Hahaa nimecheka sana, kwamba anaowataka na kuwakubalia ni siri yake asio wataka lazima awasemee kwa muweweha haaa, kuna kakangu aliwahi sema kuwa siku mkewe akija kumwambia kuwa fulani kamtongoza ndo siku atakayompa kibano, maana atajua kabisa kuwa huyo kamwambia sababu hamtaki, anayemtaka hatamwambia......
Ukweli mimi sioni sababu ya kumwambia mume fulani kanitongoza, ili iweje?
Lakini kuna wanaume wengine wanajisikia raha sana wakisikia mke wake anawasumbua watazamajindio.
Mimi sijawahi mwambia mume wangu kuwa nimetongozwa hata siku moja.....
unadhani kweli nakaa miaka yote hii sitongozwi?
lakini kwa nini nimwambie?
hakuna mwanamke asiyetongozwa, awe binti, awe na watoto, awe na mume na watoto, awe wa makamo. ila ni msimamo tu wa mwanamke, na background yake.
- Ni kweli ukitaka uambiwe utaambiwa kwa yule ambaye mdada hamtaki kabisa, Ila kwa wengine hutaambiwa.
- Kisha utajisikiaje kila ukiwaangalia jamaa unajua huyu jamaa alimtongoza mke wako? Kisha unakuta labda keshapatana na mkeo na wanaongea vizuri tu si ndo unakaribisha PB wakati bado ni mdogo?
- What if ni bosi wake na wanaenda safari pamoja na unajua alishamtongoza? Si ndo kupiga simu kila dakika kuuliza umefika wapi?
Angalia Comment namba 29Sasa akikuambia fulani kanitongoza utafanya nini? mwanamke kutongozwa haikwepeki hata kama ni mke wa mtu ili mradi ni mwnamke atatongozwa tu suala la kukuambia fulani kanitongoza atakuambia wangapi pengine wengine ni rafiki zako tayari atasababisha ugomvi usio na maana,kwanza mimi sipendi hiyo tabia mwanamke anakuja kuniambia et fulani am amenitongoza,ni suala lake kukataa kama anatunza uaminifu baasi!
Usiri katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa ni kitu kinachojenga heshima sana katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa. Si kila kitu (kibaya au kizuri) katika ndoa utaenda kumweleza mwenza wako, huwezi jua atakusomaje............
ukiona mkeo kakwambia ujue aidha ni kweli katongozwa ama umepunguza kumjali na kutambua thamani yake hvyo akaona ni njia ya kukukumbusha...
...haambiwi kila kitu...kuna vya kusema na vingine sio bwana,siku ya siku vinakurudi...akhaaHata kwa mmeo?????????
Vitu vingine sio vya kusema.
...haambiwi kila kitu...kuna vya kusema na vingine sio bwana,siku ya siku vinakurudi...akhaa