bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,444
ukiona mkeo kakwambia ujue aidha ni kweli katongozwa ama umepunguza kumjali na kutambua thamani yake hvyo akaona ni njia ya kukukumbusha...
hii inawea kua kweli tulifikirie kwa upande wa pili washiringi wanaume wenzangu!!!