yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Ndugu zetu WAZANZIBARI ipokeeni "peaples power" kama kifaa cha kupambana na sera msizopendezwa nazo huko visiwani,kwani hamuoni sie wabara tunavozidi kufanikiwa kuinyoosha serikali?
Najua mmeamua kutumia uislamu kutokana na chama mlichokuwa mnakitegemea (CUF),kimeolewa na hakina nguvu tena. Namna hiyo mnaudhalilisha uislam sabb uislam ni dini safi inayoubiri upendo,amani na kueshim dini nyingine.Hebu angalia sasa mnahubiri siasa kwa kutumia mgöngo wa dini ,hii ni kwasabb hamna chama cha siasa imara cha kuwatetea kama ilivyo CHADEMA!
Siku zote haifai kuchanganya siasa na dini!
Najua mmeamua kutumia uislamu kutokana na chama mlichokuwa mnakitegemea (CUF),kimeolewa na hakina nguvu tena. Namna hiyo mnaudhalilisha uislam sabb uislam ni dini safi inayoubiri upendo,amani na kueshim dini nyingine.Hebu angalia sasa mnahubiri siasa kwa kutumia mgöngo wa dini ,hii ni kwasabb hamna chama cha siasa imara cha kuwatetea kama ilivyo CHADEMA!
Siku zote haifai kuchanganya siasa na dini!