Sisi wanaume Mungu atubariki sana

Sisi wanaume Mungu atubariki sana

miaka mingi mlikuwa watu kula raha shida yenu ilikua kwenye kuzaa na vikazi vidogo vya ndani ila mkaona mnadhurumiwa mkaenda kurichokonoa jinamisi mkomesha vielele kule china kwa kauli mbiu haki sawa sasa ndio mnachostahili hata sisi now days tumeacha kuwaonea huruma maana haiwezekani mtu unapambana mazingira magumu ili awalishe lakini bado anambiwa mnyanyasaji
We nae
 
Back
Top Bottom