Sisi Watumishi wa umma, tunasubiri zamu yetu kuitwa Ikulu

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Makundi mengi ya wananchi wameshaitwa ikulu kuongea na mheshimiwa raisi. Sisi watumishi wa umma tutakopitwa tutakuwa na mapendekezo yafuatayo:

1. Kufuta vyama vya wafanyakazi ili asilimia mbili (2%) wanayochukuwa tuiongeze kwenye PAYE iende serikalini. Tsheti tumezichoka, serikali inaweza kututengenezea shati zenye nembo ya taifa.

2. Kutoa mshahara tarehe 31 isipokuwa tu kwa miezi inayoishia 28, 29 au 30. Zinapotoka kabla ya hapo, hesabu (naturally) inaharibika.

3. Fursa za ajira za muda mfupi kama kusimamia uchaguzi, wapewe wasomi wasiokuwa watumishi wa umma. Watumishi tayari wana riziki zao, wanaziba riziki za watu wengine.

4. Kufuta posho za madaraka za wakuu wa idara, wakuu wa vituo, wakuu wa shule na walimu wakuu na badala yake zigawanywe kwa watumishi wote kwasababu kinachotokea ni ubaguzi na utengano.

5. Kila idara iwe na sare za kazi, mfano waganga wana sare, polisi, magereza, jwtz, wanasheria, mahakimu na wengine. Hii itumike pia kwa watumishi wengine kama vile walimu. Itasaidia kupunguza gharama za kununua nguo mara kwa mara kwasababu ukiwa na sare kazi ni kufua tu.

6. Kupandisha madaraja kwa watumishi wote wenye sifa hata walioko masomoni ilimradi tu kabla ya kwenda walikuwa wamekaa miaka 3-4 katika vituo vyao vya kazi.

7. Kutengeneza mfumo wa uhamisho (online) utakaowezesha kila wilaya kubaki na idadi ileile ya watumishi yaani akihama mtu anaingia mtu.

8. Kupandisha kima cha chini cha mshahara siyo muhimu, muhimu ni nyongeza ya kila Julai hata kama ni elf 20 kila mwaka.
 
N
Makundi mengi ya wananchi wameshaitwa ikulu kuongea na mheshimiwa raisi. Sisi watumishi wa umma tutakopitwa tutakuwa na mapendekezo yafuatayo:

1. Kufuta vyama vya wafanyakazi ili asilimia mbili (2%) wanayochukuwa tuiongeze kwenye PAYE iende serikalini. Tsheti tumezichoka, serikali inaweza kututengenezea shati zenye nembo ya taifa.

2. Kutoa mshahara tarehe 31 isipokuwa tu kwa miezi inayoishia 28, 29 au 30. Zinapotoka kabla ya hapo, hesabu (naturally) inaharibika.

3. Fursa za ajira za muda mfupi kama kusimamia uchaguzi, wapewe wasomi wasiokuwa watumishi wa umma. Watumishi tayari wana riziki zao, wanaziba riziki za watu wengine.

4. Kufuta posho za madaraka za wakuu wa idara, wakuu wa vituo, wakuu wa shule na walimu wakuu na badala yake zigawanywe kwa watumishi wote kwasababu kinachotokea ni ubaguzi na utengano.

5. Kila idara iwe na sare za kazi, mfano waganga wana sare, polisi, magereza, jwtz, wanasheria, mahakimu na wengine. Hii itumike pia kwa watumishi wengine kama vile walimu. Itasaidia kupunguza gharama za kununua nguo mara kwa mara kwasababu ukiwa na sare kazi ni kufua tu.

6. Kupandisha madaraja kwa watumishi wote wenye sifa hata walioko masomoni ilimradi tu kabla ya kwenda walikuwa wamekaa miaka 3-4 katika vituo vyao vya kazi.

7. Kutengeneza mfumo wa uhamisho (online) utakaowezesha kila wilaya kubaki na idadi ileile ya watumishi yaani akihama mtu anaingia mtu.

8. Kupandisha kima cha chini cha mshahara siyo muhimu, muhimu ni nyongeza ya kila Julai hata kama ni elf 20 kila mwaka.
Nyie ni punda tu katika serikali hii na kamwe hamtaitwa! Sana sana subirini kashfa na matusi!
 
Hiyo no. 1 Magufuli alishaizungumza kwenye CWTkuwa watu wafuatilie kwani ni sehemu ya wizi. After all kujiunga na chama cha wafanyakazi iwe ni hiyari siyo kukata mshahara wa mtumishi bila idhini yake
 
Makundi mengi ya wananchi wameshaitwa ikulu kuongea na mheshimiwa raisi. Sisi watumishi wa umma tutakopitwa tutakuwa na mapendekezo yafuatayo:

1. Kufuta vyama vya wafanyakazi ili asilimia mbili (2%) wanayochukuwa tuiongeze kwenye PAYE iende serikalini. Tsheti tumezichoka, serikali inaweza kututengenezea shati zenye nembo ya taifa.

2. Kutoa mshahara tarehe 31 isipokuwa tu kwa miezi inayoishia 28, 29 au 30. Zinapotoka kabla ya hapo, hesabu (naturally) inaharibika.

3. Fursa za ajira za muda mfupi kama kusimamia uchaguzi, wapewe wasomi wasiokuwa watumishi wa umma. Watumishi tayari wana riziki zao, wanaziba riziki za watu wengine.

4. Kufuta posho za madaraka za wakuu wa idara, wakuu wa vituo, wakuu wa shule na walimu wakuu na badala yake zigawanywe kwa watumishi wote kwasababu kinachotokea ni ubaguzi na utengano.

5. Kila idara iwe na sare za kazi, mfano waganga wana sare, polisi, magereza, jwtz, wanasheria, mahakimu na wengine. Hii itumike pia kwa watumishi wengine kama vile walimu. Itasaidia kupunguza gharama za kununua nguo mara kwa mara kwasababu ukiwa na sare kazi ni kufua tu.

6. Kupandisha madaraja kwa watumishi wote wenye sifa hata walioko masomoni ilimradi tu kabla ya kwenda walikuwa wamekaa miaka 3-4 katika vituo vyao vya kazi.

7. Kutengeneza mfumo wa uhamisho (online) utakaowezesha kila wilaya kubaki na idadi ileile ya watumishi yaani akihama mtu anaingia mtu.

8. Kupandisha kima cha chini cha mshahara siyo muhimu, muhimu ni nyongeza ya kila Julai hata kama ni elf 20 kila mwaka.
Watumishi wa tanzania shida sana mwacheni Mh.Rais afanye kazi jamani
 
Hahahahah akuite nani mpiga dili wewe?mlikuwa mnaiibia serikali,hamfanyi kazi,ndomana hata mshahara hauwezi ongezwa.Alishasema malaika mkuu kama hutaki kazi acha,haiwezekani yeye alipokuwa mwalimu alisota Sana kwa miaka mingi na elimu ya kuungaunga halafu leo katusua aje akupe ulaji wewe,lazima uishi kama shetani kama alivyoishi yeye enzi hizo.Hivi ushaona mtu aliyekulia kwenye dhiki halafu akaja akatusua anavyokuwa na roho mbaya?Daima maskin au aliyekulia kwenye dhiki hawez kuwa na roho nzuri,so jiongeze.
 
Sasa
Makundi mengi ya wananchi wameshaitwa ikulu kuongea na mheshimiwa raisi. Sisi watumishi wa umma tutakopitwa tutakuwa na mapendekezo yafuatayo:

1. Kufuta vyama vya wafanyakazi ili asilimia mbili (2%) wanayochukuwa tuiongeze kwenye PAYE iende serikalini. Tsheti tumezichoka, serikali inaweza kututengenezea shati zenye nembo ya taifa.

2. Kutoa mshahara tarehe 31 isipokuwa tu kwa miezi inayoishia 28, 29 au 30. Zinapotoka kabla ya hapo, hesabu (naturally) inaharibika.

3. Fursa za ajira za muda mfupi kama kusimamia uchaguzi, wapewe wasomi wasiokuwa watumishi wa umma. Watumishi tayari wana riziki zao, wanaziba riziki za watu wengine.

4. Kufuta posho za madaraka za wakuu wa idara, wakuu wa vituo, wakuu wa shule na walimu wakuu na badala yake zigawanywe kwa watumishi wote kwasababu kinachotokea ni ubaguzi na utengano.

5. Kila idara iwe na sare za kazi, mfano waganga wana sare, polisi, magereza, jwtz, wanasheria, mahakimu na wengine. Hii itumike pia kwa watumishi wengine kama vile walimu. Itasaidia kupunguza gharama za kununua nguo mara kwa mara kwasababu ukiwa na sare kazi ni kufua tu.

6. Kupandisha madaraja kwa watumishi wote wenye sifa hata walioko masomoni ilimradi tu kabla ya kwenda walikuwa wamekaa miaka 3-4 katika vituo vyao vya kazi.

7. Kutengeneza mfumo wa uhamisho (online) utakaowezesha kila wilaya kubaki na idadi ileile ya watumishi yaani akihama mtu anaingia mtu.

8. Kupandisha kima cha chini cha mshahara siyo muhimu, muhimu ni nyongeza ya kila Julai hata kama ni elf 20 kila mwaka.
sasa watumishi wa uma wanakubaliana na kila kitu waende ikulu kufanya nn?
 
Umesahau mengine.
MUDA WA KUTOKA KAZINI UWE NI MMOJA TU,

ZIPO SHULE ZINAAHIRISHA MASOMO SAA 8MCHANA,
ZINGINE SAA 10JIONI.

HII INALETA UPENDELEO SANA,

MSHAHARA NI ULE ULE HALAFU MUDA WA KUTOKA KAZINI NI TOFAUTI.

HUU NI UONEVU MKUBWA
 
Makundi mengi ya wananchi wameshaitwa ikulu kuongea na mheshimiwa raisi. Sisi watumishi wa umma tutakopitwa tutakuwa na mapendekezo yafuatayo:

1. Kufuta vyama vya wafanyakazi ili asilimia mbili (2%) wanayochukuwa tuiongeze kwenye PAYE iende serikalini. Tsheti tumezichoka, serikali inaweza kututengenezea shati zenye nembo ya taifa.

2. Kutoa mshahara tarehe 31 isipokuwa tu kwa miezi inayoishia 28, 29 au 30. Zinapotoka kabla ya hapo, hesabu (naturally) inaharibika.

3. Fursa za ajira za muda mfupi kama kusimamia uchaguzi, wapewe wasomi wasiokuwa watumishi wa umma. Watumishi tayari wana riziki zao, wanaziba riziki za watu wengine.

4. Kufuta posho za madaraka za wakuu wa idara, wakuu wa vituo, wakuu wa shule na walimu wakuu na badala yake zigawanywe kwa watumishi wote kwasababu kinachotokea ni ubaguzi na utengano.

5. Kila idara iwe na sare za kazi, mfano waganga wana sare, polisi, magereza, jwtz, wanasheria, mahakimu na wengine. Hii itumike pia kwa watumishi wengine kama vile walimu. Itasaidia kupunguza gharama za kununua nguo mara kwa mara kwasababu ukiwa na sare kazi ni kufua tu.

6. Kupandisha madaraja kwa watumishi wote wenye sifa hata walioko masomoni ilimradi tu kabla ya kwenda walikuwa wamekaa miaka 3-4 katika vituo vyao vya kazi.

7. Kutengeneza mfumo wa uhamisho (online) utakaowezesha kila wilaya kubaki na idadi ileile ya watumishi yaani akihama mtu anaingia mtu.

8. Kupandisha kima cha chini cha mshahara siyo muhimu, muhimu ni nyongeza ya kila Julai hata kama ni elf 20 kila mwaka.
Hata sisi wavuvi, wakulima na wafugaji tunahitaji twende huko kwenye nyumba nyeupe tutoe kero zetu mbele ya Mh Rais. Kuna siku nilisikia anasema amepanga kukutana na wafugaji. Namkumbusha Mh Rais kwamba kuna wakulima na wavuvi pia ambao wana kero zao na wangependa kukutana na Rais ili watapike nyongo zao wapate kupona
 
Rome wasn't built in a day but it started one day ,building america that wer envying today wasn't a walk in the park
 
Back
Top Bottom