Sisi wanaume Mungu atubariki sana

Sisi wanaume Mungu atubariki sana

STRUGGLE MAN

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
8,633
Reaction score
16,601
(Nimeiona sehem)

Tazama jasho linavyomtoka topeni. Yuko kazini. anapigana na maisha apate senti kadhaa. Ni MWANAUME! Ameumbwa kupambana na kutafuta na akitoka hapo ana ujira unaosubiri kugawanywa. wazazi au walezi, majukumu huku na kule, bado mambo yake binafsi. Ni mwanaume huyu

Lakini juu ya yote upo wewe anayekuita mpenzi, mke au vyovyote, upo wewe ambaye anapotaka kuupumzisha mwili wake, wewe unamueleza
"Bebi nahitaji elfu 60 nina shida nazo"
Mwanaume huyu anakuomba usubiri asubuhi au siku mbili mbele kisha atakupatia au atajiinua kwenda kukuchukulia

Pengine atakwambia anazo kidogo akupatie hizo kwanza kisha atamalizia zingine! anakupatia ulichoomba. Umewahi kumshukuru mwanaume anayetoa chochote mfukoni mwake akakupatia kwasababu wewe ni mwanamke wake? Ni wajibu wake ndiyo lakini wangapi hawatimizi wajibu wao?

Umewahi kumwambia unampenda vile anajinyima kwa ajili yako? Unadhani hizo pesa huwa hazina kazi? Huwa hana watu wa kuwapa? Hivi mtu anayekupatia kitu kulingana na uwezo wake unapomdai kitu kikubwa nje ya uwezo wake huwa umewahi kufikiria unamvuruga kiasi gani?

Kama kuna mtu anajinyima kwa ajili yako. Haijalishi ni mamilioni au hata elfu 5.... mshukuru Mungu kwa ajili yake na muombee azidi kufanikiwa! Au anaacha hela ya matumizi kila siku, aisee hebu mkande miguu na mikono siku moja. Huyo ndie MWANAUME!!

Na ukiona mwanaume wako hakupi kitu ilhali anachapa kazi kisa na wewe unafanya kazi, kuna mwingine/wengine wanapewa! Hakunaga mwanaume bahiri duniani labda tu mtekaji wake hajamfikia bado!

Pongezi kwa wanaume wote mnaotunza wanawake bila kujali vipato vyao. Mungu awafute jasho!
IMG_20200425_131458.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wote mbarikiwe sana!
Mwanaume anaweza maliza miaka mitano hajanunua nguo mpya ila anahakikisha familia wanakula, watoto wanavaa, wanasoma na wana furaha muda wote!!

Mungu azidi kuwabariki!
 
Nimesoma hii thread mpaka nimeumia, Mungu awabariki mno wanaume wetu, tunaona efforts zenu vile mnapambana kwa ajili yetu.! Kuna ile namna Baba ama Mume ana sacrifice kwa ajili ya familia yake mpaka una appreciate,
Wakati mwingine tunawalipa madhila ila mnajitahidi tu kutuvumilia, endeleeni kuishi na sisi kwa akili huku tukichukuliana madhaifu yetu.!!
 
Duh,wanaume..!!
Ila sis Sio wakujipigia promo maana tutakosa uhalisia wa kiume...
 
Nimesoma hii thread mpaka nimeumia, Mungu awabariki mno wanaume wetu, tunaona efforts zenu vile mnapambana kwa ajili yetu.! Kuna ile namna Baba ama Mume ana sacrifice kwa ajili ya familia yake mpaka una appreciate,
Wakati mwingine tunawalipa madhila ila mnajitahidi tu kutuvumilia, endeleeni kuishi na sisi kwa akili huku tukichukuliana madhaifu yetu.!!
Wewe ni wife material nakupenda chana😉
 
Nimesoma hii thread mpaka nimeumia, Mungu awabariki mno wanaume wetu, tunaona efforts zenu vile mnapambana kwa ajili yetu.! Kuna ile namna Baba ama Mume ana sacrifice kwa ajili ya familia yake mpaka una appreciate,
Wakati mwingine tunawalipa madhila ila mnajitahidi tu kutuvumilia, endeleeni kuishi na sisi kwa akili huku tukichukuliana madhaifu yetu.!!
Kuna mdada nilizaa naye nalea mtoto.
Nawapa chakula na huduma zote muhimu.
Ila nimemuacha aendelee na ishu zake.
Kuna kipindi pesa niliyoitegemea kumpa ilichelewa kidogo, nikamuambia.
Niliporomoshewa matusi mpaka sikuamini.
Nilichofanya nilikaa kimya Kama mwezi mmoja.
Aliwatafuta ndugu zangu wamsaidie kuniomba msamaha.!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wote mbarikiwe sana!
Mwanaume anaweza maliza miaka mitano hajanunua nguo mpya ila anahakikisha familia wanakula, watoto wanavaa, wanasoma na wana furaha muda wote!!

Mungu azidi kuwabariki!
Mkuu umenikumbusha niliwahi kuwa na girl anajua ku appreciate.
Alikuwa ananiomba pesa hata laki mbili nampa.
Kumbe anaenda kununua viwalo vyangu bwana zingine anatumia.
Aliniona nguo zangu pea 5 tu.
Basi siku ya birthday yake akani surprise na viwalo pea 8 mpyaa na akaniambia alivyokuwa ana make.
"Ukabila haufai wazee wake walimuozesha kinguvu kwa fogo la kabila lao huko."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume.....no-wonder the almighty anakua refered to as our "father"
 
Kuna mdada nilizaa naye nalea mtoto.
Nawapa chakula na huduma zote muhimu.
Ila nimemuacha aendelee na ishu zake.
Kuna kipindi pesa niliyoitegemea kumpa ilichelewa kidogo, nikamuambia.
Niliporomoshewa matusi mpaka sikuamini.
Nilichofanya nilikaa kimya Kama mwezi mmoja.
Aliwatafuta ndugu zangu wamsaidie kuniomba msamaha.!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana,
Msamehe tu..!!
 
Men at work
(Nimeiona sehem)

Tazama jasho linavyomtoka topeni. Yuko kazini. anapigana na maisha apate senti kadhaa. Ni MWANAUME! Ameumbwa kupambana na kutafuta na akitoka hapo ana ujira unaosubiri kugawanywa. wazazi au walezi, majukumu huku na kule, bado mambo yake binafsi. Ni mwanaume huyu

Lakini juu ya yote upo wewe anayekuita mpenzi, mke au vyovyote, upo wewe ambaye anapotaka kuupumzisha mwili wake, wewe unamueleza
"Bebi nahitaji elfu 60 nina shida nazo"
Mwanaume huyu anakuomba usubiri asubuhi au siku mbili mbele kisha atakupatia au atajiinua kwenda kukuchukulia

Pengine atakwambia anazo kidogo akupatie hizo kwanza kisha atamalizia zingine! anakupatia ulichoomba. Umewahi kumshukuru mwanaume anayetoa chochote mfukoni mwake akakupatia kwasababu wewe ni mwanamke wake? Ni wajibu wake ndiyo lakini wangapi hawatimizi wajibu wao?

Umewahi kumwambia unampenda vile anajinyima kwa ajili yako? Unadhani hizo pesa huwa hazina kazi? Huwa hana watu wa kuwapa? Hivi mtu anayekupatia kitu kulingana na uwezo wake unapomdai kitu kikubwa nje ya uwezo wake huwa umewahi kufikiria unamvuruga kiasi gani?

Kama kuna mtu anajinyima kwa ajili yako. Haijalishi ni mamilioni au hata elfu 5.... mshukuru Mungu kwa ajili yake na muombee azidi kufanikiwa! Au anaacha hela ya matumizi kila siku, aisee hebu mkande miguu na mikono siku moja. Huyo ndie MWANAUME!!

Na ukiona mwanaume wako hakupi kitu ilhali anachapa kazi kisa na wewe unafanya kazi, kuna mwingine/wengine wanapewa! Hakunaga mwanaume bahiri duniani labda tu mtekaji wake hajamfikia bado!

Pongezi kwa wanaume wote mnaotunza wanawake bila kujali vipato vyao. Mungu awafute jasho!View attachment 1430087

Sent using Jamii Forums mobile app

Its not over until its over...[emoji769]
 
Back
Top Bottom