GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
- Thread starter
-
- #201
Sio lazima uanze routes ndio ujue kama ndege ulizonazo zitatumika to full capacity; kuna wataalam wanafanya kazi yao na kujua demand ya seats za kila route. Mpaka sasa hizo safari na routes unazosema compétition ni very fierce mpaka hiyo DREAMLINER imeishia kubeba MBUZI kwenda Dubai. Hizo safari za India na China mpaka leo ni ndoto; kwani hata wakienda wana uhakika gani kuwa watakuwa na passengers na cargo ya kutosha wakati wa return leg!
Kuhusu kuziuza hizo ndege you will be better off kuziuza pale unapopata bei nzuri kuliko kuzifuga bila matumizi!! Locally mpaka sasa zile Bombardier na Airbus zinatosha kabisa na hata kuwa na excess capacity so the only rational decision ni kuuza hizo ndege za serikali kwa mbei nzuri.
hamna lolote bla bla tuu, leo umeingia cha kike kwa kusaka kwako sifa!.Nashukuru Mungu kuwa kupitia tu ' Uzi ' wangu huu nimeweza sasa kuwajua wale ' Waliobarikiwa ' kwa ' Upumbavu ' hadi Milele. Nimeweka wazi sana Hoja yangu kuwa sishauri hizo Ndege za Rais ziwe ' branded ' hivyo na zibebe ' Abiria ' kwa Hoja ya Rais kama alivyosema na kama nia ni Kuiongezea Mapato ATCL na Kuimarisha Sekta ya Anga nchini basi hizo Ndege kama ziko Tatu mbili zibebe Abiria ila Ndege moja ibaki vile vile kuwa ni ' Maalum ' tu kwa Kumbeba Mheshimiwa Rais au Makamu wake au Waziri Mkuu wake lakini zote zisifanywe zikawa za Abiria. Na kama haitoshi katika Maelezo yangu nisema vyema tu kuwa kama ikiwezekana basi ni bora hizo Ndege ziuzwe na Hela inayopatikana hapo ielekezwe katika Sekta muhimu ya Kilimo ambayo Kwangu Mimi bado inahihati nguvu kubwa lakini bado ' Mifungulu Ngenge ' fulani isiyojua Kufikiri na inayojua tu Kujipendekeza kama siyo Kujikomba inatetea.
Ngoja niendelee ' Kuwadharau ' hapa.
Cc: Saguda47 , heavyload, narumuk , retweeted , jogoo_dume , idawa , sonaderm , Rogojin The Idiot , Elly official , kakolaki , Lokissa , MWALLA
Huyu jamaa anajifanya ana akili sana na mjuzi wa mambo, na Mimi mwanzoni nilikuwa namchukulia hivyo lakini hili andiko, let me reserve my comments! Unajua kitendo alichofanya JPM ni cha kipongezwa cha kutoa hizi ndege zizalishe! Niliumia sana siku moja wakati mtoto wa (yule waziri wa ndani alofukuzwa kwa ulevi na Magufuli ) alipofariki ndege ya serikali ilikuwa imepaki mwanza airport ikiksubiri mama salma (enzi za JK) tangu asubuhi hadi jioni. Ni bora ibaki moja na nyingine zizalishe. After all kwa vile ni ndogo ATCL waweza kuwa wanasitumia kwa route ambazo zina abiria wachache. Aidha alinikosha aliposema ndege hizi zinaweza kukodishwa nikafikiria Dreamliner ni bora ikakodishwa kwa mtano Ethiopian airlines au mashirika mengine zizalishe
Mh. Rais kwa hili inabidi ashauriwe upya... Nina sbb za msingi mno mnoo..!!
1: Fokker 28, kwa kubebea abiria hailipi kabisaa kabisaa.. Sijui nisemeje mnielewe, yaani was not meant for paxs business.. Ni ndege inayokula mafuta sana, pia vifaa vyake vya matengenezo ni ngumu kuvipata sbb ni ndege mzee sana..!! Sbb hizo ndege F28 zilisha achwa kutengenezwa miaka mingi hivyo spears ni ngumu mno kupata, biashara haitaweza na ni fuel guzzler yaani..!! Yaani ni sawa na VX V8 upaki na dala dala upakie abiria utegemee profit..!! It doesn't work.. Hili tutapenyeza ushauri kwa mh Rais ili ajue ukweli halisi, mh Rais ni mtu mwelewa sana hana shida..!!
2: Fokker 50, hii biashara ya kubeba abiria inaweza na inalipa, ulaji wa mafuta ni mzuri, vifaa vya spears vinapatikana, hili halina tatizo..
Tatizo la kupeleka F50 ATCL ni hili hapa:
Fokker 50 ndio ndege pekee imebaki kama moyo na roho ya serikali kwa domestic flights zote za viongozi wa juu, ikiwemo Mh. Rais mwenyewe, Makamu, Rais wa Znz, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais wa Znz na National events zote za kitaifa za ndani.. G550 mostly ni kwa international flights..!! Sasa ingawa Mh. Rais haruki mara kwa mara, hawa viongozi wengine wote, wasaidizi wake hapo juu, huruka nyingi, karibu kila siku, nchi nzima, serikali hutegemea hiyo F-50 kwa asilimia 100% kusafirisha hao viongozi.. Sasa sielewi viongozi hao watasafiri vipi ikiwa F-50 itaenda ATCL..!! Nchi ni kubwa mno kusafiri kwa gari..!! Pia ndege ikiwa inatumia na abiria mara kwa mara itachoka haraka, sijui kama hilo wameliona, na ndege za viongozi zinatakiwa salama mno mnoo, sasa sielewi itakuaje, ugumu mkubwa itakuwa kwa wasaidizi wake Mh. Rais, sbb watapata shida sana kusafiri ikiwa F-50 itaenda ATCL.. Ujue ukishapanga ndege kwenye schedule ya abiria, na inaruka, tayari ushaingiza hasara na abiria watakuwa na usumbufu, sbb mfano imeruka asubuhi, mchana F-50 inatakiwa kuruka na kiongozi, na kuna route ya abiria na hakuna ndege ya kuwachukua hao abiria labda nyingine, tayari ni mvurugano kweli kweli..!!
Anyway, Mh. Rais ndio muamuzi wa mwisho, pamoja na nia njema sana aliyonayo, ila hili ni ngumu mno, ataja ona katika utekelezaji..!! Siku njema sana niwatakie..!!
hizi ndege mbili Forker 50 na Forker 28 zinatumika na makamu wa Rais na nyingine Waziri Mkuu na ile iliyonunuliwa wakati wa Rais Mzee Mkapa chini ya waziri wa fedha Bazil Mramba(hata kama ni nyasi wananchi watakula lkn ndege ya rais ni lazima Bungeni) ndiyo inayotumiwa na Rais wetu John Maguful
Ni kwa nini watu wanalalamika ni kwa sababu kwanza ndege moja tulipewa kama zawadi na Malkia wa Ungereza kwa Rais wetu wa kwanza Mzee hayati Mwalimu Nyerere na ndani ya hiyo ndege ni VIP na imetenganishwa na vinyago vyenye uhalisia wa nchi yetu, kwa hiyo ni heshima na kumbukumbu kuendelea kuzitunza kwa matumizi sahihi ambayo ni kwa ajili ya viongozi wakuu wa nch na siyo kuzipeleka kwenye biashara
Tufanye biashara na hizi ndege sita ambazo tunazo kwa sasa na tuangalie maendeleo yake na ikiwezekana basi hizo hizo sita zijiendeshe zenyewe na ziweze kujiongeza ikiwezekana kila miaka 3 ziweze kununua nyingia moja
Mleta mada ilibidi aje na hoja kama hizi angeeleweka, kwa kuongeza hiyo Fokker 28 iuzwe tu kabla haijatufia jumla.
Ebo!!!!! Ukiskia zoba ujue ni ww, usidandie kitu usichoelewa... Rais ni taasisi, vile vile ujue hatumii yy peke yake... Kuna makamu wake, Waziri mkuu.. So Tuliza bwambwa..Yani kuna watu akili zao sipo chini sana tena sana sasa Rais anakuwa na ndege tatu za nini si bora zilete pesa zifanye kazi nyingine kuliko kupaki tu hadi Rais asafiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.Ndege zikinunuliwa mnalalamika, zikipewa matumizi mnalalamika..hili la serikali kuwa na ndege tatu chadema walikuwa hawalijui..wangekuwa wamepiga kelele toka enzi za jk..wengi wanaijua ile ya kula nyasi ya mramba.
Jamaa kaonyesha uzalendo bado wao wanapiga keleke..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua China hakuna ndege ya Rais Raid akitaka kusafiri wanachukua commercial jet wanabrand tuHii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.
Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.
Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.
Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?
Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo au nyinginezo ambazo zinahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.
Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.
Nimesikitika!
Nawasilisha.
Si mleta mada kasema eti kuzitumia ndege hizi ni kuwadhakilisha ma rais waliopita.Sijakuelewa, fafanua tafadhali.
JF of GT ni kiwanja cha hoja na si viroja, jibu hoja si matusi.Wewe ni mpuuzi
Mkuu!Mh. Rais kwa hili inabidi ashauriwe upya... Nina sbb za msingi mno mnoo..!!
1: Fokker 28, kwa kubebea abiria hailipi kabisaa kabisaa.. Sijui nisemeje mnielewe, yaani was not meant for paxs business.. Ni ndege inayokula mafuta sana, pia vifaa vyake vya matengenezo ni ngumu kuvipata sbb ni ndege mzee sana..!! Sbb hizo ndege F28 zilisha achwa kutengenezwa miaka mingi hivyo spears ni ngumu mno kupata, biashara haitaweza na ni fuel guzzler yaani..!! Yaani ni sawa na VX V8 upaki na dala dala upakie abiria utegemee profit..!! It doesn't work.. Hili tutapenyeza ushauri kwa mh Rais ili ajue ukweli halisi, mh Rais ni mtu mwelewa sana hana shida..!!
2: Fokker 50, hii biashara ya kubeba abiria inaweza na inalipa, ulaji wa mafuta ni mzuri, vifaa vya spears vinapatikana, hili halina tatizo..
Tatizo la kupeleka F50 ATCL ni hili hapa:
Fokker 50 ndio ndege pekee imebaki kama moyo na roho ya serikali kwa domestic flights zote za viongozi wa juu, ikiwemo Mh. Rais mwenyewe, Makamu, Rais wa Znz, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais wa Znz na National events zote za kitaifa za ndani.. G550 mostly ni kwa international flights..!! Sasa ingawa Mh. Rais haruki mara kwa mara, hawa viongozi wengine wote, wasaidizi wake hapo juu, huruka nyingi, karibu kila siku, nchi nzima, serikali hutegemea hiyo F-50 kwa asilimia 100% kusafirisha hao viongozi.. Sasa sielewi viongozi hao watasafiri vipi ikiwa F-50 itaenda ATCL..!! Nchi ni kubwa mno kusafiri kwa gari..!! Pia ndege ikiwa inatumia na abiria mara kwa mara itachoka haraka, sijui kama hilo wameliona, na ndege za viongozi zinatakiwa salama mno mnoo, sasa sielewi itakuaje, ugumu mkubwa itakuwa kwa wasaidizi wake Mh. Rais, sbb watapata shida sana kusafiri ikiwa F-50 itaenda ATCL.. Ujue ukishapanga ndege kwenye schedule ya abiria, na inaruka, tayari ushaingiza hasara na abiria watakuwa na usumbufu, sbb mfano imeruka asubuhi, mchana F-50 inatakiwa kuruka na kiongozi, na kuna route ya abiria na hakuna ndege ya kuwachukua hao abiria labda nyingine, tayari ni mvurugano kweli kweli..!!
Anyway, Mh. Rais ndio muamuzi wa mwisho, pamoja na nia njema sana aliyonayo, ila hili ni ngumu mno, ataja ona katika utekelezaji..!! Siku njema sana niwatakie..!!
Nakuunga mkono mkuu!Akili ulizorithishwa ziko wapi?
Umeandika upuuzi mtupu, huwezi kuwa timamu ukasapoti ndege zikae tu just for prestige.
Narudia tena leo umeandika upuuzi mkubwa.
Mkuu,Hivi unajua China hakuna ndege ya Rais Raid akitaka kusafiri wanachukua commercial jet wanabrand tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuuNimesikitika
Mkuu Mimi sio chademaKwani zitto aliposema chadema inahitaji mabadiliko mbona mlimfukulizia mbali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, tuweke historia yako pembeni, ukweli wewe ukumuelewa raisi na pia ulisahau idadi ya ndege za raisi zilizopo na mwisho, pia ulisahau kuwa ndege zina umri na uimara wa ndege upungua kadri inavyokuwa imepaki bila kuruka. UKIKUBALIANA NA HAYA NITAONA BONGE LA MDAU ANAYEJIELEWA NA KUELEWA KUWA SISI BINADAMU WOTE TUNAWEZA KUKOSEA NA TUKAJISAHIHISHA.Kama mpaka hivi leo upo hapa JamiiForums na hujui GENTAMYCINE yupo Chama gani cha Kisiasa hapa nchini Tanzania basi lazima tu utakua ni ' Mpumbavu Uliyethibitishwa Kimataifa ' kabisa. Hivi kuna ' Member ' ambaye mwaka 2015 alipambana na wana CHADEMA hapa Jamvini kumpigia Chapuo / Kampeni Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama Mimi na wale wana CCM wenzangu baadhi? Rejea ' posts ' na ' threads ' zangu zote za mwaka 2015 ili ujiridhishe juu yangu.
Tatizo lenu wana CCM wenzangu ' Wapumbavu ' baadhi mnadhani Kumpamba au Kumuunga Mkono sana na Kumpa matumaini Mwenyekiti wetu Taifa Ndugu Dkt. Magufuli ndiyo Kumsaidia wakati kumbe ni Kinyume chake. Nilimpigania na Kumpambania mwaka ule wa 2015 kwakuwa nilikuwa na Matumaini nae na hadi mpaka hivi leo / sasa bado namkubali tena mno tu na pengine kuliko hata nyie wana CCM ' Mapopoma ' mlivyo ila tofauti yangu na yenu ni ndogo sana tu ambapo Mimi huwa sijazoea Unafiki, Uwongo au Kujipendekeza bali huwa ' nanyoosha ' tu maelezo yangu ukiumia shauri yako na katika hili sitobadilika ng'o.
Kuna ' Threads ' nyingi sana hapa Jamvini nimezianzisha Kumsifu Rais Dkt. Magufuli mbona Wewe mwana CCM ' Popoma ' sijawahi hata Kukuona mara moja tu ukija Kunipongeza? Kwahiyo nyie GENTAMYCINE anakuwa ' Adui ' Kwenu na siyo mwana CCM mzuri pale tu akimkosoa tena kwa Kumjenga vyema Mwenyekiti Taifa pekee? Kama wana CCM wa sasa wengi wenu ndiyo wana aina hii ya Upeo wa ' Kifungulu Ngenge ' basi naona Chama kimekula hasara kubwa na kinahitaji Mabadiliko makubwa na ya haraka pia.
Cc: commonmwananchi