwa saa 7 afu nilishapiga saint annam nikamweleza ukweli wa niliyoambiwa na mashost akaniitikia kiunyonge ila akasema sawa nakumbuka alinambia sina tabia za michepuko,hao wanaokuletea hizo story wamenitaka mara kibao na nimewakataa,kama huamini muda utasema akalipia chakula na vinywaji tukaondoka sehemu ile.
Jumatatu sasa alonipitia twende kazini,nikamwona kapita njia ambayo siyo kumwuliza akasema kuna jamaa yake anataka amwone ampe documents then tuondoke nikamjibu ok tumeenda nikashangaa kapaki kwenye kipor flan,nikajiambia mweehh ukiskia kunyongwa ndo huku.
Heeeh kumbe bwana alikuwa anataka mechi,hahahah akaanza nipapasa nikaonyesha ushirikiano,tukafanya yetu pale then tulivomaliza tukaondoka tumefika kwa ofc akanikiss na kunitakia kazi njema nikashuka ila kujipapasa nyuma mweeh nimelowaaa, nikageuza sketi nyuma mbele kuficha ushahidi na nikakimbilia washroom nilishinda whole day sina raha nikihis kuna mtu aliniona but that was our first and last conflict hatukuwahi gombana tena hadi leo and we resolved it like that.
From My friend...